Huu uwezo umeujulia wapi?
Nipe parameters zote sio unaongea kama umepigwa ufunguo!
Nimefika kwenye Kiswahili kibovu namna hiyo nimeacha kusoma zaidi..
You must be wasting out time..
Yaani Mswahili wa Tanzania Kiswahili unafeli?
Shame on you my brother!
Inawezekana kiswahili kikawa shida hapa na pale, lkn muktadha mzima wa bandiko langu ndiyo jambo muhimu, na nadhani umeelewa.
Pia waweza kufungua uzi kuhusiana na makosa ya kiuandishi katika lugha ya kiswahili.
Acha kujitetea upumbavu!
As a man,unasimama unasema umekosea and its on me unabangusa matako tunaendelea na hoja!
Sio unajitetea na mavi zaidi!
Mswahili kukosea Kiswahili ni kosa lako binafsi,sema nitalirekebisha then uendelee!
Kuhusu hoja yako kwenye uzi bado ni hoja mufilisi,maana tumekuomba utupatie parameters ulizokagua na kujua beyond reasonable doubt kwamba Kenya kiulinzi haina uwezo zaidi ya Tanzania!
Parameter niliyoona unaiwekea matako sana ni hiyo ya wingi wa fujo Kenya na uchache wa fujo Tanzania...
Kua na uchache wa fujo haimaanishi ndio tupo safe,by nature Watanzania ni wakimya tofauti na Kenya!
Ndio maana kwenye happiness index Kenya wapo mbali sana zaidi yetu....
Parameters kama bajeti ya ulinzi,idadi ya missile arsenal na amory kwa ujumla wake,parameters zipo nyingi,wewe unaleta eti hakuna fujo....
Siku fujo zikitokea Tanzania ndio tutakua exposed ndio ujue tunaongelea shallow waters kiulinzi!
Kenya is one of the few countries with the most progressive constitution in Africa and as such, anyone who is a threat to the democracy and security of our country cannot be tolerated...Im surprised you are quoting Miguna Miguna, who resides in Canada, is not a Kenyan citizen, does not hold any political position anywhere..
Aisee kumbe wewe una uwezo mkubwa sana wa kuchambua mada na pia unajua kiswahili vizuri mno. Safi sana.
dah jamaa unatokwa na povu balaa,pole sanaJoke not taken...keep it for yo'self!
Rightfully so...
Nchi yenye amani according to who?Wewe hapo?
Nchi yenye amani watu wanapotea bila maelezo yoyote?
Nchi yenye amani kiongozi wa jamii anapigwa risasi nje ya ofisi za serikali bila maelezo yoyote?
Nchi yenye amani wafanyabishara na waandishi wa habari wanapotea bila maelezo yoyote?
Bro,hakuna mtoto hapa,serikali ndio yenye violence against peaceful citizens,hiyo ni serikali dhalimu!
Serikali imehodhi violence,yenyewe tu ndio inaruhusiwa kufanya violence wengine wote hapana!
Kama hizi kwako ni amani basi mkuu utakua mnafiki namba moja nchi hii....
Anyone is capable being a devil or a nice person whenever he/she wants....kuniletea hapa eti uamuzi wa hao akina mama,ni nonsense!
Huwezi control uamuzi wa mtu kufanya mema au mabaya,ni uamuzi wake binafsi,jukumu la serikali ni kujaribu kuzuia maovu kutokea kadri inavyo wezekana!
Mkuu,sometimes tuache unazi wa kipumbavu kabisa,Kenya ni nchi iliyopo ahead of us,hii ni fact,ku-act kama hulioni hilo inaonesha una unafiki wa ajabu sana....
Ulinzi kama ulinzi wapo mbele yetu,hata bajeti yao ya ulinzi ni kubwa zaidi ya kwetu...Kwa jamii yao ya vurugu,Kenya wanajitahidi kulinda nchi yao....Kenya ingekua na watu wapole kama Tanzania ingekua even far away....
Hapa sio kusifia nchi au kulamba watu matako,hapa tunatakiwa tujifunze yote mazuri ya wenzetu na tujifunze kwa mwendo wa haraka sana na sio kuleta viburi vya kipumbavu kama vyako!
Cha kwanza kizuri cha kuiga ni Transformative Kenyan Constitution,ile ingetakiwa tu-copy kama ilivyo tufute neno Kenya tu....
Hiki kimetushinda,na ulivyo wa ajabu unadhani eti nchi hii iende mbele bila katiba kali kama ya Kenya au Ghana,etc!
Kinachoniuma zaidi bado tunatumia katiba aliyotuachia Muingereza...na bado kuna wapumbavu wa CCM wanasema hakuna cha katiba tena!
Ulipaji wa kodi wapo 20% sisi tupo 12%....pia hili tusiige?
Power generation wametuzunguka mara kadhaa,halafu wewe unaongea ujinga gani?
Mimi naumia sana napoona wapumbavu humu Tanzania wanasherehekea mediocrity ya systems zetu hapa eti ndio uzalendo..upunguani kabisa!
Failure ain't fatal. Death is irreversible. Tanzania is a dry bone. A cadaverous state!Write your reply...
kuna watu humu kiingereza miiiingi,kichwani hamna kitu..
kenya is failed state.
Eliakeem....you have no idea the number of illegal firearms circulating in the united states...Lol american cities are some of the most violent places to live..gun violence is out of control in america..talk of mass shooting,gang warfare,white supremacist gun violence etc etc...anyway my point was despite all that,they have managed to build a super power country with a lot of influence in the world,so you see my bro,your reasoning is misleading...Tanzania is an island of peace,yet its just another third world dystopia..so tell me,if it were you,would you rather live on your knees in a dictatorial poverty ridden third world country or try your lucky hand in a first paced,high octane enviroment with limitless possibilities and die on your feet like a real man...i can go deeper and show you the deep correlation between capitalism,violence,success and fulfilment,but i thought you were an economist,you should know better you know.
Failure ain't fatal. Death is irreversible. Tanzania is a dry bone. A cadaverous state!
Lakini hatuli kinyesi ama watoto kama watu fulani ambao hawapendi kuambiwa ukweli ili warekebishe.kiingeresa miingi huku mko na njaa mob
Lakini hatuli kinyesi ama watoto kama watu fulani ambao hawapendi kuambiwa ukweli ili warekebishe.
Ahahaaaaa tehteh tihiii napenda kuongea na watu HAWAJASOMA na WENYE UELEWA FINYU. te teh tihiiiiiiiii.Ahaaa haaa haaa
Acha kutafutiza sababu, njoo huku uone JINSI tunavyogawa lavu.
Kua serious wewe,eti failed state...
Failed state ni nchi yetu,imejaa udikteta na demokrasia haimo kabisa ndio failed state!
Kenya walao wana demokrasia inayofanya kazi,wana katiba transformative,sio tunaongelea upumbavu hapa!
I'm a Tanzanian,ila huu upumbavu aisee ni wa kuacha,tujifunze!
Ahaaa haaa haaa
Kiingereza mingi huku wa KDF NYINGINE Turkana inayoongozwa inchaji minyota mama kayaii.
Lakini hatuli kinyesi ama watoto kama watu fulani ambao hawapendi kuambiwa ukweli ili warekebishe.