Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida yenu mkisoma meme kwa mneti mnachukuliwa ukweli. Yani Wabongo mnakuwanga mafala sana.PUTIN alisema pambaneni na kumaliza njaa ya Taifa lenu kwanza ndipo muhemukwe nao USA na EU kwa kujipendekeza kuichimba mikwara RUSSIA.
Kamwe dunia haiishiwi vituko kabisa, Kenya ya kuichimba mikwara RUSSIA, si ni sawa na sisimizi kumvimbia tembo [emoji848][emoji1732][emoji28]
Putin can't sink that low., nashuku sana huyo alikua mtanzania na pseudo account ameweka avatar ya Putin, akili zao ni rahisi kugundua 😂 😂 😂 😂 😂Shida yenu mkisoma meme kwa mneti mnachukuliwa ukweli. Yani Wabongo mnakuwanga mafala sana.
Sikiliza video kwa walio na bundle. Unaelezewa wazi ni kwa nini Kenya ni tajiri ikilinganishwa na nchi nyingi za Africa licha ya Kenya kukosa madini au mafuta.
Sikiliza video kwa walio na bundle. Unaelezewa wazi ni kwa nini Kenya ni tajiri ikilinganishwa na nchi nyingi za Africa licha ya Kenya kukosa madini au mafuta.
Eti Putin naye alitupia kamsemo ka kiafrika, kuhusu kutingiza mbuyu(baobab tree) na makalio. 😄 Wakati mbuyu wenyewe huwa unapatikana tu Afrika bara, pamoja na Madagascar na kidogo S.E Asia. Ukisikia wanaitwa bongolala usidhani kwamba huwa wanapakaziwa.Shida yenu mkisoma meme kwa mneti mnachukuliwa ukweli. Yani Wabongo mnakuwanga mafala sana.
comparing Kenya's worst areas with Tanzanian best areas clearly shows how fucked up you areHamuwezi kuwa Rich mpaka mmalize njaa,tatizo la maji na maradhi na makazo bora ya watu atleast mfanye kama haya yaliyofanyika Mikocheni,Dar es salaam sio mnaacha watu wanalala kwenye mabanda ya bati kama nguruwe
View attachment 2201064
OK,show us your best human settlement areas in Kenya so that i can show you better human settlement areas than that of Mikocheni,cause it's a fact that Mikocheni is middle income suburb in dar the same as kiberacomparing Kenya's worst areas with Tanzanian best areas clearly shows how fucked up you are
the fact that you think kibra is a middle income area still proves how f*cked up you are!OK,show us your best human settlement areas in Kenya so that i can show you better human settlement areas than that of Mikocheni,cause it's a fact that Mikocheni is middle income suburb in dar the same as kibera
Mikocheni ata utawala itaipiga hands downOK,show us your best human settlement areas in Kenya so that i can show you better human settlement areas than that of Mikocheni,cause it's a fact that Mikocheni is middle income suburb in dar the same as kibera
Hio mikokoteni ndio unaturingia nayo?OK,show us your best human settlement areas in Kenya so that i can show you better human settlement areas than that of Mikocheni,cause it's a fact that Mikocheni is middle income suburb in dar the same as kibera
Dar tunaijua ilivyo 80%.., kilaza wewe, usifanye nikuaibishe, kwa hili fyata 😂 😂 😂 😂 😂 😂Hamuwezi kuwa Rich mpaka mmalize njaa,tatizo la maji na maradhi na makazo bora ya watu atleast mfanye kama haya yaliyofanyika Mikocheni,Dar es salaam sio mnaacha watu wanalala kwenye mabanda ya bati kama nguruwe
View attachment 2201064
Eti Putin naye alitupia kamsemo ka kiafrika, kuhusu kutingiza mbuyu(baobab tree) na makalio. 😄 Wakati mbuyu wenyewe huwa unapatikana tu Afrika bara, pamoja na Madagascar na kidogo S.E Asia. Ukisikia wanaitwa bongolala usidhani kwamba huwa wanapakaziwa.
Hasira za nini anko? Sio mimi nilikuhadaa kwamba sijui Putin amewajibu Wakenya. 😄 Waliotengeneza hiyo 'meme', walikuwa wananuia kuwaingiza box vinyangarika kama wewe. Ambao hawajui kufanya vitu viwili vitatu simpo sana. Vya kuwasaida kudhibitisha kama habari ambazo wameziona mitandaoni ni za kweli au ni FAKE NEWS.Kwa hiyo KGB kazi yao ni nini!!!? Wewe unafikiri kwa vile kiss haijui hata kusema priviet basi nao hawajui kitu kuhusu kenya na Afrika kwa ujumla.
Sikiliza video kwa walio na bundle. Unaelezewa wazi ni kwa nini Kenya ni tajiri ikilinganishwa na nchi nyingi za Africa licha ya Kenya kukosa madini au mafuta.