Why is it sex first marriage next?

Why is it sex first marriage next?

village foole
hahaha mkuu watu wafupi wanene wenye vitambi watakuchukia 😀

well i think muonekano wa mtu unaweza kukupa imagination hasa kwa mwanaume. rijali anaonekana tu kuna ulazima gani kutest kwa sex.?
 
village foole
hahaha mkuu watu wafupi wanene wenye vitambi watakuchukia 😀

well i think muonekano wa mtu unaweza kukupa imagination hasa kwa mwanaume. rijali anaonekana tu kuna ulazima gani kutest kwa sex.?
Kwa tafsiri yako wale wafupj wanene hawatakiwi kuoa mkuu?
 
village foole
hahaha mkuu watu wafupi wanene wenye vitambi watakuchukia 😀

well i think muonekano wa mtu unaweza kukupa imagination hasa kwa mwanaume. rijali anaonekana tu kuna ulazima gani kutest kwa sex.?
Ahaaaaaaaa kama ndo hvo basi wafupi na wanene tuna Kazi ya ziada aseee
 
village foole
hahaha mkuu watu wafupi wanene wenye vitambi watakuchukia 😀

well i think muonekano wa mtu unaweza kukupa imagination hasa kwa mwanaume. rijali anaonekana tu kuna ulazima gani kutest kwa sex.?
Lakini kuweni wakweli jamani! Mnavyowabania hao huwa kwa wengine hamtoi? Siku hizi uchumba unakaa hadi miaka miwili mitatu.....yote hiyo unabana tuuu au kuna sehemu unakuwa unaponea? Sasa kuna haja gani ya kubana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu hawafundishiki mkuu,kuna mtu nimekuwa naye kwa miaka mitano leo,hata miguno kwake mtihani na ukijaribu kumwelekeza ni kama anachukia hivi "mimi siwezi kukatika tafuta anayejua kukatika "

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo neno kama lilitoka kavu kavu kama lilivyo....my friend wewe hufanyi sex kwa huyo bidada unatimiza wajibu tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakini kuweni wakweli jamani! Mnavyowabania hao huwa kwa wengine hamtoi? Siku hizi uchumba unakaa hadi miaka miwili mitatu.....yote hiyo unabana tuuu au kuna sehemu unakuwa unaponea? Sasa kuna haja gani ya kubana

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini kuweni wakweli jamani! Mnavyowabania hao huwa kwa wengine hamtoi? Siku hizi uchumba unakaa hadi miaka miwili mitatu.....yote hiyo unabana tuuu au kuna sehemu unakuwa unaponea? Sasa kuna haja gani ya kubana

Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUO
vipi ukigundua anawabania hata wengine yaani she's sealed and faithfull, kutest kutakuwa na ulazima hapo?
 
Kuna watu hawafundishiki mkuu,kuna mtu nimekuwa naye kwa miaka mitano leo,hata miguno kwake mtihani na ukijaribu kumwelekeza ni kama anachukia hivi "mimi siwezi kukatika tafuta anayejua kukatika "

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu hawafundishiki mkuu,kuna mtu nimekuwa naye kwa miaka mitano leo,hata miguno kwake mtihani na ukijaribu kumwelekeza ni kama anachukia hivi "mimi siwezi kukatika tafuta anayejua kukatika "

Sent using Jamii Forums mobile app
unataka akuigizie? mkuu miguno haina training.
 
Kwani unafikiri issue kubwa huwa ni kutest? Tatizo siku hizi penzi halinogi bila hako kamchezo! Labda wakutane wote wako silidi
 
Back
Top Bottom