Why Kenya is Referred To As a Failed State!

Why Kenya is Referred To As a Failed State!

And the attributes of a dead state are quite appalling.Tanzania has all of them.
Tanzania is a weak nation and the standard of living has really declined.
Inability to raise taxes.
Dictatorship. Who doesn't know that freedom of thought and expression is suppressed there? The dictator believes in his strong personality and hates to be corrected in order to maintain political supremacy.
A country where people are led like sheep.Forced to worship the govt &praise it even when it's wrong.
A dead state can't be revived.
 
niko na na nyama ya albino...kw bei rahisi tu...nani ywataka...
 
joto lajiwe una ngapi...njoo tutaelewana tu...bwahaaa
 
And the attributes of a dead state are quite appalling.Tanzania has all of them.
Tanzania is a weak nation and the standard of living has really declined.
Inability to raise taxes.
Dictatorship. Who doesn't know that freedom of thought and expression is suppressed there? The dictator believes in his strong personality and hates to be corrected in order to maintain political supremacy.
A country where people are led like sheep.Forced to worship the govt &praise it even when it's wrong.
A dead state can't be revived.

Ahaaa haaa haaa
So that is all you can SAY!!??
 
Hahahahaha, mbona unakwenda kinyumenyume?, dunia inazungumzia China kuipita USA in few years to come, wewe unazungumzia India ambayo kwa sasa haipo hata katika top 5. Kabla India hajampita China, kwanza ampite
6)France
5)UK
4)Germany
3)Japan
ndipo amkute Mchina namba 2 kwasasa, wakati huo China atakua tayari ameshakua namba moja. Sio ndani ya karne hii.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hivi wewe mzima kweli?

Unazungumzia mataifa yaliyokwisha endelea hayawezi endelea zaidi ya Germany,UK,Japan,etc unafananisha na taifa ndio kwanza linachipua?

Hivi shule ulifundishwa concept nzima ya comparison scenerios ya hoja yoyote kweli?

Mataifa yalishakua,yalishafikia plateau siku nyingi,hayana cha kuongeza zaidi yanakua kwa 1%,wakati India ndio kwanza bikra inakua kwa 15% unprecedented kabisa!

Acha ukichaa!

China comparison yake ni India maana chumi zao ndio mpya,ndio zinakua..

Kuiweka China level za Japan,Germany,etc ambao walishavuka hata ubora wa binadamu

Wakati China ndio kwanza anapambana kusafisha pollution na ubora wa maisha ya binadamu mmoja mmoja....

Kwa kifupi angalia tu PPP ndio utaelewa Mjapan mmoja ana-earn mara ngapi ya Mchina mmoja ndio uje upige filimbi mfu hapa!

Ulivyo wa machakani utakua unaangalia pato ghafi la taifa unashindwa kujua idadi yao ni kama nyuki linanyausha pato lote into stupid numbers!

Ubora wa maisha wa mwanadamu wa United States of America huwezi compare na uchafu wa China wewe!

Nchi zilizoendelea zina mifumo imara

Kwa mfano mdogo tu China mpaka leo haina hata mfumo imara wa patients sasa sijui inventors wake wanafanyaje innovation kama hakuna ulinzi wa patients kama USA?

Ndio maana Chinese inventors wote wanakimbia China wanaenda kufanya innovation Silicon Valley,CA.

Maana kuna mfumo imara wa patients na judiciary system imara kabisa ku-guarantee justice!

Ndio maana China wanaishia ku-copy technolojia ndogo ndogo na rahisi rahisi na results zake ni upumbavu mtupu!

Nchi ya kipumbavu kama hiyo huwezi compare na nchi zenye mifumo na demokrasia imara kama USA,Germany,Japan,UK.....huwezi!
 
jane..joto la jiwe hujamuona...manake tuna dili mi na yeye..lkn simuelewi
 
Mkuu hivi unajua China developed materially in expense of what au unajisemea tu?

China is a stupid model!

System around supreme communist party of China is a very stupid model which has a deadline and it is running out fast!

You know why India will surpass China in 50years to come?It is democracy!

Development power in India is people centred,tofauti na China whereby everything is owned by the supreme communist party,and if you fvck up you are dead....

China is on autopilot,when citizens riot there are no valves to release the pressure,India has which is called democracy valves!

Huwezi fananisha upumbavu wa China na maendeleo ya kweli yanayoendeshwa na watu wa chini,kati na juu kama United States,Germany,Japan,etc....huwezi!

Model ya China ina apply kwao tu,no other country can do that,na hakuna mtu ana-copy utopia!

Chinese middle class na upper class inajaa,watataka uhuru zaidi,watataka haki zaidi,supreme communist party will be in trouble....

Elewa,ndio maana Chinese best leader of all time Deng Xiaoping alituma group la Wachina washuke Singapore kujifunza ubepari unafanyeje kazi na kau-copy kutoka kwa Lee Kuan Yew....

Alituma jopo,wakatoa copy madesa,wakaenda ku-implement China ndio maana unaona viwanda huko leo..

Leo ndio wewe na Jiwe mnataka kui-copy China na system yao ya kijinga kabisa ambayo hakuna taifa lolote duniani limefanya likafanikiwa?DPRK ni bure kabisa!

Chinese Communist Party is on borrowed time my friend....!
Nimekudharau nilivyosoma eti india will surpass china in 50yrs. Gap is widening niga, mtu anamkimbiza mmarekani, unasema wale wahindi wachafu watampita.
Mbumbumbu kweli ww.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi wewe mzima kweli?

Unazungumzia mataifa yaliyokwisha endelea hayawezi endelea zaidi ya Germany,UK,Japan,etc unafananisha na taifa ndio kwanza linachipua?

Hivi shule ulifundishwa concept nzima ya comparison scenerios ya hoja yoyote kweli?

Mataifa yalishakua,yalishafikia plateau siku nyingi,hayana cha kuongeza zaidi yanakua kwa 1%,wakati India ndio kwanza bikra inakua kwa 15% unprecedented kabisa!

Acha ukichaa!

China comparison yake ni India maana chumi zao ndio mpya,ndio zinakua..

Kuiweka China level za Japan,Germany,etc ambao walishavuka hata ubora wa binadamu

Wakati China ndio kwanza anapambana kusafisha pollution na ubora wa maisha ya binadamu mmoja mmoja....

Kwa kifupi angalia tu PPP ndio utaelewa Mjapan mmoja ana-earn mara ngapi ya Mchina mmoja ndio uje upige filimbi mfu hapa!

Ulivyo wa machakani utakua unaangalia pato ghafi la taifa unashindwa kujua idadi yao ni kama nyuki linanyausha pato lote into stupid numbers!

Ubora wa maisha wa mwanadamu wa United States of America huwezi compare na uchafu wa China wewe!

Nchi zilizoendelea zina mifumo imara

Kwa mfano mdogo tu China mpaka leo haina hata mfumo imara wa patients sasa sijui inventors wake wanafanyaje innovation kama hakuna ulinzi wa patients kama USA?

Ndio maana Chinese inventors wote wanakimbia China wanaenda kufanya innovation Silicon Valley,CA.

Maana kuna mfumo imara wa patients na judiciary system imara kabisa ku-guarantee justice!

Ndio maana China wanaishia ku-copy technolojia ndogo ndogo na rahisi rahisi na results zake ni upumbavu mtupu!

Nchi ya kipumbavu kama hiyo huwezi compare na nchi zenye mifumo na demokrasia imara kama USA,Germany,Japan,UK.....huwezi!

Ahaaa haaa haaa
Katika kutoa hoja kuna aina mbili.
Mosi namna ya kutoa hoja.
Pili hoja yenyewe.
Punguza drama na mihemuko.
Tulia katika kutoa hoja, usipozingatia, watu watafuatilia zaidi drama zako kuliko hoja zako.
 
Nimekudharau nilivyosoma eti india will surpass china in 50yrs. Gap is widening niga, mtu anamkimbiza mmarekani, unasema wale wahindi wachafu watampita.
Mbumbumbu kweli ww.


Sent using Jamii Forums mobile app

Ahaaa haaa haaa
Huyu jamaa kuongea naye utapoteza muda bure. Kwanza hata mada inayoongelewa haikumbuki tena. Ni sawa na ujumbe ambaye mwenyekiti wa kikao anamuacha tu aongelee mambo ambayo hayako kwenye ajenda.

Kwa AKILI yake eti the headquarters of poverty and uchafu India, anaifananisha na China.
Anajua ya kuwa uchumi wa China unakuwa kwa kasi mpaka they call for cool.
 
jane..joto la jiwe hujamuona...manake tuna dili mi na yeye..lkn simuelewi
Kapigieni dili zenu huko pm. Mi' nachukia sana haya mambo ya kuchinja albino na watoto wadogo . Sipendi kuangalia picha/videos.Muelekeze jito la jiwe huko PM mjadili zaidi
 
Joke not taken...keep it for yo'self!



Rightfully so...


Nchi yenye amani according to who?Wewe hapo?

Nchi yenye amani watu wanapotea bila maelezo yoyote?

Nchi yenye amani kiongozi wa jamii anapigwa risasi nje ya ofisi za serikali bila maelezo yoyote?

Nchi yenye amani wafanyabishara na waandishi wa habari wanapotea bila maelezo yoyote?

Bro,hakuna mtoto hapa,serikali ndio yenye violence against peaceful citizens,hiyo ni serikali dhalimu!

Serikali imehodhi violence,yenyewe tu ndio inaruhusiwa kufanya violence wengine wote hapana!

Kama hizi kwako ni amani basi mkuu utakua mnafiki namba moja nchi hii....



Anyone is capable being a devil or a nice person whenever he/she wants....kuniletea hapa eti uamuzi wa hao akina mama,ni nonsense!

Huwezi control uamuzi wa mtu kufanya mema au mabaya,ni uamuzi wake binafsi,jukumu la serikali ni kujaribu kuzuia maovu kutokea kadri inavyo wezekana!

Mkuu,sometimes tuache unazi wa kipumbavu kabisa,Kenya ni nchi iliyopo ahead of us,hii ni fact,ku-act kama hulioni hilo inaonesha una unafiki wa ajabu sana....

Ulinzi kama ulinzi wapo mbele yetu,hata bajeti yao ya ulinzi ni kubwa zaidi ya kwetu...Kwa jamii yao ya vurugu,Kenya wanajitahidi kulinda nchi yao....Kenya ingekua na watu wapole kama Tanzania ingekua even far away....

Hapa sio kusifia nchi au kulamba watu matako,hapa tunatakiwa tujifunze yote mazuri ya wenzetu na tujifunze kwa mwendo wa haraka sana na sio kuleta viburi vya kipumbavu kama vyako!

Cha kwanza kizuri cha kuiga ni Transformative Kenyan Constitution,ile ingetakiwa tu-copy kama ilivyo tufute neno Kenya tu....

Hiki kimetushinda,na ulivyo wa ajabu unadhani eti nchi hii iende mbele bila katiba kali kama ya Kenya au Ghana,etc!

Kinachoniuma zaidi bado tunatumia katiba aliyotuachia Muingereza...na bado kuna wapumbavu wa CCM wanasema hakuna cha katiba tena!

Ulipaji wa kodi wapo 20% sisi tupo 12%....pia hili tusiige?

Power generation wametuzunguka mara kadhaa,halafu wewe unaongea ujinga gani?

Mimi naumia sana napoona wapumbavu humu Tanzania wanasherehekea mediocrity ya systems zetu hapa eti ndio uzalendo..upunguani kabisa!
Bravo, painful truth lakini kwakuwa baadhi ya Wabongo hupenda kuandika kiushabiki linapokuja suala la kujilinganisha na Kenya na mleta mada atajifanya hajakuelewa.
Wa'Tz majority are so brainwashed na wengine wanaujua ukweli but they deliberately try so stupidly to deceive those who don't know the real shit. Tumezoea ku'politicize mambo na kujitoa ufahamu hata kwenye obvious subjects. Ni upuuzi wa hali ya juu.
 
Back
Top Bottom