Why Kenyan women are having a hard time finding love in the Diaspora

Why Kenyan women are having a hard time finding love in the Diaspora

Mbona hamuongei mademu wa kibongo shule zinawashinda diaspora. Kama ni kugonga na kukimbia nagonga mademu wa bongo. Ila kama naoa au nazalisha demu niafazali nitafute demubwa kikenya aliestaarabika. Na sisistiza, demu wa kikenya aliestaarabika.
 
Mwalimu Nyerere alikosea sana kusisitiza Watanzania kutumia Kiswahili na kuchukia Kingereza maana mnapata tabu sana kwa taarifa ambazo zimeandikwa kwa Kingereza. Yaani hata usome mara ngapi bado haujaelewa kinachosemwa hapa. Na hii ndio mojawapo inayowaponza kiuchumi.


Inaelekea wala Historia ya Tanzania hauilewi unafikiri Watz wanaongea Kiswahili kwa sababu ya Mlm.Nyerere?
Na aliyekwambia Watz wanachukia Kiingereza ni nani? Na kwa nini tukichukie?

Na kama mpaka leo hii mwaka 2014 (Karne ya 21) pamoja na mifano yote iliyoko Duniani bado unafikiri na kuamini ya kwamba matatizo ya kiuchumi ya TZ yanaletwa na upungufu wa Lugha ya Kiingereza basi nafikiri kazi waliyoifanya Waingereza ni kubwa kuliko mtu anavyoweza kudhania!
 
Inaelekea wala Historia ya Tanzania hauilewi unafikiri Watz wanaongea Kiswahili kwa sababu ya Mlm.Nyerere?
Na aliyekwambia Watz wanachukia Kiingereza ni nani? Na kwa nini tukichukie?

Na kama mpaka leo hii mwaka 2014 (Karne ya 21) pamoja na mifano yote iliyoko Duniani bado unafikiri na kuamini ya kwamba matatizo ya kiuchumi ya TZ yanaletwa na upungufu wa Lugha ya Kiingereza basi nafikiri kazi waliyoifanya Waingereza ni kubwa kuliko mtu anavyoweza kudhania!

  • Kiswahili kilibuniwa kwa usaidizi wa mwarabu kwenye pwani za Tanzania na Kenya kabla ya mwalimu Nyerere
  • Lakini yeye ndiye aliwasisitizia mkitumie
  • WaTz wanachukia Kingereza kwa ajili ya kushindwa kukiongea, bwana nimefanya shughuli nyingi na Wabongo kwenye corporates zenu, naongea kitu ninachokifahamu.

- Ukosefu wa kuongea Kingereza unawatatiza kiuchumi maana Kiswahili kina mapungufu sana kwenye corporate world, halafu unakuta Bongo stakabadhi nyingi zipo kwa Kingereza, mambo mengi yameandikwa kwa Kingereza maana mmeshindwa kuyatafsiri hadi Kiswahili.

Unapata ni wachache wenu wanaongea Kingereza vizuri, yaani watoto wa matajiri na elites na wanasiasa ndio wanapelekwa kwenye international schools, wengine wenu mmebaki saint Kayumba siku zote. halafu hao viongozi wanafiki sana, wanawasisitizia eti mpende Kiswahili wakati wanawapeleka watoto wao hizo shule ama Kenya.

Kuna mmoja alinishangaza sana, akiwa nje na watoto wake anaongea nao Kiswahili, lakini wakiwa ndani nyumbani inakua Kingereza kwenda mbele, yaani anaficha msimuone eti sio mzalendo.
 
- Kiswahili kilibuniwa kwa usaidizi wa mwarabu kwenye pwani za Tanzania na Kenya kabla ya mwalimu Nyerere
- Lakini yeye ndiye aliwasisitizia mkitumie
- WaTz wanachukia Kingereza kwa ajili ya kushindwa kukiongea, bwana nimefanya shughuli nyingi na Wabongo kwenye corporates zenu, naongea kitu ninachokifahamu.
- Ukosefu wa kuongea Kingereza unawatatiza kiuchumi maana Kiswahili kina mapungufu sana kwenye corporate world, halafu unakuta Bongo stakabadhi nyingi zipo kwa Kingereza, mambo mengi yameandikwa kwa Kingereza maana mmeshindwa kuyatafsiri hadi Kiswahili. Unapata ni wachache wenu wanaongea Kingereza vizuri, yaani watoto wa matajiri na elites na wanasiasa ndio wanapelekwa kwenye international schools, wengine wenu mmebaki saint Kayumba siku zote. halafu hao viongozi wanafiki sana, wanawasisitizia eti mpende Kiswahili wakati wanawapeleka watoto wao hizo shule ama Kenya.

Kuna mmoja alinishangaza sana, akiwa nje na watoto wake anaongea nao Kiswahili, lakini wakiwa ndani nyumbani inakua Kingereza kwenda mbele, yaani anaficha msimuone eti sio mzalendo.


Ndugu nachilia kusema wewe bado ni mchanga sana ktk haya mambo na unaandika usichokijua!
Unamaanisha nini unaposema Kiswahili kilibuniwa na Waarabu?
Unaelewa hata maana ya Lugha kwanza?
Kama Kiswahili kilibuniwa na Waarabu ni kwa nini kisiwe na Uhusiano na Kiarabu (familia)? Kwa mfano Ki-Afrikans (AK) ni lugha ya Waholanzi na ina uhusiano na Kiholanzi kuanzia matamshi, kuandika mpaka maana ya maneno sasa wewe unaposema Kiswahili kilibunia na Waarabu iweje hakiko kwenye Familia ya Lugha za Kiarabu?

Pili unasema Mlm.Nyerere ndiye aliyesisitiza TZ tuongee Kiswahili SIO KWELI!
Bado unajidhihirisha jinsi ulivyokuwa haulewi Historia ya Kiswahili ktk hili eneo tunaloliita Tanzania leo hii!
Kama unafikiri Mlm.Nyerere ndio aliyesisitiza tuongee Kiswahili, Je, ni nani aliyemfundisha Mlm.Nyerere Kiswahili? kwa maana alizaliwa (Nyerere) na kukulia Musoma zaidi ya km 1000 ktk Dar na alikuja Dar tayari akiwa anaongea Kiswahili kama lugha yake ya kwanza pmj na Kizanaki!

Ni kawaida Mtz wa kawaida hawezi kujua kuongea Kiingereza kwa maana Kiingereza hakitumiwi kwenye maisha ya kawaida na hili sio jambo geni hapa Duniani nchi zote ambazo zinatumia Lugha yake ya asili huwa Wananchi wake wana shida ya lugha Kigeni sasa sijui cha ajabu ni nini?
Au ni yale yale ni sawa kwa Mchina kutokujua Kiingereza lkn ni dhambi ya mauti kwa Mtanzania kutokujua Kiingereza au ni sawa kwa Muangola /Msumbiji kutokujua Kiingereza kwa kuwa anajua Kireno lkn si sawa kwa Mtz kutokujua Kiingereza kwa kuwa anajua Kiswahili?

 
Ndugu nachilia kusema wewe bado ni mchanga sana ktk haya mambo na unaandika usichokijua!
Unamaanisha nini unaposema Kiswahili kilibuniwa na Waarabu?
Unaelewa hata maana ya Lugha kwanza?
Kama Kiswahili kilibuniwa na Waarabu ni kwa nini kisiwe na Uhusiano na Kiarabu (familia)? Kwa mfano Ki-Afrikans (AK) ni lugha ya Waholanzi na ina uhusiano na Kiholanzi kuanzia matamshi, kuandika mpaka maana ya maneno sasa wewe unaposema Kiswahili kilibunia na Waarabu iweje hakiko kwenye Familia ya Lugha za Kiarabu?

Pili unasema Mlm.Nyerere ndiye aliyesisitiza TZ tuongee Kiswahili SIO KWELI!
Bado unajidhihirisha jinsi ulivyokuwa haulewi Historia ya Kiswahili ktk hili eneo tunaloliita Tanzania leo hii!
Kama unafikiri Mlm.Nyerere ndio aliyesisitiza tuongee Kiswahili, Je, ni nani aliyemfundisha Mlm.Nyerere Kiswahili? kwa maana alizaliwa (Nyerere) na kukulia Musoma zaidi ya km 1000 ktk Dar na alikuja Dar tayari akiwa anaongea Kiswahili kama lugha yake ya kwanza pmj na Kizanaki!

Ni kawaida Mtz wa kawaida hawezi kujua kuongea Kiingereza kwa maana Kiingereza hakitumiwi kwenye maisha ya kawaida na hili sio jambo geni hapa Duniani nchi zote ambazo zinatumia Lugha yake ya asili huwa Wananchi wake wana shida ya lugha Kigeni sasa sijui cha ajabu ni nini?
Au ni yale yale ni sawa kwa Mchina kutokujua Kiingereza lkn ni dhambi ya mauti kwa Mtanzania kutokujua Kiingereza au ni sawa kwa Muangola /Msumbiji kutokujua Kiingereza kwa kuwa anajua Kireno lkn si sawa kwa Mtz kutokujua Kiingereza kwa kuwa anajua Kiswahili?


Kabla ya ujio wa Mwarabu Kiswahili hakikuwepo, watu walikua wanaongea lugha zao za asili, na alipokuja Mwarabu ikawa kwa yeye kuwasiliana na wabantu lazima pabuniwe lugha ya biashara. Na ndio hapo unaona Kiswahili kimekopa maneno mengi muhimu kutoka Kiarabu na lugha zingine zetu za Bantu pamoja na hata Kireno.

Kiswahili sio lugha yetu ya asili, kilibuniwa tu kwenye pwani za Kenya na Tanzania.... na huo ndio ukweli hata mkiimba miaka elfu.

Mchina huongea lugha yake ya asili maana lugha yake yenyewe ni tajiri kwa maneno. Huna haja ya kuchakachua, mtu anaweza akawa mhandisi ama daktari na atumie Kichina bila haja ya kujifunza Kingereza, ila jaribu hilo Tanzania. Mimi nimesema mara kadhaa ni vyema kuboresha Kiswahili lakini kwa sasa bado sana, nimefanya shughuli Bongo ambapo nilihitajika kuandika ripoti kwa lugha zote mbili na nilihangaika sana maana kwenye fani yangu hamna maneno mengi kwenye Kiswahili. Hata Wabongo wenyewe walishindwa kunisaidia kutafsiri....

Tuache kuficha vichwa vyetu kwenye mchanga, huo ndio ukweli kamili.
 
Kabla ya ujio wa Mwarabu Kiswahili hakikuwepo, watu walikua wanaongea lugha zao za asili, na alipokuja Mwarabu ikawa kwa yeye kuwasiliana na wabantu lazima pabuniwe lugha ya biashara. Na ndio hapo unaona Kiswahili kimekopa maneno mengi muhimu kutoka Kiarabu na lugha zingine zetu za Bantu pamoja na hata Kireno.

Kiswahili sio lugha yetu ya asili, kilibuniwa tu kwenye pwani za Kenya na Tanzania.... na huo ndio ukweli hata mkiimba miaka elfu.

Mchina huongea lugha yake ya asili maana lugha yake yenyewe ni tajiri kwa maneno. Huna haja ya kuchakachua, mtu anaweza akawa mhandisi ama daktari na atumie Kichina bila haja ya kujifunza Kingereza, ila jaribu hilo Tanzania. Mimi nimesema mara kadhaa ni vyema kuboresha Kiswahili lakini kwa sasa bado sana, nimefanya shughuli Bongo ambapo nilihitajika kuandika ripoti kwa lugha zote mbili na nilihangaika sana maana kwenye fani yangu hamna maneno mengi kwenye Kiswahili. Hata Wabongo wenyewe walishindwa kunisaidia kutafsiri....

Tuache kuficha vichwa vyetu kwenye mchanga, huo ndio ukweli kamili.

SIYO KWELI!

Bado haulewi maana ya Lugha! Nimekuuliza swali kama Kiswahili kililetwa Mwarabu ni kwa nini SIYO Kiarabu?
Yaani ni kwa nini Kiswahili siyo familia ya Lugha za kiarabu kama kilivyo Kisomali au Amharic? Ni kwa nini Kiswahili kiwe Lugha ya Kibantu wakati Kiarabu SIYO Kibantu?

Pili kuhusu Kichina bado narudia kusema ya kwamba uelewa wako wa sayansi ya Lugha bado ni mchanga sana, kwa kifupi hakuna kitu kama Lugha ya Kichina kama vile ilivyokuwa hakuna kitu kama Lugha Kiarabu au sijui kiIndonesia!

Hizo Lugha zote ni za Kisiasa na kiuhalisia hazipo Wachina ili kujenga umoja wa kitaifa wakaamua kuiita Lugha inayoongewa na Watu wa Han Kichina ama Chinese language lkn Kiuhalisia ni lugha ya kundi moja tu lenye nguvu kama vile ninyi leo hii Mtu aamue kukiita Kikuyu Kikenya au sijui Kenyan na nchi nyingi kama sio zote hapa Duniani zimefanya hilo ni kama sisi leo hii tukaamua kukiita Kiswahili Kitanzania au Tanzanian ndivyo Makaburu walivyofanya Afrika Kusini, ndivyo Waarabu walivyofanya na kuiita Lugha zote Kiarabu ingawaje ndani yake humo mtu wa Tunisia hawezi kuongea na kuelewana na Mtu wa Saudi Arabia mpaka wote waongee standard arabic lkn zote wanaiita Kiarabu!

Kuhusu swala la Elimu hiyo ni mada nyingine lkn kifupi hata Wachina wenyewe wanatumia Kichina na maneno ya Kiingereza ama Kifaransa mpaka Kijapani waulize watu wanaosoma Uchina watakwambia!
 

SIYO KWELI!

Bado haulewi maana ya Lugha! Nimekuuliza swali kama Kiswahili kililetwa Mwarabu ni kwa nini SIYO Kiarabu?
Yaani ni kwa nini Kiswahili siyo familia ya Lugha za kiarabu kama kilivyo Kisomali au Amharic? Ni kwa nini Kiswahili kiwe Lugha ya Kibantu wakati Kiarabu SIYO Kibantu?

Pili kuhusu Kichina bado narudia kusema ya kwamba uelewa wako wa sayansi ya Lugha bado ni mchanga sana, kwa kifupi hakuna kitu kama Lugha ya Kichina kama vile ilivyokuwa hakuna kitu kama Lugha Kiarabu au sijui kiIndonesia!

Hizo Lugha zote ni za Kisiasa na kiuhalisia hazipo Wachina ili kujenga umoja wa kitaifa wakaamua kuiita Lugha inayoongewa na Watu wa Han Kichina ama Chinese language lkn Kiuhalisia ni lugha ya kundi moja tu lenye nguvu kama vile ninyi leo hii Mtu aamue kukiita Kikuyu Kikenya au sijui Kenyan na nchi nyingi kama sio zote hapa Duniani zimefanya hilo ni kama sisi leo hii tukaamua kukiita Kiswahili Kitanzania au Tanzanian ndivyo Makaburu walivyofanya Afrika Kusini, ndivyo Waarabu walivyofanya na kuiita Lugha zote Kiarabu ingawaje ndani yake humo mtu wa Tunisia hawezi kuongea na kuelewana na Mtu wa Saudi Arabia mpaka wote waongee standard arabic lkn zote wanaiita Kiarabu!

Kuhusu swala la Elimu hiyo ni mada nyingine lkn kifupi hata Wachina wenyewe wanatumia Kichina na maneno ya Kiingereza ama Kifaransa mpaka Kijapani waulize watu wanaosoma Uchina watakwambia!

Nimekuambia Kiswahili kilibuniwa kwa kuchanganya lugha nyingi za Kibantu na Kiarabu. Maneno mengi ya msingi ni kiarabu hadi hata jina lenyewe, Swahili limetokana na neno la Kiarabu "Sawahil سواحل"
 
Nimekuambia Kiswahili kilibuniwa kwa kuchanganya lugha nyingi za Kibantu na Kiarabu. Maneno mengi ya msingi ni kiarabu hadi hata jina lenyewe, Swahili limetokana na neno la Kiarabu "Sawahil سواحل"


Ndugu, Lugha huwa haibuniwi bali lugha ni kama Maisha ya Mtu ama mtoto inakuwa! Unaposema Kiswahili kilibuniwa na Waarabu basi ina maana Kiswahili ni Kiarabu, ni familia ya Kiarabu ndiyo maanake lkn SIYO hivyo, Kiswahili siyo Kiarabu na wala hakina uhusiano wowote ule na Kiarabu isipokuwa maneno ya kuazima kama vile lugha nyingine zote Duniani zilivyofanya!

Ngoja nikuulize, unafahamu ya kwamba asilimia zaidi ya 60% ya maneno ya Kiingereza ni Kilatini ama Kifaransa? Na Je, Kiingereza ni Kilatini au Kifaransa? Au Je, Kiingereza kilibuniwa na Warumi ama Wafaransa?

Lugha ya wahindi ama kihindi au sijui Hindu/Hindi ina maneno mengi sana ya Kiarabu tena zaidi ya Kiswahili sasa Je, Kihindu ni Kiarabu? Ama kihindu kilibuniwa na Waarabu? Kiirani ama Kipersia kina maneno mengi sana ya Kiarabu mpaka kwenye kuandika lkn Kipersia na kiarabu ni lugha mbili tofauti na hazina uhusiano wowote ule zaidi ya maneno ya kuazima na kuandika!

Hivyo Kiswahili kuwa na maneno ya kiarabu kama vile kilivyokuwa na maneno ya Kireno ama kijerumani hakukifanyi kuwa Kiarabu bali Kiswahili ni Lugha ya Kibantu kwa 100% na chenye asili yake Afrika!
 
Huyu jamaa hutomalizana nae ni mbishi kama samaki, hadi unamla anakutazama, ndio ubishi wa wakenya. Hawajui ila atajifanya anajua hadi mwisho.

Maina jifunze lahaja za lugha uongeze maarifa urudi usome ujinga umeandika. Naona unajambajambia fani si zako unajifanya unajua.
Biblia yenyewe
 
Wee baki hapo ukibisha wakati tunawachukua mademu wenu, fuatilia takwimu ndo utakoma. Wabongo kwa kweli romance hamna, mimi nilikua na demu Mbongo halafu hata kumshika mkono barabarani tukitembea inakua kama sinema, Wabongo wametukazia macho wakati kwetu jambo la kawaida tu.

Nikimpeleka kwenye mabeach halafu tunakiss sasa ndio usitake, inakua ndio movie kabisa. Hamjazoea kuyaona hayo. Halafu your girls are sex starved, hamuwapei ngoma sawa sawa, maana akikumbana na mizuka ya Kikenya haishi kusifia hadi unashangaa kwani kunani.

Ahh ahh ah... eti Takwimi.. sisi bongo hatuna taasisi za mapenzi kama huko kwenu kenya.. Labda mutuambie nyinyi huko... labda tukaweza kuzizingatia katika kuziamini.

Alafu, kumchua mdada wa ki-tz kwako unaona jambo la ajabu kweli. Almost 70% of jf member washawahi bang ur kenyan ugly chicks.

By tha way, UZI unahusu Kenyan Ladies being Ungly na si vinginevyo... tujadiri uzi then ukimalizika huanzishe thread ya wadada wa tz.
 
It depends on what you understand about romance, like I said, you guys are naive, you must understand there are some men who get orgasm when slapped by a lady, they enjoy it. Ukiwa tayari niambie nikufunze mambo haya... romance 101 for Tanzania men. Kazi yenu kudunda wanawake ili kujifariji kwa mapungufu.


Unataka kuniambia kuwa when a lady applies a NYERIFICATION PRINCIPLE on you, u definately gonna "CUM".
(Kwanini sasa mumeanzisha Taasisi inayo tetea haki za mwanaume(TAMRA) )

Katika mazingira kama hayo a real men can't CUM, unless ur suffering from "Persistent Genital Arousal Disorde".

You guys lack romance, plus good parenting principles...!

If i were to bring here a number of videos showing Kenyan Husbands get beaten..! Basi nitajaza huu uzi.
 
Achana na huyo Lamwaina78 kwanza anaonekana ni mshamba nani kamwambia kujua kiingereza ndio kunakuza Uchumi? Haoni nchi kama Zimbabwe wanaongea kiingereza lkn uchumi wao ni mdogo, au Haoni nchi kama China hawatumii hiyo lugha lkn kiuchumi wako juu.

Nafikiri anahitajika arudi shule, wako Wakenya wengi tu hawajui kiingereza wanachojua lugha za kila bila.

Kuhusu mademu wa kikenya wengi wao hata kupika chakula hawajui, ukila chakula chao unaweza tabia test less kabisa, wakipikiwa na wanawake wa kibongo utawasikia "umeepikaaaje"
 
Unataka kuniambia kuwa when a lady applies a NYERIFICATION PRINCIPLE on you, u definately gonna "CUM".
(Kwanini sasa mumeanzisha Taasisi inayo tetea haki za mwanaume(TAMRA) )

Katika mazingira kama hayo a real men can't CUM, unless ur suffering from "Persistent Genital Arousal Disorde".

You guys lack romance, plus good parenting principles...!

If i were to bring here a number of videos showing Kenyan Husbands get beaten..! Basi nitajaza huu uzi.

Hahahaha!! almost fell off my seat laughing. That was hilarious. Ever heard of Femdom romance, aha huwezi mshamba wewe.
 
kenyan men are sweet and romantic, luv my hubby soooo much! period, thread closed! loool

Hehehe!! waambie Cacico, Wakenya tunachukua mademu wa Kibongo wote, hapabaki mtu.
 
Hahahaha!! almost fell off my seat laughing. That was hilarious. Ever heard of Femdom romance, aha huwezi mshamba wewe.

When you have a Femdom couples in place, A Male submission to the Female domination ndio mpango mzima.
Ndio maana mnapigwa sana..!
A real Man is meant to be dominant kila sehemu... na si kujifanya umekuwa slave for a second.
Women needs a "Lover" and not "slave"

sawa ehhh!!!
Punguzeni hii perception yenu katika hili jambo.
Otherwise, watawapiga kila siku.. hadi mkome.

Mnapenda sana kuiga mambo ya zamani ya waingereza,
The world has changed now! wake up.
 
When you have a Femdom couples in place, A Male submission to the Female domination ndio mpango mzima.
Ndio maana mnapigwa sana..!
A real Man is meant to be dominant kila sehemu... na si kujifanya umekuwa slave for a second.
Women needs a "Lover" and not "slave"

sawa ehhh!!!
Punguzeni hii perception yenu katika hili jambo.
Otherwise, watawapiga kila siku.. hadi mkome.

Mnapenda sana kuiga mambo ya zamani ya waingereza,
The world has changed now! wake up.

Bana eeh kuwa mbunifu kitandani, sometime allow some fantasies, you exchange roles.
Sometime allow the girl to run the show, they can be very creative. Sio kila siku umenuna tu.
 
Back
Top Bottom