Why Kenyan women are having a hard time finding love in the Diaspora

Why Kenyan women are having a hard time finding love in the Diaspora

Zii mrembo, ni vile umekuta ngumi kati yangu na jamaaz wenu, isome poa nilichokua namaanisha, nimetumia neno "some" men wakati nilikua namfundisha jamaa wenu kuna romance zile jamaa hupenda kuslapiwa na manzi, yaani kuna fantansies za kila aina. Halafu unaweza kuta jamaa wamekosana na demu halafu arguement inakua hot hadi demu anamslap jamaa, na ghafla jamaa badala ya ku-retaliate ana-mpull na ku-kiss kishenzi yaani.

Unajua sex kila mtu huwa chizi, yaani hamnanga common sense humo ndani, na ndio unakuta kuna ku-suck na ku-lick na vituko za kila aina, mnakuwa wabunifu na kuanzisha vitu vyenye sio vya kawaida.

Dah! Kiswahili chenu, hata hatuwezi kuelewa mnachojadili.
 
Dah! utaipata hii kweli? ok lets talk about me, I get turned on by anything feminine, vyenye dame ana-smile, anavyo-ongea, anavyotembea, bra, G-string, nguo, lingerie name it. Lakini nasema kuna wakati dame anaweza kuwa anazusha, amekasirika na kugombana, ila namuona anazidi kuwa msexy the more anabonga mob. I just grab her, pull her in and kiss it off into a make up sex.

Hapa nimekubali, and I know that most of the times unexpected sex is the best sex,......halafu nikaulizaa, cause natamani kujua vile mwanzo wa post umesemaa ufundishe wanaume wa kibongo romance 101, ndo nauliza kwa mtazamo wako ina maana wanaume wa Kenya are more adventurous in bed?!
 
Bana eeh kuwa mbunifu kitandani, sometime allow some fantasies, you exchange roles.
Sometime allow the girl to run the show, they can be very creative. Sio kila siku umenuna tu.

so demu wenu wanavokuwa mad barabarani wanakuwa the same kwa bedroom? and you guys enjoy it?!
 
Hapa nimekubali, and I know that most of the times unexpected sex is the best sex,......halafu nikaulizaa, cause natamani kujua vile mwanzo wa post umesemaa ufundishe wanaume wa kibongo romance 101, ndo nauliza kwa mtazamo wako ina maana wanaume wa Kenya are more adventurous in bed?!

Kilichofanya niseme hivyo ni vile majamaa wenu wengi hubonga, unakuta chali anaponda manzi eti ohh sijui miguu kama nini, mara eti mweusi, mara eti mfupi, mara hana hips mara this mara that, yaani insecurity and inferiority mtupu. Jamaa yeyote romantic huwa hananga hizo, demu yeyote anaweza kuwa mtamu, inategemea na vile unam-appreciate.

Bongo nimeishi, na majamaa wengi walikua wanabonga hivyo hivyo afu nimeikuta hata huku JF. Ninavyojua, manzi yeyote ukimpa respect and ufocus na vitu positive, hata kama ako aje, bado atakua msweet. Halafu kuna vitu nilikua nafanya Bongo afu jamaa wananishangaa, yaani ile tu ku-kiss manzi kwa beach, halafu kumdara kama mnatembea inakua kama movie juu watse wanajazana wakiwaangalia. Nilikua nampelea demu wangu kwa beach tunacheza game mob, inakua kama movie hadi inashusha confidence.
 
Allah ameumba wanadamu katika umbo lililo bora, hakuna binadamu mkamilifu, na ndio maana tukaitwa wanadamu, human being.
Ipo sababu nyengine ambayo inayo wafanya wakose wanaume, lakini sio kwa umbile. Hebu tupeni sababu za msingi.
 
Kilichofanya niseme hivyo ni vile majamaa wenu wengi hubonga, unakuta chali anaponda manzi eti ohh sijui miguu kama nini, mara eti mweusi, mara eti mfupi, mara hana hips mara this mara that, yaani insecurity and inferiority mtupu. Jamaa yeyote romantic huwa hananga hizo, demu yeyote anaweza kuwa mtamu, inategemea na vile unam-appreciate.

Bongo nimeishi, na majamaa wengi walikua wanabonga hivyo hivyo afu nimeikuta hata huku JF. Ninavyojua, manzi yeyote ukimpa respect and ufocus na vitu positive, hata kama ako aje, bado atakua msweet. Halafu kuna vitu nilikua nafanya Bongo afu jamaa wananishangaa, yaani ile tu ku-kiss manzi kwa beach, halafu kumdara kama mnatembea inakua kama movie juu watse wanajazana wakiwaangalia. Nilikua nampelea demu wangu kwa beach tunacheza game mob, inakua kama movie hadi inashusha confidence.

OK mkuu!, nimekupata sasa, nakubali kweli sisi tuna turn out kuwa vile mnavo tuweka romantically, hata kama nasikia niko down vile utani treat let's say like a queen I'll definitely feel like a queen.

Lakini hapa niliona kama umegeuza story kwamba kupiga piga wanaume (kama demu yuko mad) is one of the sex fantansies nikashindwa elewa huyu jamaa ni aje?!
Sikubaliani na kudharau na kupiga wanawake, na kuna wakenya wengine wako hivo pia so you guys ain't saints either. I can say it's an African men stereotype.
Tuna enjoy kuwachapa (romantically), but don't chapa us back!
 
OK mkuu!, nimekupata sasa, nakubali kweli sisi tuna turn out kuwa vile mnavo tuweka romantically, hata kama nasikia niko down vile utani treat let's say like a queen I'll definitely feel like a queen.

Lakini hapa niliona kama umegeuza story kwamba kupiga piga wanaume (kama demu yuko mad) is one of the sex fantansies nikashindwa elewa huyu jamaa ni aje?!
Sikubaliani na kudharau na kupiga wanawake, na kuna wakenya wengine wako hivo pia so you guys ain't saints either. I can say it's an African men stereotype.
Tuna enjoy kuwachapa (romantically), but don't chapa us back!

Girlie, ni vile tu ulikua unasoma one sided bila kuangalia chenye jamaa wenu walikua wanaandika, ilikua firefight. Fuatilia thread yote kuanzia mwanzo uone comments za jamaa wa Kibongo ambao unasema wako romantic. Wanaponda eti demu Wakenya sura mbaya, mara sijui miguu... yaani ukishaona chali anabagua manzi yeyote basi ujue hivyo ndivyo alivyo hata akiletewa nani. Mimi hupenda mademu wote, awe Mbongo, Mkenya Mrwanda ama wapi.

Demu ni vyenye unamtreat na atakua mtamu tu. So usikomalie tu responses zangu, wasome tu jamaa zenu walivyo.
 
Girlie, ni vile tu ulikua unasoma one sided bila kuangalia chenye jamaa wenu walikua wanaandika, ilikua firefight. Fuatilia thread yote kuanzia mwanzo uone comments za jamaa wa Kibongo ambao unasema wako romantic. Wanaponda eti demu Wakenya sura mbaya, mara sijui miguu... yaani ukishaona chali anabagua manzi yeyote basi ujue hivyo ndivyo alivyo hata akiletewa nani. Mimi hupenda mademu wote, awe Mbongo, Mkenya Mrwanda ama wapi.

Demu ni vyenye unamtreat na atakua mtamu tu. So usikomalie tu responses zangu, wasome tu jamaa zenu walivyo.

You have a valid point, wasamehe tu chaliis wa kwetu and may be that's why they're more comfortable with us knowing that they can misbehave and get away with it. Ni kweli Dem ni vile unamtreat, anaweza awe wa kawaida lakini ukimpenda vizuri you can see wonders!
So, you're 100% pro on equal rights na manzi, cause kuna wengine hawakubali wanaona tutawalalia.

And kudos for treating all sisters out there with respect!
 
You have a valid point, wasamehe tu chaliis wa kwetu and may be that's why they're more comfortable with us knowing that they can misbehave and get away with it. Ni kweli Dem ni vile unamtreat, anaweza awe wa kawaida lakini ukimpenda vizuri you can see wonders!
So, you're 100% pro on equal rights na manzi, cause kuna wengine hawakubali wanaona tutawalalia.

And kudos for treating all sisters out there with respect!
Hahaaa.. kui yaani mbebize Hata akiwa na miguu ya fito, ukim-treat uzuri basi anakuwa na mguu wa bia; Puliziii!.
Halafu watoto wote wazuri wa kibongo, mpaka ukahangaike na manzi kutoka nchi ya jirani?. Hapana kwa kweli!.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: kui
Hahaaa.. kui yaani mbebize Hata akiwa na miguu ya fito, ukim-treat uzuri basi anakuwa na mguu wa bia; Puliziii!.
Halafu watoto wote wazuri wa kibongo, mpaka ukahangaike na manzi kutoka nchi ya jirani?. Hapana kwa kweli!.

Lol!,....mguu ugeuke kuwa wa bia, lakini si hata wewe unaona mtu wa kawaida anavoweza kuwa transformed na kuwa si wa kawaida tena akiwekwa vizuri?!, kasoro zote zinakuwa overlooked!, a good example ni celebrities, most of them are just like us but why do we see them extra ordinary?

Lakini pia nina side na MK254, kama nyie mmejaaliwa manzi wazuri si vizuri kuponda wa wenzenu, and at the same time kupongeza kwa kupenda wa kwetu.....lol!
 
Last edited by a moderator:
Hahaaa.. kui yaani mbebize Hata akiwa na miguu ya fito, ukim-treat uzuri basi anakuwa na mguu wa bia; Puliziii!.
Halafu watoto wote wazuri wa kibongo, mpaka ukahangaike na manzi kutoka nchi ya jirani?. Hapana kwa kweli!.

Mademu huja kwa shape zote kila nchi, na ukiwa umefocus katika kutafuta mabaya, hata Tanzania hutakua na haja ya kutembea hatua moja, anza na mkeo ama demu wako, utashangaa jinsi alivyochoka na pia sura mbaya.

Nimedate mademu kutoka nchi kadhaa, hamna tofauti yoyote, nakupa siri kama mwanaume mwenzangu, furahia uzuri wa mwanamke.
 
Hahaaa.. kui yaani mbebize Hata akiwa na miguu ya fito, ukim-treat uzuri basi anakuwa na mguu wa bia; Puliziii!.
Halafu watoto wote wazuri wa kibongo, mpaka ukahangaike na manzi kutoka nchi ya jirani?. Hapana kwa kweli!.

Wanaume wa Kitanzania mapenzi yamewashinda, hebu ona huyu demu hapa jinsi alivyo mrembo halafu unamcharanga mapanga kisa amechelewa kwa mwaka mmoja kuzaa mtoto. Tatizo lenu mko hoi sana na hii inatokana na nyie kutodhamini wanawake, inapelekea mapungufu kitandani na kwa hasira mnajikuta mnawakata mademu wenu kwa mapanga. Akina kui lazima wanapitia makubwa

Yaani huyu demu hapa ukanipa, hutaamini, namtunza na kumfanya kuwa malkia na ndio tutazidi kuwanyang'anya mademu hadi mtakoma.
10959840_1143040839043666_6550951968008777748_n.png


East Africa Television (EATV)

Mwanamume, aliyetajwa kwa jina la John Weghai amemjeruhi vibaya mke wake, Anastazia John (18) kwa kumkatakata na mapanga kwa kile kinachodaiwa kuchelewa kwake kupata ujauzito, katika maisha ya wawili hao waliyoanza Februari mwaka jana 2014. Tukio hilo la kinyama lilitokea katika Kijiji cha Mariba wilayani Tarime mkoani Mara na majeruhi huyo amelazwa katika hospitali ya Halmashauri ya Mji ambapo ameshonwa nyuzi 67

Una lipi la kusema tukio hili? Hivi kuchelewa kuzaa ni kosa?
https://www.facebook.com/eatv.tv/ph...9844.157303284284098/1143040839043666/?type=1
 
Last edited by a moderator:
Wanaume wa Kitanzania mapenzi yamewashinda, hebu ona huyu demu hapa jinsi alivyo mrembo halafu unamcharanga mapanga kisa amechelewa kwa mwaka mmoja kuzaa mtoto. Tatizo lenu mko hoi sana na hii inatokana na nyie kutodhamini wanawake, inapelekea mapungufu kitandani na kwa hasira mnajikuta mnawakata mademu wenu kwa mapanga. Akina kui lazima wanapitia makubwa

Yaani huyu demu hapa ukanipa, hutaamini, namtunza na kumfanya kuwa malkia na ndio tutazidi kuwanyang'anya mademu hadi mtakoma.
10959840_1143040839043666_6550951968008777748_n.png


East Africa Television (EATV)

Mwanamume, aliyetajwa kwa jina la John Weghai amemjeruhi vibaya mke wake, Anastazia John (18) kwa kumkatakata na mapanga kwa kile kinachodaiwa kuchelewa kwake kupata ujauzito, katika maisha ya wawili hao waliyoanza Februari mwaka jana 2014. Tukio hilo la kinyama lilitokea katika Kijiji cha Mariba wilayani Tarime mkoani Mara na majeruhi huyo amelazwa katika hospitali ya Halmashauri ya Mji ambapo ameshonwa nyuzi 67

Una lipi la kusema tukio hili? Hivi kuchelewa kuzaa ni kosa?
https://www.facebook.com/eatv.tv/ph...9844.157303284284098/1143040839043666/?type=1

Kwa hivi Sikubaliani nao asee!
 
You will find some good looking ones from Coast,Eastern,Central and some Western regions..and some are very smart intellectually as well..
Nimekaa huko majanga tu kwenye part ya wanawake (uzuri)
 
Back
Top Bottom