Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amemtaka Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo kumkamata Mama aliyejulikana kwa jina la Mama Mwaisome ambaye alikuwa akiwahamasisha wenzake kutolipa sh.1.7 bilion za Serikali.
Wakati Mama Mwaisome akipelekwa katika gari la Polisi kwa ajili ya kupelekwa kituo cha polisi mume wake naye alisema ni bora na yeye apelekwe selo kuliko kumpeleka mkewe.