ahahah,Wakenya bado mabogas kweli,lazima kwenye ubishani wazungumzie Kiingereza. kiingereza mnachoongea hata hao waingereza wamekisahau. Mnatumia dictionary kuna amaneno hata hao wazungu hayapo vichwani mwao.Mwalimu Nyerere alikosea sana kusisitiza Watanzania kutumia Kiswahili na kuchukia Kingereza maana mnapata tabu sana kwa taarifa ambazo zimeandikwa kwa Kingereza. Yaani hata usome mara ngapi bado haujaelewa kinachosemwa hapa. Na hii ndio mojawapo inayowaponza kiuchumi.
..vipi utaenda kulala kwa choo Leo?![emoji23]ahahaaa
Post yako inaonyesha unasoma economic, wanawake wa Kenya wapo kwenye opportunity cost,Sawa, we admit we are ugly,but that wasn't the subject matter of that article.
Re-read it, punk.
**SMH**
wabongo...
Labda mbio za olymbiki, kwa uzuri mhhh,Kenyan women are the most beautiful,sophisticated, intelligent. What a package!!
Seriously???Kenyan women are the most beautiful,sophisticated, intelligent. What a package!!
madem wa kenya wako cheap sana yani hata kuringaga mbele ya pesa hawaweziWhat can say to my friendly tz if a lady is beautiful and doesn't have brain private part sarver alot, kenya gal are cute,intelligent and have sobber hypothalamus [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kamwe kantu haintotokea...hakuna cha classic wala nini...ni kujipa moyo tu...hao wa corporate wanapenda tu kuongea kiingereza cha mbwembwe saaaana na nyie...lakini wanajua mipini ya kweli wanaipata wapi...nyie mnadata nao kwa sababu wa kibongo wako vizuri kuliko wa kwenuMan, Tanzania top class ladies date Kenyan men all the time and have low opinion on their male counterparts.
Labda wale wa uswazi ndio wamezoea kuwasifia nyie, lakini nenda kwenye corporate world ya Bongo utakuta sophisticated ladies ambao hawaishi kutupenda maana a Kenyan guy kwenye michezo ya classic romance huwa hatuchelewi.
Kilichofanya niseme hivyo ni vile majamaa wenu wengi hubonga, unakuta chali anaponda manzi eti ohh sijui miguu kama nini, mara eti mweusi, mara eti mfupi, mara hana hips mara this mara that, yaani insecurity and inferiority mtupu. Jamaa yeyote romantic huwa hananga hizo, demu yeyote anaweza kuwa mtamu, inategemea na vile unam-appreciate.
Bongo nimeishi, na majamaa wengi walikua wanabonga hivyo hivyo afu nimeikuta hata huku JF. Ninavyojua, manzi yeyote ukimpa respect and ufocus na vitu positive, hata kama ako aje, bado atakua msweet. Halafu kuna vitu nilikua nafanya Bongo afu jamaa wananishangaa, yaani ile tu ku-kiss manzi kwa beach, halafu kumdara kama mnatembea inakua kama movie juu watse wanajazana wakiwaangalia. Nilikua nampelea demu wangu kwa beach tunacheza game mob, inakua kama movie hadi inashusha confidence.
[emoji109]Labda unajifariji tu lakini mi nipo hapa for 7 yrs now....hata hao wa kilimanjaro/Arusha sio wengi waliokamilika chini hadi juu...labda wawe wamechanganyika na makabila mengine..lakini siyo wale pure....wale pure wanafanana na wa Nai hasa kuanzia kiunoni hadi chini ndipo mambo yalikoharibika...maeneo hayo ni vigumu kumpata msichana umbo namba nane na sura ya kuvutia!!!huo ndiyo ukweli...mimi nina girl friend wa kikenya ana sura nzuri lakini kuanzia kiunoni ni majanga...
For Kenyans women mapenzi is an employment[emoji109]