WHY Kenyan POLLSTERS risked and stained their reputations on presidential election forecasts!

WHY Kenyan POLLSTERS risked and stained their reputations on presidential election forecasts!

mefika wakati sasa sisi wasukumua, wanyamwezi tuunde ka timu na wanyakyusa tuweke mtu wetu pale magogoni naona ccm ni ya vikabila vidogo dogo visivyo na historia ya maendeleo yeyote.mtaletewaje maendeleo na watu wasioyajua? na CDM ni wa kaskazini zaidi na kihistoria tuna wasiwasi nao na uzalendo wao na taifa hili hawa wachaga, waarusha, wapare kidogo, wamasai kidogo hapa na pale na kule kwa wale wajinga jinga wambulu.

Tyranny of numbers lazima ifanye kazi hapo.Hawa watu wamejenga nchi hii bila uvivu na wanahitaji kiongozi wao kuendeleza hili taifa. umeona wapi hata marekani ni wale protestant-anglo saxons pekee yao ndiyo wanaopendekezwa kuongoza kwa sababu ni majority, wana historia ya kua progressive na clean tofauti na italian americans, mexican americans, afro americans etc etc. hapa tunawapa wadengereko nchi mnategemea nini?

ukabila TZ will never work maybe in your own dreams. Are u a dreamer? Maendeleo ya makabila unayoystaja mimi siyaoni zaidi ya kuwa vinara wa ushirikina tu. Tangia lini nchi ukawakabidhi wachuna ngozi na wauaji wa vikongwe tutakuwa kweli tumerogeka! na baadhi yao wanaua mazeruzeru ambao hata hawajifichi!
 
CITIZEN TV waliikodisha na CITIZEN wao wenyewe kwenye matangazo yao walikuwa wanawaita pamoja na Infotrack na kusema kwa uwazi. Kama siyo mfuatiliaji nenda ka-google utapata haya yote siyo siri. No need to prove the obvious!
so kuwaita kwenye vipindi na matangazo ya Citizen Tv ina maanisha walikuwa wanatumiwa? mbona husemi kuhusu KTN au NTV waliokuwa wanazialika hizi marketing consulting firms mbili ? kweli una pungufu wa maarifa ndugu!
 
so kuwaita kwenye vipindi na matangazo ya Citizen Tv ina maanisha walikuwa wanatumiwa? mbona husemi kuhusu KTN au NTV waliokuwa wanazialika hizi marketing consulting firms mbili ? kweli una pungufu wa maarifa ndugu!

tatizo lako wewe ni pupa........sijasema hivyo. Rudia na utafakari nilichoandika na ambacho wadhani umeelewa. Khalafu jipime mwenyewe...........sitaki kukupima!
 
so kuwaita kwenye vipindi na matangazo ya Citizen Tv ina maanisha walikuwa wanatumiwa? mbona husemi kuhusu KTN au NTV waliokuwa wanazialika hizi marketing consulting firms mbili ? kweli una pungufu wa maarifa ndugu!

Achana nae huyo amekwisha lewa pombe ya lubisi
 
Ruta,

I like the way you have argued on the dynamics of the Kenyan General Elections. It is true also that Kenyan Elections is fundamentally driven by tribal loyalties exactly the way Mutahi Ngunyi expressed in his Tyranny of Numbers. Some commentators called it as hoax or myth. However, my biggest concern is the role IEBC has failed to assure Kenyans of its impartiality during the elections process due to total failure of EVR and BVR. Electronic tallying exercise was marred and collapsed. The total failure of electronic voting and tallying caused IEBC to resort to manual counting and tallying which we all know is susceptible to manipulations to people who want to maintain the status quo.


Kenyans invested heavily in electronic voting and tallying so as to bring in integrity and transparency in the 4th March 2013 General Elections. This investment has proved futile. Rutta, how do you account on these anomalies? Democracy in Africa has a long way to go.
 
Rutashubanyuma angalia majority wanafanya nini...kila kabila lina wajinga wake, sema ni minority au majority kwenye kabila husika. kwangu mimi hayo makabila yako progressive na wanaweza kuwa easily mobilized towards voting as a block.


Ruta nafikiri unasahau kwamba basically a nation-state ni foreign concept to us-Africans. Muafrika ndani yake kabisa anaangalia kin, clan, na tribe yake kama siyo region. Tz mnajidanganya sana kusema ukabila hamna, mbona wewe Mhaya unashindwa kwenda uchagani, usukuamani, au Kwa wagosi kugombea ubunge hata kama umeishi huko miaka 30 na kuongea lugha na ikiwezekana kuoa huko? no need to say more....as competition for dwindling resources continues, as population pressure increases while our economy fails to accomodate the majority of us, we will go back or cling/reinvent/assert our basic societal associations i.e tribe, region, religion etc to survive.

sasa hivi tumeanza na dini, then tribal affiliations and tribal assertiveness will follow. We r not immune or special to avoid this as long as our dreams as tanzanians keep on fading
 
Back
Top Bottom