Why President Magufuli should be a One term President-Untainted Legacy

Why President Magufuli should be a One term President-Untainted Legacy

Ni bora uandike Kiswahili tu! English ni ugonjwa wa Taifa hili! "I know drug deals" badala ya "I know drug dealers" !
"God won't here them" badala ya " God won't hear them"!
Awamu hii ya "Kisukuma" shida kweli! English hatujui na Kiswahili pia ni tabu kwetu!
Rais tunamwita "Laisi" ,Miradi utasikia " miladi" jamani sisi "Wasukuma" tutavumiliwa hadi lini?!
"Adhabu" utasikia Makonda akitamka 'azabu', "Dhambi"- zambi; n.k. Ni shida.
 
Hivi serikali inapotekeleza sera zinazoua uchumi au kuangusha makampuni binafsi yaliyoajiri watu wengi, unategemea wale watu waende wapi? Si ndio kuwamasikinisha hivyo? Ndio maana huwezi kuiondoa serikali katika kuzalisha matajiri au masikini. Ruksa kubisha lakini mimi nimeandika kulingana na ufahamu wangu japo mdogo wa uchumi.

naomba unitajie sera iliotungwa na serikali ambayo imeangusha makampuni: kodi ni lazima sio sera, sema sasa kingine na ujiulize makampuni mengine hayafuati hizo sheria? na faida wanapata vp kama wote wanafuata hizo sera
 
#3 Dalili zote zipo wazi ataongezewa muda. Bunge letu lipo tayari kwa hatua yeyoye kwa kigezo maendeleo. Rejea hotuba viongozi na mkuu, sina Hakika Nyerere alipokea kila ndege kwa kujimwambafy hivi.

Sent using Jamii Forums mobile app

kila awamu ina changes zake kulingana na dunia inaendaje kwa huo mda: kipindi Nyerere alikua madarakani angepewa heshima kubwa kwenye vitu kama elimu, miundo mbinu na issue za kilimo: of which alifanya, ukiweka mbali mapungufu madogo madogo aliokua nayo ila aliweza kutekeleza mambo mengi kwa ajili ya nchi yake:

dunia saaahv tunaongelea mambo mengine, ingawa wapo watu wanamkosoa sana magu kwa maamuzi yake magumu lakini kwa kipindi hiki ilibidi tu tue na raisi mwenye maamuzi magumu ili tusogee mbele: wapo wanaomkatisha tamaa mweshimwa lakini ni kati ya viongozi wenye uthubutu sana ukiachana na baba wa taifa, izo kelele zote mnapiga ni wazi kabisa zinaonyesha ni jinsi gan mpo behind kwa jinsi dunia inaenda:

Moja ya vitu vilivokwamisha muungano wa nchi za Afrika mashariki na afrika kwa ujumla ni utafauti wa maendeleo katika nchi mbalimbali, ukiangalia nchi kama kenya mipaka yao ipo wazi kabisa ni wazi wapo tayar kwa umoja na ukiongelea nchi kubwa Afrika kenya ipo, pamoja na mapungufu ya uongozi yaliopo ila bado ni watu wenye uthubutu katika sector mbalimbali za biashara, sasa mtu leo analilia demokrasia utadhan haikuepo kabla na ilisaidia nn?

Mipaka imebaki closed mpaka pale watu watakapokua mature kujua dunia inaendaje, swala la kujimwambafy wacha waseme yote lakini magufuli ni wakuunga mkono
 
naomba unitajie sera iliotungwa na serikali ambayo imeangusha makampuni: kodi ni lazima sio sera, sema sasa kingine na ujiulize makampuni mengine hayafuati hizo sheria? na faida wanapata vp kama wote wanafuata hizo sera
Nimekosoa hoja yako ya kwanza kuwa serikali haihusiki katika kuleta ufukara. Kwa raia. Hiyo point yako haina ukweli. Kuhusu kodi hakuna sehemu niliposema kuwa kodi isilipwe. Hiyo hoja yako wewe. Diallo anadaiwa makodi kibao. Serikali yako ingekuwa inaendelea na sera yake ya kufungia makampuni yanayodaiwa kodi ingekuwa angekuwa kashafunga biashara. Naomba nikuulize wale waliokuwa wameajiriwa kwenye bureau de change sasa hivi serikali yako imewapa ajira gani?
 
stakehigh,
So unataka kutuambia kati ya waTanzania wote Magufuli ndio yuko mature kuliko wote na yeye ndio anajua dunia inaendaje!? If so, then you are absolutely stupid.
 
ubongokid,
I will never forget 25/10/2015, the date when the nation loosed each and everything, be it freedom of expression, respect, dignity and of course human kind. Unfortunately, the nation voted for low pay, high salary deductions, unemployment, humiliation, bullets, silence, etc. Poor Tanzania! Ooh! Lord help us from this vampire!
 
Nimekosoa hoja yako ya kwanza kuwa serikali haihusiki katika kuleta ufukara. Kwa raia. Hiyo point yako haina ukweli. Kuhusu kodi hakuna sehemu niliposema kuwa kodi isilipwe. Hiyo hoja yako wewe. Diallo anadaiwa makodi kibao. Serikali yako ingekuwa inaendelea na sera yake ya kufungia makampuni yanayodaiwa kodi ingekuwa angekuwa kashafunga biashara. Naomba nikuulize wale waliokuwa wameajiriwa kwenye bureau de change sasa hivi serikali yako imewapa ajira gani?


sasa cha kushangaza ni nini apo? aendelee na biashara na anadaiwa kodi kisa ameajiri watu? are you ok upstairs? and yes you cant blame anyone ukiwa maskini kwa sababu sheria zpo open kwa kila mtu na watu wanafanya biashara kupitia hizo hizo sheria na wanafanikiwa:


swala la bureau de change sijui na sina jibu kwanini walifanya vile lakini bado zipo nyingi tu, kwa hilo serikali ndo itakua na majibu mazuri zaidi i cant comment on that
 
So unataka kutuambia kati ya waTanzania wote Magufuli ndio yuko mature kuliko wote na yeye ndio anajua dunia inaendaje!? If so, then you are absolutely stupid.

acha kutumia emotions: na punguza siasa uchwara kama hujui nlichomaanisha,
 
I will never forget 25/10/2015, the date when the nation loosed each and everything, be it freedom of expression, respect, dignity and of course human kind. Unfortunately, the nation voted for low pay, high salary deductions, unemployment, humiliation, bullets, silence, etc. Poor Tanzania! Ooh! Lord help us from this vampire!

wait again for 25/10/2020, uje uandike vizuri you wont forget again: poor you!
 
sina uhakika una umri gan lakini, pole sana kwa kupoteza mda kuandika such a useless thread: hii inaonyesha ni jinsi gan you are such a life looser,

1. kua tajiri ama maskini sio swala la serikali, huezi kulalamikia serikali umekua maskini wakati mwenzako anakua tajiri huo ni upuuzi

2. ajira unazosema ziongezwe zitoke wap? kama sio long term investment ajira znatoka wap:

3. i can almost give 60% prediction katiba tutaibadilisha na huo mwaka mmoja unaousema utakua miaka 20: pole sana
Hivi ukisoma hiki ulichokiandika unajiweka kwenye kundi gani kati ya haya?
1. Mbumbumbu
2. Vilaza
3. Lumumba group of bandits
 
wait again for 25/10/2020, uje uandike vizuri you wont forget again: poor you!
What should I do then? If the vampire would allow free and fair election I would vote him NOT. But because he has decided to prison us from freedom then I have nothing to do more than being led by a vampire whom I never voted for.
 
sasa cha kushangaza ni nini apo? aendelee na biashara na anadaiwa kodi kisa ameajiri watu? are you ok upstairs? and yes you cant blame anyone ukiwa maskini kwa sababu sheria zpo open kwa kila mtu na watu wanafanya biashara kupitia hizo hizo sheria na wanafanikiwa:


swala la bureau de change sijui na sina jibu kwanini walifanya vile lakini bado zipo nyingi tu, kwa hilo serikali ndo itakua na majibu mazuri zaidi i cant comment on that
Kama huna hoja juu ya hilo then hoja yako ya kuwa serikali haina mkono katika kumasikinisha raia ni nonsense. Kwamba hujui kwa nini walifanya vile nadhani ungemuuliza huyo mnayemuona anajua kila kitu akueleze.
Kukurupuka kubaya kwani watu kudaiwa kodi hawawezi kupewa muda wa kulipa kidogokidogo na kupunguza madeni!? Mkiwafungia biashara zao hao madeni hwatayalipa vipi? Shida ni kujifanya kujua kila kitu.
 
Kama huna hoja juu ya hilo then hoja yako ya kuwa serikali haina mkono katika kumasikinisha raia ni nonsense..
Kukurupuka kubaya kwani watu kudaiwa kodi hawawezi kupewa muda wa kulipa kidogokidogo na kupunguza madeni!? Mkiwafungia biashara zao hao madeni hwatayalipa vipi? Shida ni kujifanya kujua kila kitu.

nimesema sina comment kwa sababu sijui kwanini walichukua huo uamuzi, it might be genuine pia: dont conclude mambo hujui, possibilities ni nyingi na reasons ni nyingi: kama na wewe hujui shut it up!

ingekua ni hivo unavotaka kila mtu angekwepa ili apewa mda wa kulipa, are you ok upstairs? sheria hainaga tafadhali, ndo maaana zimeekwa: haiwezekan kila mtu afanye anavotaka:
 
Try to identify British English ang American English ndio matatizo ya kuishia la pili

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app

Try to identify British English ang American English ndio matatizo ya kuish
aliyekusahihisha hajakosea yaani hicho ulichoandika siyo British wala American english! ...yaani hujui kiingereza sema we hujui kama hujui!!...mpaka unatia huruma!
 
acha kutumia emotions: na punguza siasa uchwara kama hujui nlichomaanisha,
Siasa uchwara anafanya huyo mnayemtukuza. Siasa za kujifanya unakubalika wakati uchaguzi wa serikali za mitaa tu unafungia wapinzani wako. Huo ni upuuzi uliopitiliza.!
 
nimesema sina comment kwa sababu sijui kwanini walichukua huo uamuzi, it might be genuine pia: dont conclude mambo hujui, possibilities ni nyingi na reasons ni nyingi: kama na wewe hujui shut it up!

ingekua ni hivo unavotaka kila mtu angekwepa ili apewa mda wa kulipa, are you ok upstairs? sheria hainaga tafadhali, ndo maaana zimeekwa: haiwezekan kila mtu afanye anavotaka:
It might be this or that huo ni ujinga. Tell that to the fools. Ila huyo mnayemtukuza yeye ndiye yuko above the law?
 
Constitution Abrogation will bring more confusion,we should choose our leaders through fair and true election instead of using political intrigues
 
Back
Top Bottom