Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Status
Not open for further replies.
MBEYA: MUME ATAKA KWENDA LUPANGO NA MKEWE.

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amemtaka Kamanda wa Polisi wa Mkoa huo kumkamata Mama aliyejulikana kwa jina la Mama Mwaisome ambaye alikuwa akiwahamasisha wenzake kutolipa sh.1.7 bilion za Serikali.

Wakati Mama Mwaisome akipelekwa katika gari la Polisi kwa ajili ya kupelekwa kituo cha polisi mume wake naye alisema ni bora na yeye apelekwe selo kuliko kumpeleka mkewe.
Your browser is not able to display this video.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…