Why is Tanzania not a member of the The East African standby Force?

Somalia ni vita mlivojitakia wenyewe hakuna mtu alieatuma huko[emoji38][emoji38][emoji38] leo hii mumekalia kuti kavu munatafuta pakutokea
Watokeje USA kesha sema lazima manyani yapigane huko badala yao
 

Yaani kweli unadiriki kuuliza hivyo?

 
Hawakufika Tz ndio maana hatakuhusika nao.
Lau wangefika Tz wangefanyiwa km walichofanyiwa M23.
We umkingie nan kifua aisee ilhali umepigwa had ndan ya mipaka yako??
 
Kwan hakuna vijana wakenya alshabab?
Tena huko mombasa wamejaa kichiz.
Hawakuingia tz wangeingia wangekumbushwa ya m23.
 
Naona imekuingia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382][emoji382]manake umekurupuka na kisukuma usiku huu....hapa sio chato airport
Al shababu wanataka kuikomboa Kenya kutoka Kwa vibaraka wa wazungu wa serikali feki inayo waifadhi RAIA wake kwenye mazizi ya slum huku ardhi yote wakimilikishana na wazungu
 
Km nynyi mnavyoabudu uchawi..ndo manake hamtoki namba moja ki dunia
Wakenya amjui kitu zaidi ya kingereza cha kumwabudu mzungu hata hayo uyajui kuusu nyerere !!!!!!!????
 
M23 ni akina nani...hao si ni wahuni tu km panya rodi...hta gaza wa nairobi wanawasambaratisha
Hawakufika Tz ndio maana hatakuhusika nao.
Lau wangefika Tz wangefanyiwa km walichofanyiwa M23.
We umkingie nan kifua aisee ilhali umepigwa had ndan ya mipaka yako??
 
Usiropoke man.
Serikali yao ya Congo imewashindwa mpk kutuita.
M23 ni child soldiers wanawatoa jasho huku wamejiami na mipanga🤔🤔 je mkipatana na shababu SI mtajinyea. Ligi yenu ni M23 na kina Komoro.
 
M23 ni child soldiers wanawatoa jasho huku wamejiami na mipanga[emoji848][emoji848] je mkipatana na shababu SI mtajinyea. Ligi yenu ni M23 na kina Komoro.
M23 wameshateketezwa,Comoros waasi waliteketezwa aya bro nambie ww ulipigana battle ipi ukashinda??
Hakuna mwaka Kdf imeleta report nzuri ila vifo tu mpk kupoteza raia wenu.
 
M23 ni child soldiers wanawatoa jasho huku wamejiami na mipanga[emoji848][emoji848] je mkipatana na shababu SI mtajinyea. Ligi yenu ni M23 na kina Komoro.
Hao Alshabab tumewasikia kwenye clip yao wakisema "salam Tanzania msidhan tumewaachia tutaingia......."
Wakijaribu yale missilles ya gambosh yatawahusu.
 
Yaani kweli unadiriki kuuliza hivyo?

View attachment 1160830
Boss huu ndio ushahidi kwamba Nyerere aliwapa Mau Mau Landrover kama ulivodai? Alafu unaelewa chochote kuhusu vita vya Mau Mau? Landrover waliitumia kufanyia nini? Jombaa, mimi hapa ni mjukuu wa shujaa wa Mau Mau. Historia ya Mau Mau kwangu ni suala personal, na nimehusishwa kwenye research kadhaa rasmi kuhusu historia na vita vya Mau Mau. Acha kupenda kiki reja reja.
 
Alafu unaelewa chochote kuhusu vita vya Mau Mau? Landrover waliitumia kufanyia nini?
KANU ilikuwa oppressed zaidi na Waingereza kuliko TANU, hata vyama vya siasa Kenya vilifutwa na wakoloni hao na kuweka ukabila (ambao inasikitisha mpaka sasa mmeshindwa kuuondoa) ili kupunguza nguvu yenu na hatmaye kuanza kwa vita vya MAU MAU.

Kipindi hicho wapigania uhuru wa Kenya wasingeweza kuwa na uwezo wa kununua motokaa, kutokana na jinsi waingereza walivyokuwa wamewakaba koo, hivyo viongozi wa TANU waliwaletea Land Rover kinyemela (illegally) ili muitumie katika harakati zenu za uhuru.

Siyo Kenya tuu hata Mandela na Mbeki walitumia passport za Tanzania kinyemela ili kuweza kusafiri nchi mbalimbali ila huwezi pata taarifa hizi (za ndani) mitandaoni.
 
Boss, eti mlianzisha SADCC? Alafu mkataba ukatiwa saini Lusaka, Zambia na makao makuu yakawa Gaberone, Botswana? 😕😕😕 Mlitumia ile sayansi yenu pendwa ya kiafrika kuianzisha au?

Wengi wenu hamjui kitu, mnabwabwaja tu kama Wendawazimu.
 
Nimesoma hadi vitabu na archives za barua za mkoloni na official documents pale Kenya National Archives. Acha nikupe new information, Jaramogi Oginga Odinga pekee yake ndiye aliyesababisha mkoloni akamuachilia huru J.Kenyatta.
Baada ya yeye kukataa kuwa P.M. wa Jamhuri mpya ya Kenya. Mkoloni hakuwa na nia ya kufanya hivyo, na Jomo Kenyatta akiwa kwenye gereza Maralal mkoloni alimletea ndoo ya pombe kali kila siku ili afe kwasababu ya ugonjwa wa ini.
 
Kenyatta betrayed mau mau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…