Why last born only?

kwanini sisi malast born tuna anzaga kufa sisi na sio watoto wa kwaza kuzaliwa au wakatikati?
Tayari ushaanza kusikia dalili za ugonjwa wa kufakufa, ukirudi ni-tag nijue bado unaishi ndio nikujibu swali lako
 
Vita aliyoianzisha haitoisha hadi kizazi cha mwisho cha huyo Comrade
 
Aisee mke wa mtu? Huyo dogo mbona yuko speed sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…