Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Status
Not open for further replies.
The song like no song here comes:- WAPO by Ney wa Mitego.

Copy and paste

Hii ndiyo nyimbo yenyewe
---------------------------------------------------------------------------

Verse 1:
Unachokipanda leo ndicho utachovuna kesho.
Imeandikwa Mwanaume kula kwa jasho.
Najiuliza hivi ni nani kaiona kesho.
Chapa mwendo na ukilala hauna chako.
Hivi uhuru wa kuongea kwenye hii nchi bado upo?.
Usije kuongea vitu kesho ukajikuta sentro.

Chorus:
Kuna viongozi wavuta bangi? "wapo "
Maana wana maamuzi ya kise.... "wapo"
Kuna walio mmiss Jakaya? "wapo"
Walio choka kuisoma namba? "wapo"
Kuna walio poteza malinda? "wapo"
Kuna wasanii mateja? "wapo"
Kuna mademu wanasagana? "wapo"
Kuna vidume wanalelewa? "wapo"
Kuna wasanii wanalogana? "wapo"

Verse 2
Kuna Radio na Tv, naona zimeshapoteza CV.
Hakuna uhuru wa habari, wala taarifa ya habari.
Wanapindisha pindisha tu kuiogopa serikali.
Siamini nchi inaendeshwa na kiki.
Siasa inafunika mziki.
Viongozi wanashindana kukiki.
Wanagombea front page, wauze kwenye gazeti.
Nasikia kuna viongozi wamefoji vyeti.

Verse 3
Kiongozi mwenye busara anapokea ushauri.
Anapokea mawazo,haweki mbele kiburi.
Hey! Samahani mheshimiwa, hivi unamjua BASHITE?.
hili ni jipu jipya toka kolomije.
Limesha iva na usaa, limeshatunga.
Na kukabidhi sindano ya kulidunga.
Daktari haogopi ukubwa wa kidonda.
We_si Dr wa majipu, tumbua hakuna kuvunga.
Kuvamia ofisi za watu kumbe nayo ni kazi.
Hakuna noma wanangu pigeni kazi.
Boda boda kazi, bajaji Kazi.
Eti! Vipi? Kukaba nayo kazi?.
Refa ni wao piga manati.
Vita ya Masai na mmang'ati.
Biashara ya ngono na Super shafti.
Pumzi imekata nashika shati...

Hahahahahaha! Wewe mtu gani sasa......
Hutaki kushauriwa, hutaki kukosolewa......
Umelogwa wewe,........
unajiona ndugu yake na Yesu ee....
Oya! Wanangu eeeh! Round hii mtanyooka haki ya Mungu.
Naona kichaa kapewa Rungu..


Zaidi unapata instagram @emixtz @emixtz @emixtz @emixtz
 
Professa Lipumba being a CCM mole is also getting help from the courts

tapatalk_1490707853416.jpeg
tapatalk_1490707864593.jpeg
tapatalk_1490707868040.jpeg
tapatalk_1490707871965.jpeg
 
High Court is intentionally pussyfooting to hear and determine the Seif leaning CUF case challenging the legality of the Registrar of political parties' dictum to recognized Professa Lipumba as duly elected Chairman of the party
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom