Why Muslims fear Islamic Sharia and run away from their own countries?

Why Muslims fear Islamic Sharia and run away from their own countries?

Hayo ni matukio ya vikundi vya dini tu na sio maisha ya jumla ya watu. kama hapa Tanzania ukileta video zake atakamatwa na kufunguliwa mashtaka.

Kwenye hoja.
Binafsi nawakubali sana Waislamu wa Jumuiya ya Ahammadiya.
Wanauelewa Uislamu vizuri sana, hawana Jazba, hawana kulazimishana maisha ya Sharia.
Wa Jumuiya ya Ahammadiya nawaona kama waislamu waliostaarabika vya kutosha katika kuishi na jamii zisizo za kiislamu.
Kama Gullam Mahdi wa Qardian India, alihusika katika kuanzisha hii jumuia hakika yeye anastahiri kuitwa Nabii wa Waislamu.
Ameanzisha Uislamu unaoangalia Upendo na mshikamano wa amani baina ya Waislamu. Na pia mahusiano mazuri na wasio Waislamu.
Mi nimewafuatilia sana Waahamadiya na nimejiridhisha kuwa unafundisha maisha yanayo endana na wakati uliopo.
Pongezi kwa hiyo hatua ndugu Mokaze, Allah aendelee kukufunulia yaliyo mema.


Ukitaka mafundisho safi ya dini kiisilamu unaweza kuyapata ndani ya Jumuiyya ya Waisilamu wa Ahmadiyya tu, ni mafundisho yale yale aliyofundisha Mtukufu mtume Muhammad (saw), kwa maneno mengine ile imani ya dini ya kiislamu iliyopotea imerudishwa tena duniani na Hadhrat Ahmad (as), nje ya Jumuiya hii hakuna bali kilichopo ni Uisilamu uliochafuliwa na Waisilamu-jina na ndio maana unakuta wametokea akina ISIS, Alshabab, Taliban, Bokoharam, Alqaida nk, makundi yote hayo yanajinasibisha na mtukufu Mtume Muhammad (saw) na Uisilamu wakati matendo yao ni ya kikatili na kinyama dhidi ya binadamu kinyume na mafundisho ya mtume (saw) na Qur'an , haya makundi na Masheikh wenye siasa kali wasiojua mafundisho Uisilamu vyema ndio chanzo cha mifarakano na magomvi miongoni mwa Umma wa Waisilamu na hata kuleta tafrani kwa wasiokuwa Waisilamu.

Mtume mtukufu (saw) katika moja ya Hadithi alipata kusema: "Umati wangu utagawanyika katika makundi 73 yote yataingia motoni ila kundi moja.", masahaba wamuuliza; ni kundi gani hilo??, akajibu; "lile litakalo kuwa kama mimi na masahaba zangu"---- Sasa tafuta katika madhehebu yote ya Waisilamu leo ni dhehebu gani lenye imamu na linafuata mila za Mtume (saw) na masahaba zake??, ni dhehebu lipi linapingwa na madhehebu mengine YOTE kwa Pamoja??, Shia, Answar sunna, Sunni, Barweli, Deobabd, Bohora, Ismailia nk, hayo madhehebu wao kwa wao ni maadui lakini Wakitokea Ahmadiya mbele yao maramoja huuangana kuwa kitu kimoja dhidi ya Ahmadiyya, wamejaribu na Wanaendelea kujaribu kuifuta Ahmadiyya kwa hali na mali wameshindwa kabisa na baadhi yao wamediriki kukiri hadharani kwamba kuifuta Ahmadiyya HAIWEZEKANI, Ahmadiyya ni Jumuiya ya Waisilamu iliyoanzishwa na Hadhrat Ahmad (as) nabii kwa Amri ya Mungu na Mungu alimfunulia Wahya Hadhrat Ahmad (as) katika lugha ya Kiurdu akimwambia kwamba : "Mimi nitafikisha Ujumbe wako katika kila pembe ya dunia" (ujumbe ni mahubiri ya kiisilamu). Leo hii kila mwaka duniani kote wanajiunga watu zaidi ya 600,000, ni jumuiya ya kidini inayokuwa kwa kasi KULIKO madhehebu ya dini zote duniani jambo ambalo linawafanya maadui wa hii jumuiya kuzidi kupata hofu, uadui na kukereheka mioyoni, jambo hili linazidi kututia moyo kwani hakuna nabii aliyefanya kazi ya Mungu kirahisi, historia inaonyesha manabii wote walipata shida kutoka kwa wapinzani na hatimaye walifaulu na wapinzani wakaangamizwa au wakakubali haki.

Jumuiya hii imekusanya watu wa nyanja zote za maisha na watu wa mataifa mbalimbali watu wa rangi zote na jumuiya hii imetapakaa karibu katika kila kona ya dunia, ni jumuiya iliyotafsiri Qur'an tukufu katika lugha zote kuu za dunia ni kazi ambayo haijafanywa na dhehebu lolote wa kiisilamu, majarida na vitabu na magazeti kwa maelfu huchapwa kila mwaka kutangaza ujumbe wa UISILAMU SAFI duniani pote, kazi hii kubwa hupata fedha kutokana na michango ya fedha na kujitolea kwa wanajumuiya wenyewe, wanajuiya tunayoshauku kubwa kujitolea kwa ajili ya kazi ya Mungu, you can't find such spirit from the other muslim sects, they don't have such spirit, to them terrorism, radicalism and associate others with infidelity are their spirits.---- they spit harsh words against other peoples as if they are clean hearted and already have tickets in hand to go to heaven.

Kifupi ni kwamba kazi kubwa ya aina hii inayofanywa na Jumuiya ya Ahmadiyya yenye matokeo chanya na baraka, inayowashangaza watu kamwe haiwezi kuwa imeanzishwa na mtu Muongo kwani Qur'an Unasema wadhalimu hawawezi kufanikiwa na Allah humuangamiza mzushi, humuangamiza mzushi ili asiwadanganye watu kwa uzushi wake na kuwapoteza.

Mkuu, Che mittoga wewe ni miongoni mwa watu wema mliopo duniani, kukiri na kuandika ukweli hadharani juu ya Jumuiya ya Ahmadiyya inahitaji moyo na nguvu kutoka kwa Mungu, na hilo limedhihirisha wema wako, nadhani wewe mwenyewe umeshuhudia jinsi ninavyopingwa kila ninapojitahidi kuwaelewesha hawa ndugu zangu wa kiisilamu basi hali ni mbaya zaidi huko Pakistani ambako Waahmadiyya wanapata madhila ya kutisha kama kuteswa, kuuawa, kufungwa gerezani nk, kutoka kwa hao masheikh na Wafuasi wao, licha ya hali zote hizo Jumuiya inapitia lakini watu wanazidi kujiunga sana. "Sifa zote njema zinamuhusu Mungu anayetuwezesha kututia nguvu kufanya kazi yake kwani bila ya Yeye Jumuiya hii ingeishia kijijini Qadiani na hadi leo ingebakia historia tu kwamba katika mwaka 1894 huko Qadian alitokea mtu mmoja anayeitwa Ahmad (Mirza Ghulam Ahmad) aliyejitangaza kwamba yeye ni Masihi na Iman mahd na nabii Mfuasi wa Mtume (saw), kinyume chake leo Historia inamuandika kwamba ni mtu aliyeanzisha Jumuiya ya kiislamu inayokua kwa kasi kubwa kuliko madhehebu ya DINI zote duniani,

In a shor time to come the whole world will be Ahmadis muslims--- and filled with genuine Muslims from the west to the East and finally to the South.

Mungu akubariki sana mkuu kukiri ukweli wa hali ya Jumuiya ya Waisilamu wa Ahmadiyya ukweli ambao maadui hawapendi kuusikia na kuukubali.
 
Hizo hoja zilete hapa tuzisikilize, ma Qadiani ni wazushi hawana ukweli wowote imani yao ni ya kubuni tu.
ha...ha...wacha chuki wewe umeambiwa Qadiani ni mji ulioko India.
Sema Waislamu wanajumuiya ya Ahamadiya.
Au Wa Ahamadiya inatosha.
Mbona wao hawawachukii Wasuni na Washia ?
Wakati kwenye Qurani na hadithi za Mtume hakuna neno Suni wala Shia.
Wa Ahamadiya are the best Muslims. Mimi nimefanya Utafiti wa muda mrefu sana.
Hebu watembelee kwanye Jumuiya yao na uzungumze nao uone jinsi walivyo na hekima nyingi juu ya Dini ya Kiislamu.

Mokaze, yupo sahihi sana.
Kubali kujifunza utauona ukweli
 
Ukitaka mafundisho safi ya dini kiisilamu unaweza kuyapata ndani ya Jumuiyya ya Waisilamu wa Ahmadiyya tu, ni mafundisho yale yale aliyofundisha Mtukufu mtume Muhammad (saw), kwa maneno mengine ile imani ya dini ya kiislamu iliyopotea imerudishwa tena duniani na Hadhrat Ahmad (as), nje ya Jumuiya hii hakuna bali kilichopo ni Uisilamu uliochafuliwa na Waisilamu-jina na ndio maana unakuta wametokea akina ISIS, Alshabab, Taliban, Bokoharam, Alqaida nk, makundi yote hayo yanajinasibisha na mtukufu Mtume Muhammad (saw) na Uisilamu wakati matendo yao ni ya kikatili na kinyama dhidi ya binadamu kinyume na mafundisho ya mtume (saw) na Qur'an , haya makundi na Masheikh wenye siasa kali wasiojua mafundisho Uisilamu vyema ndio chanzo cha mifarakano na magomvi miongoni mwa Umma wa Waisilamu na hata kuleta tafrani kwa wasiokuwa Waisilamu.

Mtume mtukufu (saw) katika moja ya Hadithi alipata kusema: "Umati wangu utagawanyika katika makundi 73 yote yataingia motoni ila kundi moja.", masahaba wamuuliza; ni kundi gani hilo??, akajibu; "lile litakalo kuwa kama mimi na masahaba zangu"---- Sasa tafuta katika madhehebu yote ya Waisilamu leo ni dhehebu gani lenye imamu na linafuata mila za Mtume (saw) na masahaba zake??, ni dhehebu lipi linapingwa na madhehebu mengine YOTE kwa Pamoja??, Shia, Answar sunna, Sunni, Barweli, Deobabd, Bohora, Ismailia nk, hayo madhehebu wao kwa wao ni maadui lakini Wakitokea Ahmadiya mbele yao maramoja huuangana kuwa kitu kimoja dhidi ya Ahmadiyya, wamejaribu na Wanaendelea kujaribu kuifuta Ahmadiyya kwa hali na mali wameshindwa kabisa na baadhi yao wamediriki kukiri hadharani kwamba kuifuta Ahmadiyya HAIWEZEKANI, Ahmadiyya ni Jumuiya ya Waisilamu iliyoanzishwa na Hadhrat Ahmad (as) nabii kwa Amri ya Mungu na Mungu alimfunulia Wahya Hadhrat Ahmad (as) katika lugha ya Kiurdu akimwambia kwamba : "Mimi nitafikisha Ujumbe wako katika kila pembe ya dunia" (ujumbe ni mahubiri ya kiisilamu). Leo hii kila mwaka duniani kote wanajiunga watu zaidi ya 600,000, ni jumuiya ya kidini inayokuwa kwa kasi KULIKO madhehebu ya dini zote duniani jambo ambalo linawafanya maadui wa hii jumuiya kuzidi kupata hofu, uadui na kukereheka mioyoni, jambo hili linazidi kututia moyo kwani hakuna nabii aliyefanya kazi ya Mungu kirahisi, historia inaonyesha manabii wote walipata shida kutoka kwa wapinzani na hatimaye walifaulu na wapinzani wakaangamizwa au wakakubali haki.

Jumuiya hii imekusanya watu wa nyanja zote za maisha na watu wa mataifa mbalimbali watu wa rangi zote na jumuiya hii imetapakaa karibu katika kila kona ya dunia, ni jumuiya iliyotafsiri Qur'an tukufu katika lugha zote kuu za dunia ni kazi ambayo haijafanywa na dhehebu lolote wa kiisilamu, majarida na vitabu na magazeti kwa maelfu huchapwa kila mwaka kutangaza ujumbe wa UISILAMU SAFI duniani pote, kazi hii kubwa hupata fedha kutokana na michango ya fedha na kujitolea kwa wanajumuiya wenyewe, wanajuiya tunayoshauku kubwa kujitolea kwa ajili ya kazi ya Mungu, you can't find such spirit from the other muslim sects, they don't have such spirit, to them terrorism, radicalism and associate others with infidelity are their spirits.---- they spit harsh words against other peoples as if they are clean hearted and already have tickets in hand to go to heaven.

Kifupi ni kwamba kazi kubwa ya aina hii inayofanywa na Jumuiya ya Ahmadiyya yenye matokeo chanya na baraka, inayowashangaza watu kamwe haiwezi kuwa imeanzishwa na mtu Muongo kwani Qur'an Unasema wadhalimu hawawezi kufanikiwa na Allah humuangamiza mzushi, humuangamiza mzushi ili asiwadanganye watu kwa uzushi wake na kuwapoteza.

Mkuu, Che mittoga wewe ni miongoni mwa watu wema mliopo duniani, kukiri na kuandika ukweli hadharani juu ya Jumuiya ya Ahmadiyya inahitaji moyo na nguvu kutoka kwa Mungu, na hilo limedhihirisha wema wako, nadhani wewe mwenyewe umeshuhudia jinsi ninavyopingwa kila ninapojitahidi kuwaelewesha hawa ndugu zangu wa kiisilamu basi hali ni mbaya zaidi huko Pakistani ambako Waahmadiyya wanapata madhila ya kutisha kama kuteswa, kuuawa, kufungwa gerezani nk, kutoka kwa hao masheikh na Wafuasi wao, licha ya hali zote hizo Jumuiya inapitia lakini watu wanazidi kujiunga sana. "Sifa zote njema zinamuhusu Mungu anayetuwezesha kututia nguvu kufanya kazi yake kwani bila ya Yeye Jumuiya hii ingeishia kijijini Qadiani na hadi leo ingebakia historia tu kwamba katika mwaka 1894 huko Qadian alitokea mtu mmoja anayeitwa Ahmad (Mirza Ghulam Ahmad) aliyejitangaza kwamba yeye ni Masihi na Iman mahd na nabii Mfuasi wa Mtume (saw), kinyume chake leo Historia inamuandika kwamba ni mtu aliyeanzisha Jumuiya ya kiislamu inayokua kwa kasi kubwa kuliko madhehebu ya DINI zote duniani,

In a shor time to come the whole world will be Ahmadis muslims--- and filled with genuine Muslims from the west to the East and finally to the South.

Mungu akubariki sana mkuu kukiri ukweli wa hali ya Jumuiya ya Waisilamu wa Ahmadiyya ukweli ambao maadui hawapendi kuusikia na kuukubali.
Asante kwa kuniheshimisha, ingawa wakati mwingine humu Jukwaani tuna pishana kauli lakini sisi sote ni vimbe wa Mwenyezi Mungu Mmoja.
Nilichoandika kuhusu ubora wa Waislamu wa Ahamadiya sio cha kubahatisha.
Nina Ndugu zangu wa familia moja ambao ni Waislamu ila ni wa madhehebu ya Shia na pia Suni nimeishi nao sana na kujifunza mengi toka kwao.
Lakini nilipokuwa karibu na Wanajumuiya ya Ahamadiya niliona tofauti kubwa kabisa, nilikuwa nao karibu kwa miaka karibu mitano, tukibadilishana mawazo kuhusu masuala ya Imani na dini.
Nilikuwa naalikwa katika mijadala mbali mbali na midahalo.
Ndio maana naandika kitu ninachokijua kwa undani kabisa bila kutia chumvi.
Kama ndugu yangu Mokaze, ni mwana jumuiya ya Ahammadiya basi nakupa pongezi nyingi, kwakuwa najua utakuwa mtu mwenye maarifa, hekima na busara tele bila shaka, kuhusu Uislamu unavyopasa kuwa.
Asante kwa hoja yako.
 
Kama ndugu yangu @Mokaze, ni mwana jumuiya ya Ahammadiya basi nakupa pongezi nyingi, kwakuwa najua utakuwa mtu mwenye maarifa, hekima na busara tele bila shaka, kuhusu Uislamu unavyopasa kuwa.
Asante kwa hoja yako.


Rafiki yangu Che mittoga mimi hakika ni mwanajumuiya wa Waisilamu wa Ahmadiyya, namshukuru Mungu kunifanya niwe Muahmadiyya na kila siku najitahidi kumuomba Mungu aniongezee hayo maarifa, hekima, busara na juu ya yote anizidishie Taqwa (piety), kwakweli mimi najiona bado sana nikijilinganisha na vigogo wengine waliomo katika hii Jumuiya--- Wapo watu humu katika hii jumuiya wanazo kubuli kubwa sana/karama na uchamungu mkubwa sana na elimu kubwa----- zaidi ya wote ni huyo kiongozi wetu Hadhrat Mirza Masroor Ahmad (atba) aliyeko London, huyu yupo karibu sana na Mungu, yeye kila siku mbali na kukutana na watu wa aina mbalimbali wanaotafuta ushauri, maombi, dua na mafundisho ya kidini lakini pia wapo wanaokwenda kutafuta ushauri wa mambo mbalimbali ya kidunia---- hao ndugu zangu wa madhehebu mengine ya kiislamu hawana bahati ya kuwa na Imam/kiongozi kama huyo ndio maana wao kuchapana bakora misikitini wakigombea tende au nyama ya dhabihu kutoka Makka ni aghalabu na jambo la kawaida, hawana muongozo sio kwa masuala ya kidini tu bali hata masuala ya kidunia.

Mungu awaongoze waitambue hii jumuiya na watambue kuwa hii Jumuiya ndio ukombozi wao kuwafanya wawe WATU-BiNADAMU.
AMIIIN.
 
Si umesema kuwa waarabu wako local na poor sasa hawa wayahudi hawako local na hawako poor ndio wanatandikana mipingo ya matako


Pia wayahudi mnasema wateule wa Mungu na wana akili nyingi na uteule wao ni wa kazi hii



1018316866.jpg
Usiwe na kisirani na Wayahudi kwa kumuua Mohammad, tuwekee basi na picha za Waarab wakilambana kama hawa wenzao.
 
Tatizo linaanzia pale ukigonga demu wa mwenzio unapigwa mawe ya utosi
 
Kwani kuwanyoa mav* ni uchafu au ni usafi Sheikh?

Mbona una jazba sana na Dada zako wa kiarabu?[emoji23][emoji23][emoji23]


Kuwanyoa mbele ya madhabahu ya BWANA ?!!, au kwenu hiyo ni ibada??!!, lakini hao masista zetu hawafugi hizo nywele kama sista zenu wanavyofuga hadi kufikia kwenda kunyolewa Mbele ya madhabahu ya BWANA.

Hiyo ni ishara ya uchafu wa kimwili na roho pia.
 
Hili la Waislam wa Sunni na Shia kugombea nyama ya ngamia mpaka wanapigana inatokea sana.

Tuache hilo, umejibu kihekima sana leo, ila Nina swali kwako na kwa members wengine

Kuna Workmate mwenzetu mmoja amekuja majuzi, tukazoeana kidogo ikaja mada ya kutambuana kidini akasema yeye si Muislam na si Mkristo ni MBAHA'I

Nikampeleleza zaidi na kugundua mambo kadha wa kadha ambayo sikuwa nayafahamu kabla.

Mwanzilishi wa dini hii ni BAHA 'U LLAH aliyekuwa Mpersia

Kitabu kitakatifu kwao ni ''KITAB - i - AQDAS''

Wanaabudu kila baada ya siku 19 ya kupokea mwezi.

Hawafanyi Injili wala kuhubiria watu ili wajoin katika dini yao

Wanakula vyakula vyote

Wanatumia lugha ya kiarabu kufanyia ibada.

Kutoa sadaka si lazima na wala haipo katika taratibu za ibada yao, na wanajali sana vitu viwili tu

1) Familia hasa katika suala la chakula
2) Elimu

Na viongozi wao wa kidini wana influence kubwa sana na hata kuingilia familia ya muumini wao na kujua bajeti ya kila area kwenye familia.

Hawa watu wapo ndani ndani mwa nchi yetu na wanatambuana sana lakini sijui kwanini wanajificha sana, ingawa wanawaelewa sana Waislam.

Nani anawafahamu zaidi hawa Wabahai?

Che mittoga safuher Mokaze
mgen
Bahai wako vizuri kwasabb wenyewe wanatambua kwamba sio waislamu wala wa kuristu na hawatumii usilamu kupotosha watu, kama Wa Qadiani/ Ahmadiyya wanavo fanya kujiita waislamu wakati Imani yao ni tofauti na Waislamu Qadiani wanaamini yafuatayo:

1.Mirza Ghulam Qadian ni sawa sawa naYesu Christo (Essa Messiah)

2. Muhammad (saw) sio mtume wa mwisho bado watume wengi wanakuja katika Dini ya kiislamu

3.Mirza Ghulam Qadiani ndio
Mahdi na Messiah aliekufa mwaka 1908 katika mji wa Lahouri Indian.

4.Ahmadiyya wanaamini Essa (as) Jesusu christ ali ishi miaka 120 na alikufa na kuzikwa Kashimir india na kaburi lake wanajua mahari lilipo.

5.wa Ahmadiyy/Qadianis hawaendi kufanya hijja/ au kujipa kipao mbele kinyume chake wanaeeda Uigereza kwenye Jalsa salana kila mwaka kukutana na kiongozi wao mjukuu wa Mirza Masroor.

6.wa Qadiani hawaamini kwamba Adamu ni binaadamu wa kwanza kama wa Islamu wanavo aamini. nk nk.

7. Qadiani/Ahmadiyya wanahamasisha wafuasi wao kutolipa zakat nguzo ya ya 3 katika dini ya uislamu na mbadala wake wana hamasishwa walipe Chanda mchango wakila mwezi na wslazima kwa kila mwana jumuia wao, ila kusaidia viongozi wao wenye asiri ya ki Hindi na Pakistani kuishi vuzuri Mijini na kulipwa mishahara minono, yaani hu nikama Wizi kuibia wanyonge na msikini

Hizo imani zao zinawafanya kua tofauti na Waislamu wa kawaida pamoja na Uislamu, Qadiani/Ahmadiyya sio Waislamu kabusa ila wanajifucha kwenye uislamu kupotosha waislamu, njooni mkanushe haya hapa kama nyie ni wakweli.
 
Usiwe na kisirani na Wayahudi kwa kumuua Mohammad, tuwekee basi na picha za Waarab wakilambana kama hawa wenzao.
Na kiongozi wa Qadiani/ Ahmadiyya Masroor anae ishi UK ni mshariki mkubwa wa maShoga na inasadikiwa kua nimoja wao, kwahiyo huyu kiongozi wao hawezi kua Muislamu na Qadian sio Waisalamu nchi nyingi Asia zilisha wagundua na kuwafukuza wamekimbilia Africa kwasbb ya umasikini na ukosefu wa elimu ya dini Africa
IMG-20210926-WA0034.jpg
 
HALAFU NINYI MNASHINDWA KUELEWA KUWA SUALA LA AFGHANISTAN NI KILENGWA LA KISIASA ZAIDI KULIKO KIDINI.
WAKIMBIZI MBONA WAPO UAE,OMAN,KUWAIT,QATAR NA IRAN JE UNALIFAHAM HILO??
Wakimbizi hawendi Ulaya ,tu hata nchi za kiarabu,wakimbizi wa nchi mbalimbali,wakimbizi wako Oman,Kuwait,Qatar,UAE(Dubai,Abudhab),Bahrain,kote huko katika nchi za kiarabu wanaishi maisha mazuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko Amerika kuna Amani gani,wakati watu wanauliwa ovyo,Angalia jinsi mtoto kizungu,amemuuwa kijana wa kitanzania,ijumaa,kwa kugongana na gari tu.Na aliyeuwa kaachiwa kwa dhamana.Kijana mdogo wa kitanzania wa miaka 19,msomi wa chuo kikuu,msomi wa IT.Maiti hivi inaletwa Tanzania ,kuzikwa,vyaa viatu vya mama ake ,jinsi alivyo,kwa uchungu .Video ipo,ila inakataa kudownload.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huko Amerika kuna Amani gani,wakati watu wanauliwa ovyo,Angalia jinsi mtoto kizungu,amemuuwa kijana wa kitanzania,ijumaa,kwa kugongana na gari tu.Na aliyeuwa kaachiwa kwa dhamana.Kijana mdogo wa kitanzania wa miaka 19,msomi wa chuo kikuu,msomi wa IT.Maiti hivi inaletwa Tanzania ,kuzikwa,vyaa viatu vya mama ake ,jinsi alivyo,kwa uchungu .Video ipo,ila inakataa kudownload.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo kuuliwa mtanzani moja inaifanya Malikani kutokua nchi ya amani........wakati hapa Tz pia angepigwaa tu lisasi na Police wetu.
 
Hili la Waislam wa Sunni na Shia kugombea nyama ya ngamia mpaka wanapigana inatokea sana.

Tuache hilo, umejibu kihekima sana leo, ila Nina swali kwako na kwa members wengine

Kuna Workmate mwenzetu mmoja amekuja majuzi, tukazoeana kidogo ikaja mada ya kutambuana kidini akasema yeye si Muislam na si Mkristo ni MBAHA'I

Nikampeleleza zaidi na kugundua mambo kadha wa kadha ambayo sikuwa nayafahamu kabla.

Mwanzilishi wa dini hii ni BAHA 'U LLAH aliyekuwa Mpersia

Kitabu kitakatifu kwao ni ''KITAB - i - AQDAS''

Wanaabudu kila baada ya siku 19 ya kupokea mwezi.

Hawafanyi Injili wala kuhubiria watu ili wajoin katika dini yao

Wanakula vyakula vyote

Wanatumia lugha ya kiarabu kufanyia ibada.

Kutoa sadaka si lazima na wala haipo katika taratibu za ibada yao, na wanajali sana vitu viwili tu

1) Familia hasa katika suala la chakula
2) Elimu

Na viongozi wao wa kidini wana influence kubwa sana na hata kuingilia familia ya muumini wao na kujua bajeti ya kila area kwenye familia.

Hawa watu wapo ndani ndani mwa nchi yetu na wanatambuana sana lakini sijui kwanini wanajificha sana, ingawa wanawaelewa sana Waislam.

Nani anawafahamu zaidi hawa Wabahai?

Che mittoga safuher Mokaze
mgen
Duuh mkuu hiyo dhehebu ndio kwanza nilisikie aisee.

Ila kwa maelezo hayo mkuu nahisi kama wamejifunga zaidi kwamba dini yao imebase sana kwenye hayo mambbo mawili wakati maisha yana nyanja nyingi sana.

Itakuwa vizuri zaidi ikiwa watafanya mema katika nyanja zingine pia.
 
Back
Top Bottom