Umaskini na njaa ndo unawakimbiza wa Afghanistan kwenda America,lkn pia utawala wa Taliban ni utawala unajificha kwenye kivuli cha uislam lkn utawala wao ni wa kijambaz,waporaji,ubakaji,wauaji na kila aina ya uoneaji...Jambo lipi
Liweke wazi tafadhali
Wewe ni Qadiani hamna lolote Qadiani sio sehemu ya ummah ya Uislamu ni Dini mpya, aina tofauti na Hindusm au Budhaism, kama unabisha leta dalili yoyote wapi Qadiani wanaongelewa kwenye Quran au hadeeth........Ahmadiyya ni fubrication ya Mirza khazab.Hayo ni matukio ya vikundi vya dini tu na sio maisha ya jumla ya watu. kama hapa Tanzania ukileta video zake atakamatwa na kufunguliwa mashtaka.
Kwenye hoja.
Binafsi nawakubali sana Waislamu wa Jumuiya ya Ahammadiya.
Wanauelewa Uislamu vizuri sana, hawana Jazba, hawana kulazimishana maisha ya Sharia.
Wa Jumuiya ya Ahammadiya nawaona kama waislamu waliostaarabika vya kutosha katika kuishi na jamii zisizo za kiislamu.
Kama Gullam Mahdi wa Qardian India, alihusika katika kuanzisha hii jumuia hakika yeye anastahiri kiitwa Nabii.
Ameanzisha Uislamu unaoangalia Upendo na mshikamano wa amani baina ya Waislamu. Na pia mahusiano mazuri na wasio Waislamu.
Mi nimewafuatilia sana Waahamadiya na nimejiridhisha kuwa unafundisha maisha yanayo endana na wakati uliopo.
Pongezi kwa hiyo hatua ndugu Mokaze, Allah aendelee kukufunulia yaliyo mema.
Mada nzuri.
Hakuna Mwislamu aliye staarabika anayependa utawala wa Sharia wa kuchinjana na kukatana mikono.
Wahadhiri wa Kiislamu walioko vyuoni, wanaeleza hivyo na wakipata likizo zao za Sabato wanaenda kupumzika nchi za Ulaya.
Nchi za Ulaya zimestarabika kitambo zinaishi maisha ya Karne ya sasa.
Kama alivyoeleza mchangiaji mmoja maisha ya Sharia ni misha ya Karne ya 6 enzi za Mtume wa Kiislamu Muhammadi.
Maisha ya Sharia hayatokani na maamuzi ya jamii inayobadilika kuelekea katika ustaarabu.
Maisha ya Sharia ni kama maisha ya Jera.
Ni maisha ya kulazimisha kufata Taratibu na Kanuni zilezile za karne ya 6.
Jamii yoyote inapo endelea kuishi inajitungia kanuni ndogo ndogo kutokana na wakati husika. Hili halipo katika utawala wa Sharia, kwa mfano, Mwanamke hana maamuzi binafsi katika utawala wa Sharia milele.
Wasio Waislamu hawana haki katika utawala wa Sharia milele.
Ati Mwanamume Muislamu ndiye mtu pekee wa kuwapangia watu wengine namna ya kuishi.
Inasema mahali,
"Asiyetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu haitakubalika kwake"
Waislamu lazima watambe kwamba hii ni karne ya 21 mtu wa kisasa hawezi ishi kwa kanuni za karne ya 6.
Dunia ya sasa hakuna Binadamu anayependa kuishi maisha ya karne ya 6.
Ya kulazimisha kuishi maisha ya kale na kuto kuruhusu kusema mtu anavyopenda kuishi leo.
Sheria ktk Nchi za Ulaya zimetungwa kutokana na maoni ya watu wa jinsia zote, na jamii zote na hazikiuki haki za watu wengine.
Ndio maana kila mtu anapenda kuishi Ulaya.
Mada nzuri.
Hakuna Mwislamu aliye staarabika anayependa utawala wa Sharia wa kuchinjana na kukatana mikono.
Wahadhiri wa Kiislamu walioko vyuoni, wanaeleza hivyo na wakipata likizo zao za Sabato wanaenda kupumzika nchi za Ulaya.
Nchi za Ulaya zimestarabika kitambo zinaishi maisha ya Karne ya sasa.
Kama alivyoeleza mchangiaji mmoja maisha ya Sharia ni misha ya Karne ya 6 enzi za Mtume wa Kiislamu Muhammadi.
Maisha ya Sharia hayatokani na maamuzi ya jamii inayobadilika kuelekea katika ustaarabu.
Maisha ya Sharia ni kama maisha ya Jera.
Ni maisha ya kulazimisha kufata Taratibu na Kanuni zilezile za karne ya 6.
Jamii yoyote inapo endelea kuishi inajitungia kanuni ndogo ndogo kutokana na wakati husika. Hili halipo katika utawala wa Sharia, kwa mfano, Mwanamke hana maamuzi binafsi katika utawala wa Sharia milele.
Wasio Waislamu hawana haki katika utawala wa Sharia milele.
Ati Mwanamume Muislamu ndiye mtu pekee wa kuwapangia watu wengine namna ya kuishi.
Inasema mahali,
"Asiyetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu haitakubalika kwake"
Waislamu lazima watambe kwamba hii ni karne ya 21 mtu wa kisasa hawezi ishi kwa kanuni za karne ya 6.
Dunia ya sasa hakuna Binadamu anayependa kuishi maisha ya karne ya 6.
Ya kulazimisha kuishi maisha ya kale na kuto kuruhusu kusema mtu anavyopenda kuishi leo.
Sheria ktk Nchi za Ulaya zimetungwa kutokana na maoni ya watu wa jinsia zote, na jamii zote na hazikiuki haki za watu wengine.
Ndio maana kila mtu anapenda kuishi Ulaya.
Hawa wasenge wa Kiyahudi wakishangilia jambo lao.....mbona huweki wasenge wa Kiarab nao tuwaone?Wayahudi wana good life ona hapa
Tel Aviv’s Gay Pride Parade
Hawa wasenge wa Kiyahudi wakishangilia jambo lao.....mbona huweki wasenge wa Kiarab nao tuwaone?
Mada nzuri.
Hakuna Mwislamu aliye staarabika anayependa utawala wa Sharia wa kuchinjana na kukatana mikono.
Wahadhiri wa Kiislamu walioko vyuoni, wanaeleza hivyo na wakipata likizo zao za Sabato wanaenda kupumzika nchi za Ulaya.
Nchi za Ulaya zimestarabika kitambo zinaishi maisha ya Karne ya sasa.
Kama alivyoeleza mchangiaji mmoja maisha ya Sharia ni misha ya Karne ya 6 enzi za Mtume wa Kiislamu Muhammadi.
Maisha ya Sharia hayatokani na maamuzi ya jamii inayobadilika kuelekea katika ustaarabu.
Maisha ya Sharia ni kama maisha ya Jera.
Ni maisha ya kulazimisha kufata Taratibu na Kanuni zilezile za karne ya 6.
Jamii yoyote inapo endelea kuishi inajitungia kanuni ndogo ndogo kutokana na wakati husika. Hili halipo katika utawala wa Sharia, kwa mfano, Mwanamke hana maamuzi binafsi katika utawala wa Sharia milele.
Wasio Waislamu hawana haki katika utawala wa Sharia milele.
Ati Mwanamume Muislamu ndiye mtu pekee wa kuwapangia watu wengine namna ya kuishi.
Inasema mahali,
"Asiyetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu haitakubalika kwake"
Waislamu lazima watambe kwamba hii ni karne ya 21 mtu wa kisasa hawezi ishi kwa kanuni za karne ya 6.
Dunia ya sasa hakuna Binadamu anayependa kuishi maisha ya karne ya 6.
Ya kulazimisha kuishi maisha ya kale na kuto kuruhusu kusema mtu anavyopenda kuishi leo.
Sheria ktk Nchi za Ulaya zimetungwa kutokana na maoni ya watu wa jinsia zote, na jamii zote na hazikiuki haki za watu wengine.
Ndio maana kila mtu anapenda kuishi Ulaya.
Ukristo hausemi hivyo ?HAYA MPELEKE BINTI YAKO NA MKE WAKO WAKANYOLEWE MAVUZI Kwa jina la yesu na Roho Mtakatifu
HAYA NDIYO MAENDELEO UNAYOYATAKA KATIKA UKRISTO na hakuna SHERIA YA KUKATA MKONO HAPA MNAKATA MAVUZI TU
Mimi sio Mwislamu.Wewe ni Qadiani hamna lolote Qadiani sio sehemu ya ummah ya Uislamu ni Dini mpya, aina tofauti na Hindusm au Budhaism, kama unabisha leta dalili yoyote wapi Qadiani wanaongelewa kwenye Quran au hadeeth........Ahmadiyya ni fubrication ya Mirza khazab.
Ukristo hausemi msinyoane mavuzi kanisani ???😛Ukristo hausemi hivyo ?
Kama Ushoga uko dunia nzima hata kwa waasisi wa dini yako Waarabu.
Kama mtu ameamua kuwa Shoga wewe inakuhusu nini.
Kama dhambi ziko nyingi tu.
Shoga na matendo ya Al- Shababu yepi ni afadhali ?
Magaidi wanaua watu wasio na hatia.
Shoga hana ubaya na mtu anaumiza viungo vyake tu, wewe Mwislamu kinakuuma nini ?
Mimi sio Mwislamu.
Katika tafiti zangu nimejiridhisha pasi na mashaka.
Waislamu wa Jumuiya ya Ahamadiya ndio Waislamu waliostarabika kupita wa jumuiza za Suni, Shia na ismailiya na nyinginezo.
Na kama Mahdi Gulam, aliwafundisha Waislamu ustaarabu wa kuto kujaa upepo haraka na kulipua watu wasio na hatia, anastahili kabisa kiitwa Nabii wa dini ya Kiislamu.
Muhammadi aliacha sumu ya jabza kwa waumini wake tena jazba kali kabisa kwa karibu Waislamu wote.
Leo ukichana ukurasa wa Qurani ukavutia tumbaku waislamu wote watalipuka kutaka kukuuwa haraka. Shia na Suni wote watalipuka isipokuwa Wa Ahamadiya ambao wamefundishwa Upendo na Amani.
Nakuambia Nabii Mahdi Gulam alikuwa na busara na hekima na uvumilivu kumpita mtume Muhammadi.
Mahdi hajawai kuchinja mtu hata mmoja.
Mahdi hajawahi kuanzisha magenge ya ugaidi kama alivyofanya muhamadi kwa kabila la Bedui
Mahdi hajawahi kuhamasisha vita kuteka watu na kupora mali na wake za watu, kutaja machache.
Hivi Saudia Moyo wa uislam Hali ikoje Kwa wanawake?Umaskini na njaa ndo unawakimbiza wa Afghanistan kwenda America,lkn pia utawala wa Taliban ni utawala unajificha kwenye kivuli cha uislam lkn utawala wao ni wa kijambaz,waporaji,ubakaji,wauaji na kila aina ya uoneaji...
NI utawala ambao una malengo mengi kimaslahi binafsi tofauti na uendelezaji wa nchi na watu wake,ni utwala,ni utawala ambao unachochea zaidi watu wake kuwa wajinga na maskini ili wapate kuwatawala vizuri
Uislam hausemi wanawake wasisome au wasifanye kazi
KWANI HAPA TANZANIA HALI IKOJE HATA KWA WANAUME ???Hi
Hivi Saudia Moyo wa uislam Hali ikoje Kwa wanawake?
Hi
Hivi Saudia Moyo wa uislam Hali ikoje Kwa wanawake?
Nimekuuliza ?? Jifunze kujibu maswali kama yanavoulizaHali ya wanaume ndio hii Vatican kwenye moyo wa Ukristo sasa hali ya wanawake itakuwaje ??
Jibu Kwanza swali ndo uulize swaliKWANI HAPA TANZANIA HALI IKOJE HATA KWA WANAUME ???
Hali ikoje vipi ?? wanauliwa, wanabambikiwa makesi , hawana kazi ni masikini ?? wanaumwa ??Jibu Kwanza swali ndo uulize swali
Wanapata access Sawa Kwa huduma Za kijamii Sawa Na wanaume?Wana haki Sawa Mbele ya sheria?Hali ikoje vipi ?? wanauliwa, wanabambikiwa makesi , hawana kazi ni masikini ??
Wanapata access Sawa Kwa huduma Za kijamii Sawa Na wanaume?Wana haki Sawa Mbele ya sheria?