Why Muslims fear Islamic Sharia and run away from their own countries?

Why Muslims fear Islamic Sharia and run away from their own countries?

I stand with USA's decision on this.

Why are Afghanistan Muslims running away from their own countries, the Talliban want full blow Islam sharia law, why all this noisy all about, why are they Afghans afraid of Islam way of life if truly they love Islam

Generally Muslims are not happy in their own Islamic countries but want to convert the countries they found grace in to Islamic countries they ran from.

They’re not happy in Gaza
They're not happy in Egypt
They're not happy in Libya
They're not happy in Morocco
They're not happy in Iran
They're not happy in Iraq
They're not happy in Yemen
They're not happy in Afghanistan
They're not happy in Pakistan
They're not happy in Syria
They're not happy in Lebanon
So, where are they happy?
They're happy in Australia
They're happy in England
They're happy in France
They're happy in Italy
They're happy in Germany
They're happy in Sweden
They're happy in the USA & Canada
They're happy in Norway & India
They're happy in almost every country that is not Islamic!
And who do they blame?
Not Islam...
Not their leadership...
Not themselves...
THEY BLAME THE COUNTRIES THEY ARE HAPPY IN!!
And they want to change the countries they're happy in, to be like the countries they came from where they were unhappy
The Problem sio Dini bali ni baraka walizopewa mfano nchi nyingi za kislam zina mafuta na madini ambayo yana waattract xn wamarekani..CONCLUSION hapo shida ni USA anaziingiliq sana hizi nchi zeny mafuta ambazo nyingi ni za kislam na kusababisha internal conflict
 
Hili la Waislam wa Sunni na Shia kugombea nyama ya ngamia mpaka wanapigana inatokea sana.

Tuache hilo, umejibu kihekima sana leo, ila Nina swali kwako na kwa members wengine

Kuna Workmate mwenzetu mmoja amekuja majuzi, tukazoeana kidogo ikaja mada ya kutambuana kidini akasema yeye si Muislam na si Mkristo ni MBAHA'I

Nikampeleleza zaidi na kugundua mambo kadha wa kadha ambayo sikuwa nayafahamu kabla.

Mwanzilishi wa dini hii ni BAHA 'U LLAH aliyekuwa Mpersia

Kitabu kitakatifu kwao ni ''KITAB - i - AQDAS''

Wanaabudu kila baada ya siku 19 ya kupokea mwezi.

Hawafanyi Injili wala kuhubiria watu ili wajoin katika dini yao

Wanakula vyakula vyote

Wanatumia lugha ya kiarabu kufanyia ibada.

Kutoa sadaka si lazima na wala haipo katika taratibu za ibada yao, na wanajali sana vitu viwili tu

1) Familia hasa katika suala la chakula
2) Elimu

Na viongozi wao wa kidini wana influence kubwa sana na hata kuingilia familia ya muumini wao na kujua bajeti ya kila area kwenye familia.

Hawa watu wapo ndani ndani mwa nchi yetu na wanatambuana sana lakini sijui kwanini wanajificha sana, ingawa wanawaelewa sana Waislam.

Nani anawafahamu zaidi hawa Wabahai?

Che mittoga safuher Mokaze
mgen



Kukusaidia ingia katika; alislam.org website ya Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya humo unaweza ku search kitabu (Ahmadiyya publication) kinachohusu dini ya Bahai na Bab/Bahaullah.

Angalia kwenye screen shot hapa chini;

Screenshot_20211020-093703.png
 
Turudi kwenye Mada.
Kwanini Waislamu wanaziogopa Sharia za Dini yao na kupelekea wengine kukimbilia nchi za Wakristo ?
Na wakifika huko wanaanza kuuhubiri Uislamu walioukimbia tena ?
Maana kuzikata Sharia ni kuukaaa Uislamu unaotaka waumini waishi kwazo.
Kwako Shehe Mokaze, na waislamu wengine.
 
Kukusaidia ingia katika; alislam.org website ya Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya humo unaweza ku search kitabu (Ahmadiyya publication) kinachohusu dini ya Bahai na Bab/Bahaullah.

Angalia kwenye screen shot hapa chini;

View attachment 1980539
Ndi jinsi mnavo potosha watu kwanini umpe website ya ma Qadiani ya propaganda, we soma jambo ulielewe ndo ulilete hapa kulitetea ma Qadiani mna mbinu nyingi za kupoteza watu.
 
Ndi jinsi mnavo potosha watu kwanini umpe website ya ma Qadiani ya propaganda, we soma jambo ulielewe ndo ulilete hapa kulitetea ma Qadiani mna mbinu nyingi za kupoteza watu.


Chochote nitakacholeta hapa nitakuwa nimekisoma kutoka katika hicho kitabu ndio maana kurahisisha nimem refer kwenye alislam.org ili aka download hicho kitabu ambacho kipo katika pdf, kama ningeandika chochote kuhusu dini ya Bahai na Bab/Bahaullah basi ningeandika kwa ufupi sana tofauti na mtu akisoma kipitia kitabu hicho.

Narudia tena kukurekebisha sisi tunajiita na kujulikana rasmi kama Jumuiya ya Waislamu Wa Ahmadiyya au Waahmadiyya na sio Maqadian, Qadian ni mji (zama hizo kijiji) ambako alizaliwa mwanzilishi mtukufu wa Jumuiya yetu ya Ahmadiyya Hadhrat Ahmad (as)---- sisi sio Maqadian bali ni Waahmadiyya, nadhani utakuwa umenielewa na hutarudia kosa hilo.
 
Chochote nitakacholeta hapa nitakuwa nimekisoma kutoka katika hicho kitabu ndio maana kurahisisha nimem refer kwenye alislam.org ili aka download hicho kitabu ambacho kipo katika pdf, kama ningeandika chochote kuhusu dini ya Bahai na Bab/Bahaullah basi ningeandika kwa ufupi sana tofauti na mtu akisoma kipitia kitabu hicho.

Narudia tena kukurekebisha sisi tunajiita na kujulikana rasmi kama Jumuiya ya Waislamu Wa Ahmadiyya au Waahmadiyya na sio Maqadian, Qadian ni mji (zama hizo kijiji) ambako alizaliwa mwanzilishi mtukufu wa Jumuiya yetu ya Ahmadiyya Hadhrat Ahmad (as)---- sisi sio Maqadian bali ni Waahmadiyya, nadhani utakuwa umenielewa na hutarudia kosa hilo.
Wewe kama sio Qadiani halisi, nayosema hayakuhusu haya ni ya Wa Qadiani achana nayo.....mbona unataka kinipangia ya kuandika, wewe kama sio miongoni mwa Dini ya Qadiani wanao mfuata Mirza ghulam Qadiani mzaliwa wa India punjabi katika mji wa Qadiani husicomment maQadiani halisi watajitokeza na kutetea uongo wao.
 
Chochote nitakacholeta hapa nitakuwa nimekisoma kutoka katika hicho kitabu ndio maana kurahisisha nimem refer kwenye alislam.org ili aka download hicho kitabu ambacho kipo katika pdf, kama ningeandika chochote kuhusu dini ya Bahai na Bab/Bahaullah basi ningeandika kwa ufupi sana tofauti na mtu akisoma kipitia kitabu hicho.

Narudia tena kukurekebisha sisi tunajiita na kujulikana rasmi kama Jumuiya ya Waislamu Wa Ahmadiyya au Waahmadiyya na sio Maqadian, Qadian ni mji (zama hizo kijiji) ambako alizaliwa mwanzilishi mtukufu wa Jumuiya yetu ya Ahmadiyya Hadhrat Ahmad (as)---- sisi sio Maqadian bali ni Waahmadiyya, nadhani utakuwa umenielewa na hutarudia kosa hilo.
Mkuu huyu ahmad si anamfuata mtume muhammad katika kuhuisha uislamu sahihi ama ?
 
Wewe kama sio Qadiani halisi, nayosema hayakuhusu haya ni ya Wa Qadiani achana nayo.....mbona unataka kinipangia ya kuandika, wewe kama sio miongoni mwa Dini ya Qadiani wanao mfuata Mirza ghulam Qadiani mzaliwa wa India punjabi katika mji wa Qadiani husicomment maQadiani halisi watajitokeza na kutetea uongo wao.


Mara kadhaa umekuwa unaandika Maqadian/Waahmadiyya na unamtaja Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad (as) Mwanzilishi wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya mzaliwa wa Mji wa Qadian katika mwaka 1935----1908 huko Punjab India, sasa kama ndiye huyo, yeye hajaanzisha kitu kinachoitwa Qadian, yeye kaanzisha jumuiya ya waislamu ya Ahmadiyya, sisi waislamu tunaomfuata tunaitwa Waahmadiyya, kama unao ushahidi kwamba huyo Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad (as) kutoka Qadian alianzisha kitu kinachoitwa Uqadian lete ushahidi hapa, la sivyo ni muendelezo wa tabia ya uchafu wa vinywa vyenu, kumbuka Allah anesema ndani ya Qur'an kwamba: Wala msiitane kwa "nicknames" nicknames baada ya imani ni vibaya" (Qur'an ).
 
Waislam walimfuata Mtume wao Mwamedi kama Mwasisi wa ubakaji wa mtoto wa miaka 9 aitwaye Aysha

Kama haitoshi wakatuletea yale wanayoita mambo ya pwani ya kuwabaka na kuwaingilia wake zao nyuma ili kulinda bikra ya tupu ya mbele


Ninayo mengi mabaya ya kuandika dhidi yenu, lakini hapa nadhani sio mahala pake na nataka watu wanipambanue mimi na wewe tu watu wa aina tofauti, basi nadiriki kutokukujibu kuokoa muda na nafasi ingawa ninayo mengi ya kukujibu.

Huo ndio uungwana.
 
Mkuu huyu ahmad si anamfuata mtume muhammad katika kuhuisha uislamu sahihi ama ?


Mkuu Safuher, Naam huyo ni mujadid (Muhuishaji) wa Uislamu aliyetokea katika karne ya 14, ya kiislamu anayo lakabu ya Nabii, yeye ni nabii mfuasi wa mtukufu mtume wetu Muhammad (saw), ni nabii anayefuata Qur'an, kaja kufundisha Qur'an na Uislamu kwa ujumla, kaanzisha Jumuiya ya Ahmadiyya-Uisilamu wa kweli kwa Amri ya Mungu, Uisilamu wa kweli ni ule uliofundishwa na Mtukufu mtume Muhammad (saw).
 
Mara kadhaa umekuwa unaandika Maqadian/Waahmadiyya na unamtaja Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad (as) Mwanzilishi wa Jumuiya ya Waislamu wa Ahmadiyya mzaliwa wa Mji wa Qadian katika mwaka 1935----1908 huko Punjab India, sasa kama ndiye huyo, yeye hajaanzisha kitu kinachoitwa Qadian, yeye kaanzisha jumuiya ya waislamu ya Ahmadiyya, sisi waislamu tunaomfuata tunaitwa Waahmadiyya, kama unao ushahidi kwamba huyo Hadhrat Mirza Ghulam Ahmad (as) kutoka Qadian alianzisha kitu kinachoitwa Uqadian lete ushahidi hapa, la sivyo ni muendelezo wa tabia ya uchafu wa vinywa vyenu, kumbuka Allah anesema ndani ya Qur'an kwamba: Wala msiitane kwa "nicknames" nicknames baada ya imani ni vibaya" (Qur'an ).
Nimesema wewe kama sio Qadiani haya hayakuhusu pita tu, Dini ya Ahmadiyya wanao jidai kua Waisilam wakati sio wamegawanyika zaidi ya vikundi 12. Moja ya hayo makundi Ni Qadiani/Ahmadiyya, ndo nao taka kujadili nao sio Lahori Ahmadiyya au Green Ahmadiyya........hili kundi la Qadiani kiongozi wao ni shoga ana ishi UK,
IMG-20210926-WA0034.jpg
 
Nimesema wewe kama sio Qadiani haya hayakuhusu pita tu, Dini ya Ahmadiyya wanao jidai kua Waisilam wakati sio wamegawanyika zaidi ya vikundi 12. Moja ya hayo makundi Ni Qadiani/Ahmadiyya, ndo nao taka kujadili nao sio Lahori Ahmadiyya au Green Ahmadiyya........hili kundi la Qadiani kiongozi wao ni shoga ana ishi UK,View attachment 1981013



لعنة الله اليك

Naacha shauri hili kwa Allah.
 
لعنة الله اليك

Naacha shauri hili kwa Allah.
Acha upuuzi wewe unae potosha Umma ya Uislamu unamjua Allah? ndo maana mnafuata kiongozi shoga, mnarubuni ndg zetu Wa africa kuingia kwenye kikundi batili, cha ma Qadiani, kwa kuwapa vizawadi, na kuwalagai, ili kuwa pora pesa zao eti michango ya Chanda kwa kila mwezi, huo ni Wizi kabisa nyie mabepari wa kubwa, mnatumikishwa na Mashekh fake kutoka indo-Pak
 
Mkuu Safuher, Naam huyo ni mujadid (Muhuishaji) wa Uislamu aliyetokea katika karne ya 14, ya kiislamu anayo lakabu ya Nabii, yeye ni nabii mfuasi wa mtukufu mtume wetu Muhammad (saw), ni nabii anayefuata Qur'an, kaja kufundisha Qur'an na Uislamu kwa ujumla, kaanzisha Jumuiya ya Ahmadiyya-Uisilamu wa kweli kwa Amri ya Mungu, Uisilamu wa kweli ni ule uliofundishwa na Mtukufu mtume Muhammad (saw).
Imesomeka mkuu.

Vipi huyu mtume anapokea vipi wahyi ilhali haji na kitu kipya katika uislamu ?
 
Acha upuuzi wewe unae potosha Umma ya Uislamu unamjua Allah? ndo maana mnafuata kiongozi shoga, mnarubuni ndg zetu Wa africa kuingia kwenye kikundi batili, cha ma Qadiani, kwa kuwapa vizawadi, na kuwalagai, ili kuwa pora pesa zao eti michango ya Chanda kwa kila mwezi, huo ni Wizi kabisa nyie mabepari wa kubwa, mnatumikishwa na Mashekh fake kutoka indo-Pak


Nasema hivi, mimi siwezi kujadiliana na mtu anaye chukua nukuu za PHOTOSHOPS kutoka kwa wapinzani wa Ahmadiyya, hiyo Picha ilikuwa ni wapi na huyo ni mtu gani walikutana lini??

Pili ni tabia ya Wapinzani kutoa matusi ya fedheha kwa watu wa Mungu na hata manabii wote walifanyiwa Istihizai za aina hiyo hata wengine walipigwa na kuuawa hivyo mimi sishangai kwa wewe jahili kufanya huo Ujahili ila tu nakuonya kwamba Allah yupo na anakuona.

Qur'an inasema;-

و كم ارسلنا من نبي فى الاولين و ما ياليهم من نبى الا كانوا به يستهزءن

(43:6-7) yaani: Na tuliwapeleka manabii wangapi kwa watu wa zamani?? Na hawakuwafikia nabii yeyote ila walikuwa wakimfanyia MZAHA.

WEWE ENDELEA KUFANYA MZAHA, KEJELI, MATUSI, KASHFA nk, Allah anakuona.
 
Nasema hivi, mimi siwezi kujadiliana na mtu anaye chukua nukuu za PHOTOSHOPS kutoka kwa wapinzani wa Ahmadiyya, hiyo Picha ilikuwa ni wapi na huyo ni mtu gani walikutana lini??

Pili ni tabia ya Wapinzani kutoa matusi ya fedheha kwa watu wa Mungu na hata manabii wote walifanyiwa Istihizai za aina hiyo hata wengine walipigwa na kuuawa hivyo mimi sishangai kwa wewe jahili kufanya huo Ujahili ila tu nakuonya kwamba Allah yupo na anakuona.

Qur'an inasema;-

و كم ارسلنا من نبي فى الاولين و ما ياليهم من نبى الا كانوا به يستهزءن

(43:6-7) yaani: Na tuliwapeleka manabii wangapi kwa watu wa zamani?? Na hawakuwafikia nabii yeyote ila walikuwa wakimfanyia MZAHA.

WEWE ENDELEA KUFANYA MZAHA, KEJELI, MATUSI, KASHFA nk, Allah anakuona.
Acha kutetea kitu ambacho hukujui photoshop iko wapi hata huna elimu ya ICT photo shop inafanana hivo?...........nyie mnapotoshwa hamjui malengo ya hiyo dini ya ma Qadiani wewe unajua kwanini Masroor huyu kiongozi wa Qadiani alikimbia makwao pakistan na kukimbilia Uingereza? utatoka je kwenye nchi ya uislamu ukimbilia nchi ya ki kuristu wakati, kwa visingizio vya kitoto..........
 
Back
Top Bottom