Why Samia Suluhu should intervene fuel storage tender to Dalbit for the interest of the country

Issue ni kwamba highest bidder wa tender ndo amepewa kandarasi. Na TAZAMA haijaeleza kwanini. Kawaida hua lowest bidder ndo anapata tender.

Yaa kama ni hivyo, TAZAMA inabidi watoe justification.
 
Huu mtindo wa ku hike bei ni ujinga wa kutoka Kenya,mama asipoingilia hii hatutaelewana.

Ushahidi upo kwa nini huyu awe awarded? Maofisa wa Tzn na Zambia wamepokea mlungula, serikali vunja hii tender piga chini waliohusika afu Dalbit atabaki kumalizana na aliowapa mlungula
 
Ni kweli ila Waziri wa nishati akikubali kutoa pesa za walipakodi kwa mradi wa kipuuzi kama huu ajiandae kuachia ofisi.

Kwanza ana kashfa ya upigaji kweli kuweka pigment kwenye mafuta yeye na mwendazake sasa naona anataka kuhamia huku,ni hivi tumeinyaka hii,atafuta njia ya waliotangulia.
 
Cowbell ni zuzu toka usichana wake ,ni mbobezi kwenye mambo ya chumbani tu ,haha wakina wema sepetu awawezaninaye
 
He, mama atayaeza haya kweli, manake Hawa jamaa ni kama wanamjaribu waone. Sasa itabidi awatendee iwe funzo kwa wengine.
 
Hivi bado unaongea kwa kishindo unadhani huu bado ni ule muhula wa Magufuli? Ukali wako pelekea mke wako, huu ni muhula wa mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…