Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Why Magufuli administration misses the point on Government splurge

Status
Not open for further replies.
Stop defiling the altar with wayward politicians who preach bread and butter instead of the things of God. You will perish with your politicians
PSX_20210307_182031.jpg
 
KENYA WAMETUPIGA KWENYE MSHONO TENA.

Na Thadei Ole Mushi.

Kenya umepiga marufuku mahidi ya Tanzania kwa kuwa Yana sumu inayosababisha Cancer na wametangaza hadharani na wameitangazia Dunia.....

Mwaka 1776 Jasusi wa Kimarekani William Carmichael alitumwa na Taifa lake kwenda kutafiti na kujua ni kwa namna gani USA inaweza kuteka soko la Tumbaku Duniani ambalo lilikuwa limeshikiliwa na bara Ulaya. Kipindi hicho Ukraine ilikuwa ikizalisha tumbaku Bora kabisa na nyingi Duniani.

Jasusi huyu alitokea kwenye kitengo Cha Economic intelligence. Economic intelligence ni kitengo katika mashirika ya kijasusi mengi duniani lakini department hii hudili na kuangalia threats za nchi husika kiuchumi. Hawa hutafiti, huchunguza mataifa Mengine kuhusu Uchumi wao na namna ya kuudidimiza. Marekani wao kwa Sasa Taifa ambalo linachunguzwa Sana ni China na Korea Kaskazini. Lengo ni kuwadhibiti wasiliteke soko la Dunia kwa bidhaa zao au wasiibuke Kama super power duniani.

Sio nchi kwa nchi tu huchunguzana Bali hata Kampuni na Kampuni zinazozalisha bidhaa za aina Moja huchunguzana. Nafikiri unakumbuka mgogoro wa Simu za Huwawei na Kampuni la Google.

Kwa Africa Mashariki Kenya ni mojawapo ya Taifa ambalo limewekeza kwenye Economic intelligence, na Taifa tishio kwao ni Tanzania. Tukumbuke Tanzania ina rasilimali nyingi kuliko Kenya, ina nufaika na Geographical location yake na pia hatuna ukame Sana.

Kenya wanajua wazi kuwa isingelikuwa bandari ya Daresalam na Tanga Basi wao wangenufaika Sana kupitia bandari ya Mombasa. Bandari zetu zinapunguza Sana bidhaa za mataifa Mengine kupitia Kenya hili kwao ni tishio.

Kenya wanajua kabisa Kama sio vivutio vyetu tulivyo navyo Basi wao wangeongoza kwa utalii Africa Mashariki na wangelipiga pesa nyingi Sana kwenye utalii.

Mwaka juzi madereva wa Tanzania wa utalii pamoja na kuwa walifuata taratibu zote walinyimwa kuchukua watalii waliokuwa wanakuja Tanzania kutalii ambao walishukia Kenya. Tanzania ilivumilia kwa Muda lakini ilifika mahali tukajibu kwa kupunguza trip za Kenya airways kuja nchini. Walipoona hivyo wakaondoa lile zuio la madereva wetu wa utalii kuingia Kenya. Ndio maana nchi iliwekeza Sana kwenye Kununua ndege kwa kuwa ili ujitawale vizuri lazima uwe na uwezo wa kushindana angani, ardhini na majini.

Mwaka 2018 tuliingia nao tena Mzozo wa kiuchumi tukigombea bomba la mafuta toka Uganda lipitie wapi. Wakenya walipiga trip Sana kwenda Uganda kwa mzee Museven hatimaye tukawashinda Tena kwenye Vita ile.

Mwaka 2020 wakati wa Corona Madereva wote wa Tanzania ilikuwa hawaruhusiwi kuingia Kenya lakini wa Kenya walikuwa wakiruhusiwa Hadi tulipifunga mipaka ya Hororo kule Tanga na Namanga Arusha ndio walitia akili wakatuachilia.

Mwaka 2021 mwanzoni kule Rombo ilikuwa dereva wa Bodaboda akivuka Kwenda Kenya alikuwa akishikwa na kufungwa au kufunguliwa Kesi. Mkuu wa Mkoa Wa Kilimanjaro alipambana na issue hii Sana na naimani imetulia kwa Sasa.

Kuna kipindi wakenya walitaka kuwafukuza wafanyabiashara wote waliopo Nairobi toka Tanzania nafikiri mnakumbuka.

ISISUE YA MAHINDI.

Kwanza Kenya wametufanyia mbaya Sana kutangaza Moja kwa Moja bila kutupa taarifa kama jirani mwema tuyapime Kama kweli yana Sumu. Tafsiri rahisi Ni kwamba mahindi yetu yatakuwa yamekosa soko kwenye nchi zote kwa kuwa tu Kenya imetangaza Moja kwa Moja kuwa yana Sumu.

Sijui kama Balozi wetu Kenya anafanya kazi gani Ila ningeshauri abadilishwe apelekwe mtu mwingine mwenye uwezo wa kunusa mbali na mwenye ushawishi na anayeweza kutibu mipasuko ya nchi zote mbili. Taifa hili lina vijana Smart wanaoweza kucheza hii michezo kwa umadhubuti mkubwa..... Tuna nchi ambazo tuna maslahi nazo Kama Kenya si pa kupeleka Balozi Ni Balozi economic intelligence huanzia hapa. Someni historia ya Balozi wa Kenya nchini Tanzania. Yupo very Smart Hadi Rais aliwahi kutamani kumpa uraia.

Nalaumu kuhusu Balozi lakini pia idara nyingine kwa kuwa Kenya toka mwaka Jana walishaonyesha interest ya kununua mahindi toka Mexico, Malawi na Zambia kwa kuwa aidha wanayapata kwa Bei rahisi na hakuna mlolongo wa Kodi. Fuata link ifuatayo ambayo gazeti la the East African lilishaonyesha Dalili kuwa Kenya itaagiza mahindi toka kwenye hayo mataifa.


Inawezekana Kenya imeyapata Mahindi kwenye mataifa hayo kwa Bei Rahisi zaidi kuliko hapa kwetu. Na Kenya wametunyima Soko la mahindi kipindi ambacho wanauhitaji mkubwa Sana w mahindi kutokana na Nzige na Corona.

Tulitamka hadharani kuwa wakati watu wakiwa lockdown sisi tulime mahindi tutakuja kuwauzia. Sasa kwa kauli hii ya Kenya hatutauza popote.... Tuboreshe idara zetu nyeti.....

Wametuotea katika hili....je Ni kweli yana sumu au Ni Siasa ya kiuchumi? Wametupiga panapouma.

Ole Mushi
0712702602
 
You Have the Favour of God

In my first year at university, aged eighteen, I read the entire New Testament in a week – from Matthew to Revelation – and became convinced, ‘it is true’. But I was reluctant to follow Jesus, as I thought my life would be very dull and that I would have to give up all enjoyment. In fact, it was the exact opposite. I found something even better than happiness.
We all want to live happy lives. ‘Happiness,’ wrote Aristotle, ‘is the meaning and purpose of life, the whole aim and end of human existence.’ But there is something even better, greater and deeper than happiness. Happiness is dependent on what happens – our circumstances. Joy is far deeper and is not so dependent on our outward circumstances. It is a blessing from God. Joy is the characteristic of an encounter with Jesus even in his mother’s womb (Luke 1:44).
Today’s New Testament passage uses a Greek word that we translate ‘blessed’. It means to be the privileged recipient of God’s favour, and to be fortunate and happy because of it. The Amplified Bible describes it as being ‘happy, to be envied, and spiritually prosperous – with life-joy and satisfaction in God’s favour and salvation, regardless of their outward conditions’ (Matthew 5:3, AMP).
 
Psalm 34:1-10

Praise God for all his favour

In the last thirty years, Pippa and I have travelled all over the world. Sometimes we are offered some quite unusual looking food that we have never eaten or even seen before. Often it turns out to be delicious. There is only one way to find out – to ‘taste and see’.
David says, ‘Taste and see that the Lord is good; blessed is the one who takes refuge in him’ (v.8). That is what I experienced as I began to follow Jesus. Ever since, it has been my desire to get that message out to as many people as I can, and say to them, ‘Join me in spreading the news; together let’s get the word out’ (v.3, MSG).
Like David, praise God for all the favour your relationship with God has brought to your life. Praise God ‘at all times’ (v.1) not just when things are going well or it is convenient to do so: ‘I bless God every chance I get; my lungs expand with his praise. I live and breathe God; if things aren’t going well, hear this and be happy’ (vv.1–2, MSG).
Praise God for:

Answered prayer
David writes, ‘I sought the Lord, and he answered me’ (v.4a). God helped him in times of trouble, ‘When I was desperate, I called out, and God got me out of a tight spot’ (v.6, MSG).

Freedom from fear
David continues by explaining exactly how God had answered his prayers in this instance: ‘he delivered me from all my fears’ (v.4b).

Those who fear God are delivered from all their fears. ‘Fear [of] the Lord’ (v.9a) is the equivalent of ‘seeking the Lord’ (compare verse 9b, ‘those who fear him lack nothing’ with verse 10b, ‘those who seek the Lord lack no good thing’).

David does not say we will lack nothing, but he does say, ‘Those who seek the Lord lack no good thing’ (v.10b). Or as The Message puts it, ‘Worship opens doors to all his goodness’ (v.9b, MSG).

Radiant faces
One of the things I noticed, even before I was a Christian, was the radiant expression on the faces of many Christians. ‘Those who look to him are radiant; their faces are never covered with shame’ (v.5).

Angelic protection
‘God’s angel sets up a circle of protection around us while we pray’ (v.7, MSG). It’s an amazing thought that as you pray and worship God you experience angelic protection.

‘All enjoyment spontaneously overflows into praise,’ wrote C.S. Lewis. ‘… delight is incomplete till it is expressed.’

Lord, thank you that you promise to deliver me from all my fears. Thank you that your angel sets up a circle of protection around me as I pray. Lord, I thank, praise and worship you today.
 
Luke 1:39-56

Believe God’s promises of favour

Mary was ‘highly favoured’ (1:28). The angel said to her ‘you have found favour with God’ (v.30).
This passage is full of celebration, as Elizabeth and Mary recognise the ways in which God has favoured them.
Elizabeth, filled with the Holy Spirit, sings of Mary: ‘Blessed are you among women, and blessed is the child you will bear! But why am I so favoured, that the mother of my Lord should come to me?… Blessed is she who has believed that what the Lord has said to her will be accomplished!’ (vv.42-45).
The emphasis on Mary’s faith is significant, as many people would have responded very differently to the situation. God’s favour did not mean that all Mary’s problems disappeared – she was pregnant and unmarried in a culture where that would have caused all kinds of difficulties.
Yet she chooses to recognise the ways that God has blessed her. She picks up on Elizabeth’s greeting and sings the song that has become known as the ‘Magnificat’. In it she ‘rejoices in God my Saviour’ (v.47) for all the ways in which he has ‘done great things for me’ (v.49).
In some ways the favour on Mary is unique: ‘Blessed are you among women’ (v.42a). Mary is:

The mother of the Lord
Mary carried in her womb the Son of God, Jesus the blessed one (v.42b). When Elizabeth comes into the presence of the foetal Jesus she is ‘filled with the Holy Spirit’ (v.41). ‘Joy’ is the characteristic response to Jesus – even the baby ‘leapt with joy’ in the womb (v.44).

Recognised for all future generations
‘From now on all generations will call me blessed’ (v.48). Mary has been known as ‘the Blessed Virgin Mary’ ever since.

Jesus’ DNA came from a combination of Mary and the Holy Spirit. He was the genetic son of Mary. He must have looked like her. He must have had some of her physical features. She brought him up. She trained and taught him. For thirty years she was the dominant female influence on his life.

The pinnacle of faith
‘Blessed is she who has believed that the Lord would fulfil his promises to her!’ (v.45). Mary believed that what the Lord said to her – something unique and humanly impossible – would happen. As the angel had said to Mary, ‘Nothing is impossible with God’ (v.37).

For Mary, what God had promised was as good as done: ‘For the Mighty One has done great things for me’ (v.49). Corrie ten Boom said, ‘Faith sees the invisible, believes the unbelievable, and receives the impossible.’

Of course, in many ways, Mary was unique. Yet in some ways the favour she talks about can apply to you and me. You are blessed by a saviour (‘God my Saviour’, v.47). The promise to fill the hungry with good things (v.53) – the promise of God’s favour to satisfy your spiritual hunger with his provision – applies to you and me.

Lord, thank you for Mary’s extraordinary faith: that she believed you could do what was humanly impossible. Like Mary, I want your favour to lead me to worship you.
 
Numbers 2:10-3:51

Experience now the favour of God’s presence

These events took place ‘at the time the Lord talked with Moses’ (3:1). What was once a special favour for Moses is now open to us all. You can experience the favour of God talking with you.
Enormous care had to be taken because of the huge responsibility and great blessing of God’s presence being in the midst of his people. The ‘Tent of Meeting’ (where God’s presence dwelt) was ‘set out in the middle of the camps’ (2:17). Everyone was given a role and a responsibility. In particular, a certain group of people were ordained (the Levites) to full-time ministry. They were ‘ordained to serve’ (3:3); they were ‘given wholly’ to God (v.9).
The life of God’s people literally revolved around the presence of God. It was the key to their identity, their success and their favour.
But here we see that God’s presence with his people was also limited. The people were barred from the sanctuary (v.10), the heart of God’s presence. The extraordinary message of the New Testament is that this separation has now been removed.
You can now experience the full favour of God’s presence with you. This theme of the blessing of God’s presence is a recurring one throughout the Scriptures. Jesus brings God’s presence to us (John 1:14a). Jesus has given you the Holy Spirit, who is God’s empowering presence dwelling within you (1 Corinthians 6:19). We experience God’s presence especially when we gather together (Matthew 18:20). One day you will know God’s presence face to face (Revelation 21:3, 22:4).

Lord, thank you so much for the blessing of your presence and your favour. As you did with Moses, please talk with me today.
 
Pippa Adds

Luke 1:39–56

It is good to have someone a little further on who journeys with us in life. God didn’t leave Mary alone to carry this extraordinary revelation; he gave her Elizabeth. They must have been a great encouragement to each other, both pregnant in miraculous circumstances, knowing that their sons were coming into the world to achieve some astonishing mission from God (and one of them was God!).
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom