Mkurugenzi mkuu wa NIMR *Prof Yunus Mgaya* amesema taasisi yake inaifanyia utafiti dawa ya Corona kutoka Madagascar na ikijiridhisha kwamba inafaa, basi itaanza kutengenezwa hapa hapa nchini.
Kadhalika Prof Mgaya amewataka watanzania watumie dawa ya *NIMRCAF* inayotengenezwa na taasisi yake.
Prof amesema kwa wale wasioweza kuinunua madukani wanaweza kuitengeneza nyumbani kwa kutumia formula hii;
å Lita 1 ya maji ya moto.
å Kitunguu saumu punje 10 hadi 15.
å Malimao 2.
å Kitunguu maji kikubwa 1.
å Tangawizi size ya kidole gumba 4.
å Pilipili kichaa 5.
Changanya kwa kutumia blender kwa dakika 4 hadi 5. Kisha iache ipoe na uanze kuitumia
*#DOZI NI VIJIKO VIWILI(2) VYA CHAKULA KILA BAADA YA MASAA NANE AU SITA#*
Sent using
Jamii Forums mobile app