Pamoja na kwamba Lissu ni kiongozi wetu imara ambao wengi tunaamini atatufikisha mbali lakini kwa yale yaliyomkuta kila mmoja aliyefika hapa ameona anastahili kuja kumpokea huyu shujaa wetu, tuliokuwa Dodoma tuliona hakuna aliyekuwa anaweza kuishi katika hali kama ile kwahiyo hii ni miujiza mikubwa kwetu na tunamshukuru sana Mungu,” – Mbunge wa Mikumi, Joseph Haule 'Profesa Jay #MtanzaniaDigital
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.