Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,184
- Thread starter
- #21
mefika wakati sasa sisi wasukumua, wanyamwezi tuunde ka timu na wanyakyusa tuweke mtu wetu pale magogoni naona ccm ni ya vikabila vidogo dogo visivyo na historia ya maendeleo yeyote.mtaletewaje maendeleo na watu wasioyajua? na CDM ni wa kaskazini zaidi na kihistoria tuna wasiwasi nao na uzalendo wao na taifa hili hawa wachaga, waarusha, wapare kidogo, wamasai kidogo hapa na pale na kule kwa wale wajinga jinga wambulu.
Tyranny of numbers lazima ifanye kazi hapo.Hawa watu wamejenga nchi hii bila uvivu na wanahitaji kiongozi wao kuendeleza hili taifa. umeona wapi hata marekani ni wale protestant-anglo saxons pekee yao ndiyo wanaopendekezwa kuongoza kwa sababu ni majority, wana historia ya kua progressive na clean tofauti na italian americans, mexican americans, afro americans etc etc. hapa tunawapa wadengereko nchi mnategemea nini?
ukabila TZ will never work maybe in your own dreams. Are u a dreamer? Maendeleo ya makabila unayoystaja mimi siyaoni zaidi ya kuwa vinara wa ushirikina tu. Tangia lini nchi ukawakabidhi wachuna ngozi na wauaji wa vikongwe tutakuwa kweli tumerogeka! na baadhi yao wanaua mazeruzeru ambao hata hawajifichi!