Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
This is not true , where you did ur Reserch?Hellow african
Ivi kwanini sisi malast born tuna anzaga kufa sisi na sio watoto wa kwaza kuzaliwa au wakatikati?
Nimewaza sipati jibu
Unazingua bhan, we umeskia wap kifo kina formula ?Hellow african
Ivi kwanini sisi malast born tuna anzaga kufa sisi na sio watoto wa kwaza kuzaliwa au wakatikati?
Nimewaza sipati jibu
Hahahaha mchan mwemaImeandikwa wa kwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho atakuwa wa kwañza. Vipi, umeshakufa mara ngapi?!... LAST BORN! hovyo kweli aisee. Sio lazima kila unacho waza utuandikie hapa bwana[emoji34]
Kwa sababu hamuna faida yeyote mnakuaga kama mizigo tuHellow african
Ivi kwanini sisi malast born tuna anzaga kufa sisi na sio watoto wa kwaza kuzaliwa au wakatikati?
Nimewaza sipati jibu
Imeandikwa wa kwanza atakuwa wa mwisho na wa mwisho atakuwa wa kwañza. Vipi, umeshakufa mara ngapi?!... LAST BORN! hovyo kweli aisee. Sio lazima kila unacho waza utuandikie hapa bwana[emoji34]
Unazingua bhan, we umeskia wap kifo kina formula ?
Mi mwenyewe last born na cjui kwann
Kuna ka ukweli fulani, ngoja nifuatilie
Ladies first
Kwa sababu hamuna faida yeyote mnakuaga kama mizigo tu
[emoji3][emoji3][emoji3]Mi mwenyewe last born na cjui kwann
Au nakosea[emoji23][emoji23][emoji23]