Duh! Mi bado nakutaka na ninakupenda huyo alieandika huko juu ni shetani tu alinipitia mpenzi nisamehe tugange yajayo my lovie wa huba.. nyonga mkalia ini πππ π sikutaki Tena tuachane tuuπ π
ππππππππππ³π€¦njoo chukua na pesa zako ulizokuwa unanipaDuh! Mi bado nakutaka na ninakupenda huyo alieandika huko juu ni shetani tu alinipitia mpenzi nisamehe tugange yajayo my lovie wa huba.. nyonga mkalia ini ππ
kabisaaπ na ndoa inafungwa haifunguliwi me naona test ni lazmLazima mfanye vitest test ndo mfanye UE.
He he! Najua huwezi niacha maana penzi langu zaidi ya pesaπππππππππππ³π€¦njoo chukua na pesa zako ulizokuwa unanipa
ππ haya bhnHe he! Najua huwezi niacha maana penzi langu zaidi ya pesaπ
We Sasa acha mbachao kwa msala upitao uone..
Na sisi hatutoi mpaka mtupe papuchikwasababu hamtoi mpaka muombwe.
saasa hiko chenye shida ndo nachokitaka nipate kukijua !
π Sweet baby love youππ haya bhn
Leo nakuwa msomaji tuu mkuuMamaaa Sakayo wewe una maoni gani?
ππππuwiii nakimbia hata hiyo talaka staki jmn test ni muhimu ladies
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]π€¦[emoji134] kmmk nimecheka Sana jmn Sasa hiyo ndo nn khaaa
naunga mkono hoja et nisitest mtambo weee Nan kasema lazma tuonjane kwanza kama mambo yenyewe ndo kama hayo duhππHiyo ndio dudu ya mumeo wa ndoa mlioona bila kutest, Yan ukiona mwanaume anakubali kuoana bila kufanya sex weka doubt sababu naturally wanaume wanapenda sex, yan hapo ni kama anakuwa anakuuzia mbuz kwenye gunia.
NB: Siwez kukubali relationship bila sex yan hata huyo mwanamke awe malaika.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Leo nakuwa msomaji tuu mkuu