Why should I confess?

Nilichojifunza kuhusu jf baada ya hii str watu wenye changamoto za kweli humu huwq hawapati msaada unaostahili maana kwa str hii ya huyu dada na str aliyoleta nafikir ni mwanzoni mwa january kuhusu utapeli unaweza ukajiuliza mara 2 hawa dada zake walikuwa wp mpka akakimbilia huku
Jigine jf id za kike zinawashughulisha sna watu na kimtindo nimemuona mmoja dizaini kama anajutia hv msaada aliotoa
 
Story kama hii yako haiwezi kuwa na mwisho mzuri.
Mwisho wa hii story lazima iishie katika moja ya haya majengo ya serikali.
1. Jela
2. Hospital.

Get out while you still can. Don’t walk…🏃‍♀️run
Alichoshindwa huyu ni kuweka tu wazi matukio yake na hao wadada kwasababu ametumia id yake ya siku zote na ni ukweli ulio wazi id yake humu ni moja ya id za wadada wanaoheshimika hta km hatufahamiani lkn michango yetu inaakisi hivyo pmj na kwamba wengi ni waigizaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…