WHY MOST SHORT MEN WANAKUWA SUCCESSFUL? kuna siri gani?

WHY MOST SHORT MEN WANAKUWA SUCCESSFUL? kuna siri gani?

Ubungoubungo

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2008
Posts
2,502
Reaction score
741
Nilishawahi kusoma thread moja hapa ilikuwa inaongelea kwanini watu wafupi wakali sana...mmoja akasema pia huwa wanakuwa successful walio wengi.....sasa hapa niko mwanza, nilienda kahama, nikaenda morogoro na bukoba before niko hapa leo,..hapa mwanza nina kama mwezi mzima, ninaishi kwenye lodges na hotel za bei nafuu....hotel ya kwanza ilikuwa kahama, ni ya mtu mfupi...ni daktari wa wilaya ya kahama pale, ana famasi yake fulani kubwa na ana loji inaitwa mamba safari. ni mfupi, yuko very serious hacheni ovyo na anaonekana mkalii hasa akiona pembeni kuwa warefu kama mimi.

wa pili alikuwa shinyanga, mfupi na ni mmiliki wa lodge niliyokaa. the same....mwingine kahama alikuwa pale rocky point nilikaa siku tano, mfupi, mkaliii, looks like he's not friendly.

nimeenda bukoba, the same mfupi ndo nilikuja jua ni mmiliki wa lodge. akitokea tu, naona wafanyakazi hata wale wanawake waliokuwa wanajilegeza naona mazingira yamebadilika hadi aondoke. nikaja morogoro the same, iringa the same.

siku moja hapa mwanza nikiwa nimekaa kama wiki tatu kwenye lodge ya mtu mfupi, nikaamua nijaribu kumwongelesha pengine nimzoee, nikamwendea na kupiga naye story kidogo, mwanzoni alikuwa haonyeshi kukaribisha story mimi nikaamua kujifanya namfagilia, nikamsifia jinsi alivyojenga lodge vizuri, nikamwambia una hela sana wewe,...unatakiwa unipe motisha walau ya siku hata tatu manake nimekaa wiki tatu zote lodge yako....mimi ni mteja mzuri....alikubali akanipa tatu nikae bure, nilivyomwona, si kwasababu nilikuwa mteja mzuri, bali ni kwasababu nilimpa masifa, nikajifanya yeye ni mrefu kwangu hata kama mimi ni tall wa ajabu na nimeshiba, akaona kumbe mtu mrefu hajanidharau?..nikagundua kuwa kweli wana inferiority fulani kwa watu warefu ila mtu mrefu ukienda kwake kwa kumheshimu bila kumshusha kwa sababu ya ufupi wake, hata biashara unaweza kufanya naye, lakini ukimdharau au akaona unamfanyia kitu fulani kwa kuonyesha yeye ni mfupi...basi hata dili ya pesa anaweza asishirikiane nawe, jinsi walivyo na kiburi...na ukitaka uone ni mbaya, akipita na mwanamke wake jaribu kumwangalia sana yule mwanamke kuliko yeye au msalimie yule mwanamke...lazima kitanuka tu kwasababu anaona kama mtu mrefu anataka kunyang'anya mwanamke wake...ilishawai kunikuta dada mmoja nilisoma naye nikamsalimia kwa kuchangamke bila kujua amekaa na mtu wake mfupi....kesho yake alinipigia simu akasema kimenuka walipofika home hadi wamepigana ngumi na jamaa bado haamini kama mimi si mwizi....JAMANI WATU WAFUPI WA KUISHI NAO KWA MAKINI NA KWA KUWASAIDIA TU...
 
Ubungoubungo kujifagilia at work hahahaa mwaya.....ni kweli watu warefu wengi wanawatani utani "wa ukweli" wafupi ndo mana wana hasira
 
Last edited by a moderator:
Ubungoubungo kujifagilia at work hahahaa mwaya.....ni kweli watu warefu wengi wanawatani utani "wa ukweli" wafupi ndo mana wana hasira
watani wa jadi...hahaha, usiombe muwe ofisi moja na ni bosi wako, ikatokea kuna demu wapya wamekuja ofisini na yeye aliwapenda akaona wewe mrefu kama una mazingira ya kuwatamani....hahaha, hata safari ya padiemu hupati.
 
kweli bwana boss wangu kidume mfupiiiii basi yani dah!!hahaaa kuna ukweli lakini mana warefu wote anawabania safari na warembo
 
Nilishawahi kusoma thread moja hapa ilikuwa inaongelea kwanini watu wafupi wakali sana...mmoja akasema pia huwa wanakuwa successful walio wengi.....sasa hapa niko mwanza, nilienda kahama, nikaenda morogoro na bukoba before niko hapa leo,..hapa mwanza nina kama mwezi mzima, ninaishi kwenye lodges na hotel za bei nafuu....hotel ya kwanza ilikuwa kahama, ni ya mtu mfupi...ni daktari wa wilaya ya kahama pale, ana famasi yake fulani kubwa na ana loji inaitwa mamba safari. ni mfupi, yuko very serious hacheni ovyo na anaonekana mkalii hasa akiona pembeni kuwa warefu kama mimi.

wa pili alikuwa shinyanga, mfupi na ni mmiliki wa lodge niliyokaa. the same....mwingine kahama alikuwa pale rocky point nilikaa siku tano, mfupi, mkaliii, looks like he's not friendly.

nimeenda bukoba, the same mfupi ndo nilikuja jua ni mmiliki wa lodge. akitokea tu, naona wafanyakazi hata wale wanawake waliokuwa wanajilegeza naona mazingira yamebadilika hadi aondoke. nikaja morogoro the same, iringa the same.

siku moja hapa mwanza nikiwa nimekaa kama wiki tatu kwenye lodge ya mtu mfupi, nikaamua nijaribu kumwongelesha pengine nimzoee, nikamwendea na kupiga naye story kidogo, mwanzoni alikuwa haonyeshi kukaribisha story mimi nikaamua kujifanya namfagilia, nikamsifia jinsi alivyojenga lodge vizuri, nikamwambia una hela sana wewe,...unatakiwa unipe motisha walau ya siku hata tatu manake nimekaa wiki tatu zote lodge yako....mimi ni mteja mzuri....alikubali akanipa tatu nikae bure, nilivyomwona, si kwasababu nilikuwa mteja mzuri, bali ni kwasababu nilimpa masifa, nikajifanya yeye ni mrefu kwangu hata kama mimi ni tall wa ajabu na nimeshiba, akaona kumbe mtu mrefu hajanidharau?..nikagundua kuwa kweli wana inferiority fulani kwa watu warefu ila mtu mrefu ukienda kwake kwa kumheshimu bila kumshusha kwa sababu ya ufupi wake, hata biashara unaweza kufanya naye, lakini ukimdharau au akaona unamfanyia kitu fulani kwa kuonyesha yeye ni mfupi...basi hata dili ya pesa anaweza asishirikiane nawe, jinsi walivyo na kiburi...na ukitaka uone ni mbaya, akipita na mwanamke wake jaribu kumwangalia sana yule mwanamke kuliko yeye au msalimie yule mwanamke...lazima kitanuka tu kwasababu anaona kama mtu mrefu anataka kunyang'anya mwanamke wake...ilishawai kunikuta dada mmoja nilisoma naye nikamsalimia kwa kuchangamke bila kujua amekaa na mtu wake mfupi....kesho yake alinipigia simu akasema kimenuka walipofika home hadi wamepigana ngumi na jamaa bado haamini kama mimi si mwizi....JAMANI WATU WAFUPI WA KUISHI NAO KWA MAKINI NA KWA KUWASAIDIA TU...

Research yako kwanini imezama sana kwenye guest house?
 
Research yako kwanini imezama sana kwenye guest house?
angalia hata kwenye vitu vingine, mfano maduka anza hata hapo kwa mangi wa mtaani kwako, nenda hadi maduka makubwa kariakoo, nenda makazini uone mtu mfupi kwanza alivyo na superior inferiority kwa warefu, kwa mademu etc...utapata jibu....lakini samahani kama wewe ni mfupi na nimekutachi...jua huu ni utani wa watani wa jadi.
 
Ubungoubungo...mwana umenichekesha sana ulivyokuwa unatiririka na kuwabomoa watani wetu!hahahha!dah!ila mbegu fupi nyingi zinakuwa full utata hawajiamini flani!utawasikia wanasema unaringia urefu wako kama mkimzingua!
 
Last edited by a moderator:
angalia hata kwenye vitu vingine, mfano maduka anza hata hapo kwa mangi wa mtaani kwako, nenda hadi maduka makubwa kariakoo, nenda makazini uone mtu mfupi kwanza alivyo na superior inferiority kwa warefu, kwa mademu etc...utapata jibu....lakini samahani kama wewe ni mfupi na nimekutachi...jua huu ni utani wa watani wa jadi.
watani wa jadi noma..umba usiingie nao bifu, hahaha dawa yao mi nikiona wamekaa na mademu zao, najipitisha mbele yao, basi madem wao wote mimacho kwangu...hahaha...hapo ndo wanachukia kinoma.
 
kwa hyo misifa uliyojimwagia unaonekana kwenu ni kulee walikokufa sana na ukimwi miaka ya 80..
 
Hata sijui nisemeje
urefu wangu ni 5.7
wengine huniita mfupi
na kuwa na lodge ni kitu ambacho kiko kwenye plan
dah....i feel insulted here
kwa kimo hicho wewe ni mfupi...hivyo kuwa na wazo la kumiliki lodge ni sahihi uwe sawa na hao wenzio niliowasema mtani...
 
Nilishawahi kusoma thread moja hapa ilikuwa inaongelea kwanini watu wafupi wakali sana...mmoja akasema pia huwa wanakuwa successful walio wengi.....sasa hapa niko mwanza, nilienda kahama, nikaenda morogoro na bukoba before niko hapa leo,..hapa mwanza nina kama mwezi mzima, ninaishi kwenye lodges na hotel za bei nafuu....hotel ya kwanza ilikuwa kahama, ni ya mtu mfupi...ni daktari wa wilaya ya kahama pale, ana famasi yake fulani kubwa na ana loji inaitwa mamba safari. ni mfupi, yuko very serious hacheni ovyo na anaonekana mkalii hasa akiona pembeni kuwa warefu kama mimi.

wa pili alikuwa shinyanga, mfupi na ni mmiliki wa lodge niliyokaa. the same....mwingine kahama alikuwa pale rocky point nilikaa siku tano, mfupi, mkaliii, looks like he's not friendly.

nimeenda bukoba, the same mfupi ndo nilikuja jua ni mmiliki wa lodge. akitokea tu, naona wafanyakazi hata wale wanawake waliokuwa wanajilegeza naona mazingira yamebadilika hadi aondoke. nikaja morogoro the same, iringa the same.

siku moja hapa mwanza nikiwa nimekaa kama wiki tatu kwenye lodge ya mtu mfupi, nikaamua nijaribu kumwongelesha pengine nimzoee, nikamwendea na kupiga naye story kidogo, mwanzoni alikuwa haonyeshi kukaribisha story mimi nikaamua kujifanya namfagilia, nikamsifia jinsi alivyojenga lodge vizuri, nikamwambia una hela sana wewe,...unatakiwa unipe motisha walau ya siku hata tatu manake nimekaa wiki tatu zote lodge yako....mimi ni mteja mzuri....alikubali akanipa tatu nikae bure, nilivyomwona, si kwasababu nilikuwa mteja mzuri, bali ni kwasababu nilimpa masifa, nikajifanya yeye ni mrefu kwangu hata kama mimi ni tall wa ajabu na nimeshiba, akaona kumbe mtu mrefu hajanidharau?..nikagundua kuwa kweli wana inferiority fulani kwa watu warefu ila mtu mrefu ukienda kwake kwa kumheshimu bila kumshusha kwa sababu ya ufupi wake, hata biashara unaweza kufanya naye, lakini ukimdharau au akaona unamfanyia kitu fulani kwa kuonyesha yeye ni mfupi...basi hata dili ya pesa anaweza asishirikiane nawe, jinsi walivyo na kiburi...na ukitaka uone ni mbaya, akipita na mwanamke wake jaribu kumwangalia sana yule mwanamke kuliko yeye au msalimie yule mwanamke...lazima kitanuka tu kwasababu anaona kama mtu mrefu anataka kunyang'anya mwanamke wake...ilishawai kunikuta dada mmoja nilisoma naye nikamsalimia kwa kuchangamke bila kujua amekaa na mtu wake mfupi....kesho yake alinipigia simu akasema kimenuka walipofika home hadi wamepigana ngumi na jamaa bado haamini kama mimi si mwizi....JAMANI WATU WAFUPI WA KUISHI NAO KWA MAKINI NA KWA KUWASAIDIA TU...

Mkuu siri yote unaijua na umeshamaliza .
 
Kuna statistics, hata za kienyeji? Au ulijaribu kuhesabu warefu wanao behave hivo hivo? au ndio imesha kua label?
best answer
Ubungoubungo kuna sifa zinaitwa hard work na determination. hizo ndio siri za mafanikio, urefu/unene/weusi wan ngozi nk ni irrelevant.
 
Last edited by a moderator:
Hata sijui nisemeje
urefu wangu ni 5.7
wengine huniita mfupi
na kuwa na lodge ni kitu ambacho kiko kwenye plan
dah....i feel insulted here

As opposite to the man on the profile pic. . weka ya. . . aah nimeshindwa kupata famous short figure zaidi ya marehemu kawawa. . napata waswas na analysis yako mleta mada how come nimeshindwa kupata picha ya haraka ya kijana mfupi aliyefanikiwa anayejuilikana ofcourse nilitaka nimshauri the boss abadili avatar yake. . Labda wanamiliki guests tu hahahaaa the boss am still laughing kwamba na una plan ya kufungua lodge real the guy akutake radhi!!
 
Back
Top Bottom