Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Status
Not open for further replies.


Mocking death carries maximum penalty the less we talk about this clown the better for everyone...but we may chip in passing numbing the symptoms do not halt the progression of the multiplication of the superbug
 
Endgame
IMG_20210218_011204_537.jpg
 
Political persecutions never work ...intimidation never work...Takukuru is useless tool to arraign corruption but very effective in intimidating CCM rivals...sometimes we wonder a military man there knows his job description let alone if he really holds the prerequisite skills to do the job with the needed moral integrity.

EuW8-JMXAAMwEjl.jpg
 
KESHA LA ASUBUHI

Alhamisi 18/02/2021

MBINGU HUANZIA HAPA

Jinsi zilivyo nyingi Fadhili zako, Ulizowawekea wakuchao:Ulizowatendea wakukimbiliao, Mbele ya wanadamu. Zaburi 31:19

[emoji411] Ninapoandika nina hisia za ndani za shukrani kwa ajili uangalizi wa upendo wa Mwokozi wetu juu ya wote. Ninaposoma Neno la Mungu na kupiga magoti katika maombi, ninavutwa na wema na rehema za Mungu kiasi kwamba siwezi kutoa maombi yangu pasipo kulia. Moyo wangu unazidiwa na kuvunjika ninapotafakari juu ya wema na upendo wa Baba yangu wa mbinguni. Nina njaa na kiu zaidi na zaidi kwa ajili ya Yesu katika maisha haya. Kristo alisulubiwa kwa ajili yangu, na je, nitalalamika ikiwa nitasulubiwa pamoja na Kristo ?

[emoji411] Sijawahi kuhisi shauku ya dhati kwa ajili ya haki kuliko wakati huu wa sasa. Katika saa ya kuamka ya usiku ombi langu ni, “Bwana, wafundishe watu wako jinsi ya kutafuta na kuokoa kondoo waliopotea.”

[emoji411] Hatujui kile kilicho mbele yetu, na usalama wetu pekee ni kutembea na Kristo, mkono wetu katika wake, mioyo yetu ikijawa na tumaini kamilifu. Je, hakusema, “Au azishike nguvu zangu, Afanye amani nami; Naam, afanye amani nami” (Isaya 27:5)? Hebu na tusogee karibu na Mwokozi. Tutembee naye kwa unyenyekevu, tujazwe na upole wake. Hebu nafsi na ifichwe pamoja naye katika Mungu...

[emoji411] Moyo wangu huuma ninapooneshwa jinsi wengi wanavyofanya nafsi kuwa sanamu yao. Kristo amelipia gharama ya ukombozi kwa ajili yao. Anastahili utumishi wa nguvu zao zote. Bali mioyo yao imejawa kujipenda wenyewe, na tamaa kwa ajili ya kujipamba wenyewe. Hawatafakari kabisa juu ya maneno, “Mtu ye yote akitaka kunifuata na ajikane mwenyewe, ajitwike na msalaba, anifuate” (Marko 8:34).

[emoji820] Miongoni mwa wale ambao watapatwa na uzoefu wa uchungu mkuu wa kukatisha tamaa siku ya kutoa hesabu ya mwisho, watakuwa wale ambao wamekuwa na dini ya mwonekano wa nje, na wale ambao walionekana kama wanaishi maisha ya Kikristo. Lakini ubinafsi umefungamana katika kila wanachofanya. Wanajivuna wenyewe juu ya uadilifu wao, mvuto wao, uwezo wao wa kusimama katika nafasi za juu kuliko wengine, na ufahamu wao wa kweli, kwa kuwa wanafikiri kwamba haya yatawafanya wapate kutambuliwa na Kristo. “Ndipo watakapoanza kusema, tulikula na kunywa mbele yako, nawe ulifundisha katika njia zetu” (Luka 13:26). “Hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?” (Mathayo 7:22).

TAFAKARI NJEMA SANA[emoji1980]
 
Mwigulu Nchemba was a pivotal figure in advocating major cover-up so coronavirus and covid-19 are diligently looking up for him to account for the senseless deaths, so far....watch out for him as he attempts to dodge the ferocious superbug now ready to mow him down


 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom