Ujumbe Wa Neno La Mungu Asubuh Ya Leo 27/10/2020
1 Bwana alipowarejeza mateka wa Sayuni, Tulikuwa kama waotao ndoto.
Zaburi 126:1
2 Ndipo kinywa chetu kilipojaa kicheko, Na ulimi wetu kelele za furaha. Ndipo waliposema katika mataifa, Bwana amewatendea mambo makuu.
Zaburi 126:2
3 Bwana alitutendea mambo makuu, Tulikuwa tukifurahi.
Zaburi 126:3
4 Ee Bwana, uwarejeze watu wetu waliofungwa, Kama vijito vya Kusini.
Zaburi 126:4
5 Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha.
Zaburi 126:5
6 Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake.
Zaburi 126:6
......................... Amen .......................
Sent from my SM-A715F using
JamiiForums mobile app