Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Breaking News: IEBC agrees to supply CORD, Jubilee with final documents of registered voters and presidential results as demanded by CORD...by Citizen
mbona naona analysis yako si sawa? kwa sababu kwenye mchjo wa wabunge kuna mtu alukuwa may be TNA, lakini hakupitishwa akaenda chama kingine, kama yule Mama wa Othaya, sasa utaona ubunge chama kingine uraisi kura kwingine, na vivyo hivyo ukienda sehemu zingine kama kisumu n.kRaila kura hajaibiwa unaweza tu pima kutokana na chaguzi za gavana, wabunge nk
Ukiangalia tu chama cha Ruto karibu kinaenda sawa sawa na namba ya Raila ODM, hapo hujachanganya TNA, na ya Ngilu. Nitofauti kabisa ni ile ya mwaka 2007.
KWa chaguzi za kama Kenya ni vigumu ushindwe uwe na majority kwa bunge harafu hapo hapo usema umeibiwa urais, maana kwa asilimia kubwa Kenya wanaokupigia ubunge kwa chama chako ndo hao hao wanaokupigia urais
mbona naona analysis yako si sawa? kwa sababu kwenye mchjo wa wabunge kuna mtu alukuwa may be TNA, lakini hakupitishwa akaenda chama kingine, kama yule Mama wa Othaya, sasa utaona ubunge chama kingine uraisi kura kwingine, na vivyo hivyo ukienda sehemu zingine kama kisumu n.k
(a) The numbers of all handheld transmission devices that were used to electronically transfer date from polling stations to the tallying centre.
It is such a shame that the Mount Kenya Mafia have taken over the country and show such disregard for the rule of law! All the information is the property of the people of Kenya! That the elections were rigged is an open secret! Kenyans were asked to vote for peace and not justice, sound governance, or true democratic expression.
Mkuu yawezekana analysis haiko sawa lakini, angalia tu kila county na wabunge/gavana nk wametoka chama kipi na uje ulinganishe county hizohizo mgombea wa urais amevuna je kwa county hizo.
Mfano kisumu karibu kote ma-gavana ni wa cord na angalia mgombea wa urais huko amevuna kura kiasi gani kwa county hizo. Kwa kenya ni nafikri ni rahisi sana ku-predict kama kweli kura zimeibiwa ama la! ni tofauti na Tz, Tanzania unaweza usipate mbunge lakini ukapata urais.
Tz hatuna priority zozote kwa upande wa wagombea kikanda , kidini nk, upepo ukivuma vizuri vijana wakafuata bendera basi unavuna kura. Mfano, Kama ungetokea uchaguzi wa urais kwa kipindi cha kikombe cha babu leliondo, na yule babu akaamua kugombea wakati ule basi sishangai kama ingebidi kuchakachua kura ili asishinde. Lakini kwa Kenya ni very predictable.
mbona naona analysis yako si sawa? kwa sababu kwenye mchjo wa wabunge kuna mtu alukuwa may be TNA, lakini hakupitishwa akaenda chama kingine, kama yule Mama wa Othaya, sasa utaona ubunge chama kingine uraisi kura kwingine, na vivyo hivyo ukienda sehemu zingine kama kisumu n.k
Raila kura hajaibiwa unaweza tu pima kutokana na chaguzi za gavana, wabunge nk
Ukiangalia tu chama cha Ruto karibu kinaenda sawa sawa na namba ya Raila ODM, hapo hujachanganya TNA, na ya Ngilu. Nitofauti kabisa ni ile ya mwaka 2007.
KWa chaguzi za kama Kenya ni vigumu ushindwe uwe na majority kwa bunge harafu hapo hapo usema umeibiwa urais, maana kwa asilimia kubwa Kenya wanaokupigia ubunge kwa chama chako ndo hao hao wanaokupigia urais