Why is Rwanda always the common factor in conflicts in the African Great Lakes?

Why is Rwanda always the common factor in conflicts in the African Great Lakes?

Tuwaogope wakati ule ulikuwa mkoa wa Tanzania Enzi za ukoloni…...we have historical/cultural ties that run deep my friend nyie mmekuja juzi tu mnajikuta wajuaji.

Hamna kitu kilikua kinaitwa Tanzania, muliparamia kisiwa cha sultan na kujipa jina.
Soma historia..,
 
Hehehe!! Sio kwa povu zote hizi, Rwanda size ya mkoa lakini huwaliza sana Watanzania, sasa huyo Kagame hata mkimuua ndio mtawasha moto usiozimika, bora hivyo Jiwe aliungana naye badala ya kukomoana.
Kila siku nlishakwambia kwa kila badiko na coment yako huwa inawakilisha mawazo ya wakenya sasa usitufanye tufikirie kwamba wakenya ni matahira kiasi chako.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna kitu kilikua kinaitwa Tanzania, muliparamia kisiwa cha sultan na kujipa jina.
Soma historia..,
German East Africa = Mainland Tanzania + Ruanda-Urundi province which was later given to the Belgians
 
German East Africa = Mainland Tanzania + Ruanda-Urundi province which was later given to the Belgians

Hapa unazungumza kuhusu German East Africa, ila Tanzania hakukua na jina kama hilo, mlilibuni baada ya kunyakua kisiwa cha Zanzibar.
 
Kwani hiyo reli inapita kwenye mikoa mingapi ya Tanzania? Inamaana hao watu was hio mikoa hawatanufaika?
Kinachonishangaza ni juhudi kubwa anazotumia Rais Magufuli kupeleka reli ya umeme Rwanda wakati uchumi wa Rwanda ni sawa tu na uchumi wa Dar peke yake! Vipaumbele vya Magufuli vinashangaza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kajamaa kembamba alafu anatunisha misuli kwa mutu munene kama m7.
Kagame kafany nchi ya kifalme...
Ujinga kuamin yy ndo anaweza... Hakuna wengne.
Who is kagame????
What is rwanda????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehe!! Sio kwa povu zote hizi, Rwanda size ya mkoa lakini huwaliza sana Watanzania, sasa huyo Kagame hata mkimuua ndio mtawasha moto usiozimika, bora hivyo Jiwe aliungana naye badala ya kukomoana.
Ni kwa maneno ya ushabiki tu.Rwanda is nothing to TZ.bila Kgm Rwanda will be as it used 2b.hakuna moto wowote!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kinachonishangaza ni juhudi kubwa anazotumia Rais Magufuli kupeleka reli ya umeme Rwanda wakati uchumi wa Rwanda ni sawa tu na uchumi wa Dar peke yake! Vipaumbele vya Magufuli vinashangaza sana
wapo milioni 10 wanatosha kuvuna pesa
 
Hapo hata mi najiuliza sana!,kwa mini tusiilenge zaidi Congo DRC hasa southern(Katanga) isiyokuwa na conflict nyingi na ina utajiri mkubwa wa madini!
Kinachonishangaza ni juhudi kubwa anazotumia Rais Magufuli kupeleka reli ya umeme Rwanda wakati uchumi wa Rwanda ni sawa tu na uchumi wa Dar peke yake! Vipaumbele vya Magufuli vinashangaza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie majanga kweli, hivi kupigana na watoto wa m23 ni kitu cha kujisifia, hao M23 ni kundi lililokua likiteka watoto na kuwalazimisha kupigana.
Na pia juhudi dhidi yao ilikua kwa muungano wa majeshi kutokea mataifa tofauti Congo ikiwemo.
Siku mpambane na wanaume wa kujitoa mhanga bin shetwan akina ISIS na Mashababi ndio muwe na jeuri ya kuongea.
Ndg yangu Hukuijua vizuri M23.it was a highly sophiscated army under general kgm.hakikuwa kikundi kama vya mayimayi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
These peoppe called huntu and tutsi have a gene of conflict, They always smell blood
 
Nyie majanga kweli, hivi kupigana na watoto wa m23 ni kitu cha kujisifia, hao M23 ni kundi lililokua likiteka watoto na kuwalazimisha kupigana.
Na pia juhudi dhidi yao ilikua kwa muungano wa majeshi kutokea mataifa tofauti Congo ikiwemo.
Siku mpambane na wanaume wa kujitoa mhanga bin shetwan akina ISIS na Mashababi ndio muwe na jeuri ya kuongea.
Wewe hujui rwanda was behind m23,then ur not informed of great lake politics and corner corner bro
 
Nyie majanga kweli, hivi kupigana na watoto wa m23 ni kitu cha kujisifia, hao M23 ni kundi lililokua likiteka watoto na kuwalazimisha kupigana.
Na pia juhudi dhidi yao ilikua kwa muungano wa majeshi kutokea mataifa tofauti Congo ikiwemo.
Siku mpambane na wanaume wa kujitoa mhanga bin shetwan akina ISIS na Mashababi ndio muwe na jeuri ya kuongea.
We mpenzi wa nyuzi za udaki tu!!boss
UN under Ban kimon iamue kupeleka S.africa (air) na Tz (underground) watu walikuwa na bunkers mlimani kuwatoa was very risk ndiyo maana S.africa askari wake aligoma wasifanye vita ya chini.
NB:Ripoti ziko wazi ukizitafuta
 
We mpenzi wa nyuzi za udaki tu!!boss
UN under Ban kimon iamue kupeleka S.africa (air) na Tz (underground) watu walikuwa na bunkers mlimani kuwatoa was very risk ndiyo maana S.africa askari wake aligoma wasifanye vita ya chini.
NB:Ripoti ziko wazi ukizitafuta
Ongezea hapo kuwa m-23 ilikuwa inaundwa na askari ambao ni special force
Na kulikuwa na luten 3 kutoka RDF mmoja alikuwa anaitwa luten Rumenya huyu alipata mafunzo ya kikomando kabisa Israel na British

Note
M-23 lilikuwa ni kama jeshi la uchumi wa Mr slim hivyo alilipa kila kitu ili liwe imara zaidi

Pia tukumbuke baada ya jw kupewa kazi ya
Kuwatoa m-23 chigale ikaanza kupiga mayowe na propaganda uchwara

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Wewe hujui rwanda was behind m23,then ur not informed of great lake politics and corner corner bro

Sasa huyo Kagame mnayemsema kuwa dhaifu, ndiye hapa tena unampa hadhi kwa kuwa nyuma ya hao M23.
Kikubwa ni kwamba hata kama Kagame alikua nyuma yao kiaina, hakua na uhuru wa kuiweka wazi au kuwapa nguvu za kutosha maana hilo lingemletea matatizo makubwa dhidi ya ulimwengu. Hao watoto wa M23 kuna wakati walitelekezwa baada ya Kagame kusemwa sana na kwa sababu wao hawakua na itikadi kali kali kama za mashababi, ilibidi wakimbie na kutoroka vita, tofauti na mashababi ambao huachia hadi afe wa mwisho ili wakapate mabkira.
 
Kama nchi ina intelligence imara haiwezi kukubari kuingia vitani na makundi ya kigaidi kama al shabab

Najua kabisa wakenya vita dhidi ya al shabab imeshawachosha lkn wanaona aibu kuondoka Somalia

Sent using my iPhone using jamiiforum app
 
Back
Top Bottom