Why is Tanzania not a member of the The East African standby Force?

Sherlock

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2018
Posts
1,375
Reaction score
1,362
EASF is still fairly young. As the EASF attained Initial Operational Capability (IOC) in 2015.
The EASF includes a number of larger member states (Sudan, Ethiopia and Uganda), a number of coastal countries in the Horn of Africa (Djibouti, Somalia and Kenya), t wo small landlocked Central African states (Rwanda and Burundi) and two island states (Seychelles and the Comoros) .
 
Mkilala Tz mkiamka Tz [emoji23][emoji23][emoji23]napenda venye Tz inawakosesha raha hadi hamuishiwi kuitamka tamka ovyo
 
Mnapenda ku lamba Matako ya SA Sana . whereas Geopolitically you are not in Southern Africa.
Your emmidiate threats are more from the East than south.
Muungano wa majeshi dhaifu zaidi Africa

SADEC inatosha
 
Three of East Africa’s Presidents, Rwanda’s Paul Kagame, Uganda’s Yoweri Museveni and Kenya’s Uhuru Kenyatta have visited Ethiopia’s Metals and Engineering Corporation (metec), metec is not only a statement but also a testimony that military industrialization in Africa is possible.

ATTACH=full]1160015[/ATTACH]
 
Watz walivyo waoga, waliogopa kujiunga kwenye hilo kundi baada ya kuskia linaweza kutumika kupigana dhdi ya Alshabaab, yaani ukitaja chochote kinachohusu mashababi, Watz hupitia mbali kama wamekunja mikia....hehehe.....ila inabdi tuwaelewe maana mziki dhidi ya hawa magaidi unahitaji usiwe dhaifu, kumbuka Watz walivyosumbuliwa na kuhangaishwa na vjana wao wanywa gongo/chang'aa kule msitu wa Amboni kwa muda mrefu tu, hao hao wanywa gongo waliwasumbua sana Kibiti, sasa ikiwa wanaweza kulizwa na vijana dhaifu kiasi hicho, je wakivurugwa na mashababi bin shetwan wataihama nchi.

Kuna kipindi Alshabaab walihojiwa na kuulizwa mbona wameikosesha amani Tanzania, wakasema hawana ugomvi na Tanzania na hawapo huko, kwamba wanaowaliza Watz ni vijana wao tu wa Kitanzania na wala sio Alshabaab. Hivyo, ni jambo la kueleweka kwanini Watz hawawez kuthubutu chochote wala hata kuelekeza kidole dhidi ya mashababi, muungano kama huu wa majeshi ilipotajwa utahusika kuwapiga mashababi, Watz walikaa mbali nawo.
 
nyie mliopigana na mashababi mmefikia wapi zaidi ya kuonyesha jeshi lenu ni dhaifu kuliko yote, mashababi yameuwa wanajeshi wenu wengi yameua raia wenu wengi na bado yakateka na wanajeshi wengine na kuwadhalilisha na kuwaua huku wakiwarekodi, sasa mmepata faida gani zaidi ya kujidhalilisha na kuonekana dhaifu sana kijeshi
 

Tumefaulu kuwakingia nyie kifua, maana haya mashababi yakiachiwa yataiteka Afrika Mashariki yote, hivyo tumeyabana yamebaki ndani. Huwa wanachomoka mmoja mmoja anajitoa mhanga, ila hawana tena uwezo wa kuteka nchi yoyote.
Huko kwenu mlivyo na migawanyiko ya kidini, mashababi yangepata raha sana kama yengafaulu kufika huko, ila tumeyadhibiti.
 
Mnapenda ku lamba Matako ya SA Sana . whereas Geopolitically you are not in Southern Africa.
Your emmidiate threats are more from the East than south.
Wewe kinyamshina hebu tuambie malengo ya huwa muungano na mafanikio yake matatu mpaka sasa

Saana naona ni muungano wa nchi zaidi ya
9 ajiri ya al shabab

Note Malawi, SA na Tz waliwapiga M-23 kwa only single night na wakaisha
 
Ny Nyinyi kazi yenu ni pombe hatakwenye vita bado mnaiba pombe
 

Sasa kama Al shabab wenyewe walisema hawana Ugomvi na Tanzania unataka Tanzania ifanyaje?
 

Mzee huwa unajichanganya sana, Mbona umesema Al shabaab hawana Ugomvi na Tanzania, mnatukingia Kifua dhidi ya Nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…