Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Heshima sana Tiba Mimi naamini CORD wanazo copies za form 34,35 & 36 ambazo mawakala wao kwa vyovyote watakuwa wameshawapatia.Ninaamini pia wanataka copies za IEBC ambazo zitaonyesha utafauti na zile mawakala wa CORD hapo ndipo kesi itanoga.IEBC wanajua zipo tofauti ndiyo maana hawataki kuwapatia CORD hizo forms ambazo si classfied documents.
Mkuu ukwelikitugani endelea kutujuza kila kinachoendelea.Ningependa pia kupata maoni ya Ab-Titchaz katika hili sakata.
Mkuu ukwelikitugani endelea kutujuza kila kinachoendelea.Ningependa pia kupata maoni ya Ab-Titchaz katika hili sakata.
Mimi nilitarajia CORD watatumia copies za form 34, 35, 36 ambazo zilibaki na mawakala wao vituoni badala ya kuitaka IEBC itoe za kwake. Wao watoe walizo nazo, halafu IEBC itakuja na za kwake kama zilivyowakilishwa na returning officers. Sasa hii ya kutaka tume itoe docs ambazo CORD ndio watazitumia kama ushahidi ainiingii akilini hata kidogo.
Ngoja tusubiri tuone, tusiandikie mate wakati wino upo.
Tiba
Last edited by a moderator: