Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Status
Not open for further replies.
*Anaandika :Lubange*

Mbinu za vyama tawala kubaki madarakani. Baadhi ni:

1. Kuanzisha vyama feki vya upinzani vitakavyounga juhudi
2. Kutumia dola kukandamiza chama kikuu cha upinzani
3. Kutumia mihimili mungine kukandamiza upinzani
4. Kununua wapinzani ili kuonekana machoni mwa jamii (ya wasiofanya uchambuzi) kuwa chama tawala kinapendwa
5. Kuvuruga chaguzi kwa kila hali ili chenyewe kibaki kutawala
5. Kutengeneza vyama mbadala vya kupambana na vyama halisi vya upinzani
6. Kutumia mali za umma na vyombo vya dola kubaki madarakani
7. Kupuuza nguvu na mawazo ua umma kwa manufaa ya chama tawala
8. Kuweka sheria kandamizi ili kunyanganya uhuru wa mawazo, habari na haki nyingine za binadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…