Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Status
Not open for further replies.
Mkurugenzi mkuu wa NIMR *Prof Yunus Mgaya* amesema taasisi yake inaifanyia utafiti dawa ya Corona kutoka Madagascar na ikijiridhisha kwamba inafaa, basi itaanza kutengenezwa hapa hapa nchini.

Kadhalika Prof Mgaya amewataka watanzania watumie dawa ya *NIMRCAF* inayotengenezwa na taasisi yake.

Prof amesema kwa wale wasioweza kuinunua madukani wanaweza kuitengeneza nyumbani kwa kutumia formula hii;

å Lita 1 ya maji ya moto.
å Kitunguu saumu punje 10 hadi 15.
å Malimao 2.
å Kitunguu maji kikubwa 1.
å Tangawizi size ya kidole gumba 4.
å Pilipili kichaa 5.

Changanya kwa kutumia blender kwa dakika 4 hadi 5. Kisha iache ipoe na uanze kuitumia

*#DOZI NI VIJIKO VIWILI(2) VYA CHAKULA KILA BAADA YA MASAA NANE AU SITA#*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…