Why President Magufuli should be a One term President-Untainted Legacy

Ukitaka kutafuta sababu Magufuli awe a one term president, kwa maneno yake mwenyewe, ni kwa sababu mwenyewe kasema amechoka, hakutaka hii kazi, anatamani kuwa IGP.

Hayo maneno tu ni sababu tosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2020 Election results

The winner is H E JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI.

It is CCM again with 99.9% majority votes.
 
....lost, not loosed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Your brain always acts like a child ,you have no right to speak gibberish and non sense.wewe huwez hata jiongeza kuwa hiyo ni typing error unakimbilia kukosoa tu na kutukana makabila ya watu watu pasipo kufikiria ,usijikute unazijua Sana hizi Lugha bro wakati umeanza kuziongea ulipofika town .my advice to you bro ,Please you should stop talking foolishness in front of majority
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Government is responsible to create a conducive environment to his people for example the increase of Salaries to the civil servants it may lead to the increases of money circulation within the Economy ,hivyo serikali ina mchango mkubwa Sana kuwawezesha wananchi wake waishi Katika mazingira yaliyo rafiki ,Something to Note "Sina maana ya kuwa everythings serikali ndo inapaswa kufanya ili kukwamua maisha ya watu " Your efforts and your determination may put you in a good condition
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupandisha watu mshahara sio ratiba on a professional ethic MTU anatakiwa kupandishwa mshahara kutokana na value aliongeza , sio kila mwaka uongeze tu , that's the big reason hela yetu haina thaman, unabonyeza tu bila reason angalia saahv shilingi zipo WAP? 50,100,200,500 yaaani zpo tu ilimradi
 
The election in 2020 will not be about airplanes and roads and SGR and such,it will be a vote for a pay rise,a vote for a better job,a vote for better education,a vote for freedom of expression,a vote for justice,a vote for change.

a vote to which ballot box? did you witness the previous local govt’s election conducts?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Dah...kwa kumsahihisha tu ni wazi umemuelewa kwa 100%...na hili ndiyo lengo la muandikaji [emoji2960]

Sent using Beretta ARX 160
 
Spelling mistakes never hurt
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ubongokid una akili sana. Uliyoyaona 2019, YAMETIMIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…