Why should I confess?

Why should I confess?

😅😅 Dah sipati picha hiyo depression yake, kuna mmoja alinihadithia yeye ilikuwa hivi alinambia "usiwaone kina jack wanatamba na maduka sinza afu kila siku wapo Dubai sijui china kufata mzigo hamna lolote mie nilijichanganya nao si wakaniambia nitadanga hapa bongo mpaka nipate ukimwi na sio mtaji wa maana nifanye vitu vya maana kama wao wenyewe siku hizi wanadangia Dubai kama vipi siku moja niende nao uzuri passport nilikuwa nayo, wakanambia kabla kwenda huko lazima nipime kabisa magonjwa yote ili wawatumie watu wao huko Dubai kuthibitisha sina ugonjwa wowote basi nikafanya hivyo wakanambia kuna mambo ya ajabu huko cha muhimu uwe na kifua tuu, mie nikajua labda cha ajabu kuliwa tigo maana kama tunavyosikia waarabu wanapenda tigo kumbe mambo si kama nilivyodhani, picha linaanza tumefika Dubai kwenye hotel nzuri tuu bata la maana wakasema tunakaa hapa mpaka ijumaa tunaenda kwenye yatch party kwa siku tatu na shopping tutafanya tukitoka huko sasa tukiwa hotel hapo nikaambiwa lete account yako ya Bank uweke pesa nusu kabisa nyingine utamaliziwa tukitoka huko kwenye party basi sikuamini macho yangu kwenye account nikawekewa mill 30 nilifurahi sana nikaambia kina jack najuta sijui kwanini hamkunipa hii connection toka kitambo tukafurahi pale basi ijumaa ikawadia tukaenda kupanda hiyo boat tunakutana na waarabu watatu tena vijana wadogo kweli tukaanza kunywa pale cheza mziki wee wa kuvuta bangi wakavuta wa unga wakavuta mie nikagoma baadae muhudumu wa boat anatumbia kila mtu aingie room yake akae asubiri kuingia ile room nakuta imetandikwa makaratasi ya nailoni kila kona mpaka kitandani basi akaja mwarabu pale tukafanya kama dakika tano tuu akawa kamaliza zile shawaha akanimwagia mwilini nikata kufuta akasema kwa ukali sifute basi akatoka nje then akarudi akaanza kunikojolea mkojo huu wa kawaida acha niwe mkali basi yule muhudumu akaja kuniuliza kwani we mgeni wa hizi party basi vumilia bila hivyo hupati pesa yako yote, sijakaa sawa yule mwarabu karudi room kanambia lalia mgongo nikajua anataka kufanya tena naona mtu anachuchuma kwenye kifua changu anaanza kunya aisee nilimpush huko nikaanza kutapika kwa kasi ya ajabu basi nilitupiwa mitusi pale na kipigo nikaambiwa na hela iliyobaki sipewi, kina Jack sasa wakanambia wewe si ulikataaa kuvuta ata bangi unafiriki hela zinapatikana kirahisi rahisi eeh" 😂 kama kuna typo utanisamehe 😅
Oyaah mbona mambo ya ajabu haya mmh
 
Mm ushauri wangu Hauwezi kuwa Mbali na wengine kaa Mbali na hao marafiki ,sijui Msaada n.k hilo ni Pepo linakuvuta ukae mao karibu ,Mbona Watu wanahama vituko vya kazi wanapata mazingira mapya na wanakuwa vzr ....Wahenga walisema"Usipoziba ufa ,utajenga ukuta"...Hapo ulipofikia ni kama njia panda kuna nafsi inakusukuma utoke afu kuna nafsi yako inayolilia material things ambayo ni vitu vya kupitia...

Tambua Mafanikio hayapimwi kwa vitu vikubwa hata vidogo vidogo mfano Watu wanaokuzunguka,mambo unayoyafanya ukute yanakupishanisha na Watu wazuri sahivi unaweza usione soo,ila baadae Sana utaona kuwa ulikuwa wafanya upuuzi
 
Pole mkuu, bt ni rahisi kuwaepuka hasa ukidhamiria, jifanye mzazi then andika txt ya kuwaonya kuwa karibu nawe, kua umeshajua wanataka kumharibu mwanao.
 
Tuendeleee

BAsi buana mdogo wenu nikaanza napendwa pekeyangu,. Mie ni mtu ambaye sio mtokaji kabisa yaani sijawahi kuhudhuria hata mtu wangu wa karibu awe anafanya birthday Party sijui nini mie sijawahi kuhudhuria huwa naagizaga tu zawadi,. Au labda niwe naenda na mama labda kuwe na harudi kitchen party na shughuli kama hizo mama akiniomba nimpeleke ndio huwa tunaenda wote,.
Lakini hawa wadada walinifanya nianze kwenda kwenye party za watu usiku, Yaani utakuta nimekaa tu sina hili wala lile napigiwa simu "Lee kuna namba nimekutumia hapo ya fundi uende akupime gauni Utalivaa Jumamosi kuna party mie nitakuletea kadi na viatu".. Kwa Approach kama hiyo jamani ningeweza kuchomoa kweli? Baasi nikawa naenda na nikifika kule kila mtu atatamani akae na mimi yaani nakeiwa kwelikweli hadi chooni nikitaka kwenda napelekwa😄😄,.


Hawakuishia hapo,. Kuna siku alinipigia simu mmoja akasema nimepita ofisini kwenu nimeambiwa haupo uko wapi nikamwambia sijafika leo niko kwenye graduation ya mdogo wangu,. Akaniuliza tu wa kike au wa kiume nikamwambia wakike akasema nimwelekeze aje na zawadi basi akaja yeye na wenzie tunasherekea pale mda wa kutoka mie nikaondoka na kina mama na wao wakaondoka zao,.

Kuna siku nlikuwaga niko na stress zangu tu wateja walinivuruga sijui akili yangu iliwaza nini nikasema nimpigie huyu mdada tumwite "Tina " nikawa nimeongea nae tu akanotice kama siko sawa akaniambia nakuja kukuchukua,. Hii ndio siku ambayo nilikunywa pombe mwenzenu na nilikuja kustuka asubuhi,. Mama yangu alipiga simu missed calls sijui zaidi ya ngapi hata sikumbuki, dada na baba ndio kabisa maneno ambayo sikuwahi waza kama nitaambiwa na baba yangu basi siku hiyo niliambiwa kwenye meseji... Lakini cha ajabu huyu Tina wala hata hakustuka aliniambia tu Jiandae twende peramiho Hospitali,. Nikafika kule nikakata kadi nikapimwa malaria, na vihoma vingine vingine nikapewa na dawa halafu ndio akaniambia niwapigie simu nyumbani waje Hospitali halafu sisi tuanze kutoka tukutane njiani, Kwa jinsi nlivyokua nimechoka na ile midawa nliyokuwa nayo moto wote ulizimika waliamini tu labda nilizidiwa njiani nikasaidiwa😥😓😂

Story zisiwe nyingi jamani maana scenarios ni zilezile .......
Ila tu Kiukweli ni watu ambao wamekuwa wamenizoea sana naweza kusema wamenizoea kupitiliza na ndio cycle yangu ya sasa,. Na ninaweza kusema wameniharibu mnoo yaani mimi najiona kabisa sio yule Lee ambaye kila mtu anamjua japo najitahidi sana kuficha nyumbani wasigundue chochote,.

Nashindwa namna ya kuwaepuka jamani maana saizi ndio kabisa wananichukulia kama mwenzao tu,. Yaani wananiona mdogo wao kwenye kazi zao Japo sijawahi kufanya nao chochote kibaya zaidi ya Pombe.. Vishawishi vyao vyote niliweza, nimeweza na ninaweza kuvipangua ( Japo hii huwa naamini ni nguvu ya maombi ya mama yangu) .. Maana mda mwingine mmmh


Kwa namna ambavyo naishi nao saizi ni ngumu sana gafla kusema nipotezane nao,. Nimejaribu mbinu zote hadi kubadili namba za simu lakini ilisaidia nini unadhani?,. Watu wanakujua nyumbani hadi nakofanyia kazi zangu.. Natamani kuwatema moja kwa moja lakini kwa upande mwingine jinsi walivyo Supportive naona kama nitapoteza watu wazuri,. Lakini hapohapo nawaza isije wakaniingiza kwenye matatizo ukizingatia ni watu ambao najioneaga aibu hata kusimama nao njiani isije watu wanaoniheshimu wakaniona nao wakanidharau,.
Sijui nifanye nini kwakweli ila ndio hivyo buana

Mwishooo,.

Their is nothing like treating U good / Right. People always expect something in return. TIME WILL TELL
 
Hayo hayo, google porta potty 💩
D244BBB6-339F-4037-9F78-F70F2F53AE06.jpeg
 
Tuendeleee

BAsi buana mdogo wenu nikaanza napendwa pekeyangu,. Mie ni mtu ambaye sio mtokaji kabisa yaani sijawahi kuhudhuria hata mtu wangu wa karibu awe anafanya birthday Party sijui nini mie sijawahi kuhudhuria huwa naagizaga tu zawadi,. Au labda niwe naenda na mama labda kuwe na harudi kitchen party na shughuli kama hizo mama akiniomba nimpeleke ndio huwa tunaenda wote,.
Lakini hawa wadada walinifanya nianze kwenda kwenye party za watu usiku, Yaani utakuta nimekaa tu sina hili wala lile napigiwa simu "Lee kuna namba nimekutumia hapo ya fundi uende akupime gauni Utalivaa Jumamosi kuna party mie nitakuletea kadi na viatu".. Kwa Approach kama hiyo jamani ningeweza kuchomoa kweli? Baasi nikawa naenda na nikifika kule kila mtu atatamani akae na mimi yaani nakeiwa kwelikweli hadi chooni nikitaka kwenda napelekwa😄😄,.


Hawakuishia hapo,. Kuna siku alinipigia simu mmoja akasema nimepita ofisini kwenu nimeambiwa haupo uko wapi nikamwambia sijafika leo niko kwenye graduation ya mdogo wangu,. Akaniuliza tu wa kike au wa kiume nikamwambia wakike akasema nimwelekeze aje na zawadi basi akaja yeye na wenzie tunasherekea pale mda wa kutoka mie nikaondoka na kina mama na wao wakaondoka zao,.

Kuna siku nlikuwaga niko na stress zangu tu wateja walinivuruga sijui akili yangu iliwaza nini nikasema nimpigie huyu mdada tumwite "Tina " nikawa nimeongea nae tu akanotice kama siko sawa akaniambia nakuja kukuchukua,. Hii ndio siku ambayo nilikunywa pombe mwenzenu na nilikuja kustuka asubuhi,. Mama yangu alipiga simu missed calls sijui zaidi ya ngapi hata sikumbuki, dada na baba ndio kabisa maneno ambayo sikuwahi waza kama nitaambiwa na baba yangu basi siku hiyo niliambiwa kwenye meseji... Lakini cha ajabu huyu Tina wala hata hakustuka aliniambia tu Jiandae twende peramiho Hospitali,. Nikafika kule nikakata kadi nikapimwa malaria, na vihoma vingine vingine nikapewa na dawa halafu ndio akaniambia niwapigie simu nyumbani waje Hospitali halafu sisi tuanze kutoka tukutane njiani, Kwa jinsi nlivyokua nimechoka na ile midawa nliyokuwa nayo moto wote ulizimika waliamini tu labda nilizidiwa njiani nikasaidiwa😥😓😂

Story zisiwe nyingi jamani maana scenarios ni zilezile .......
Ila tu Kiukweli ni watu ambao wamekuwa wamenizoea sana naweza kusema wamenizoea kupitiliza na ndio cycle yangu ya sasa,. Na ninaweza kusema wameniharibu mnoo yaani mimi najiona kabisa sio yule Lee ambaye kila mtu anamjua japo najitahidi sana kuficha nyumbani wasigundue chochote,.

Nashindwa namna ya kuwaepuka jamani maana saizi ndio kabisa wananichukulia kama mwenzao tu,. Yaani wananiona mdogo wao kwenye kazi zao Japo sijawahi kufanya nao chochote kibaya zaidi ya Pombe.. Vishawishi vyao vyote niliweza, nimeweza na ninaweza kuvipangua ( Japo hii huwa naamini ni nguvu ya maombi ya mama yangu) .. Maana mda mwingine mmmh


Kwa namna ambavyo naishi nao saizi ni ngumu sana gafla kusema nipotezane nao,. Nimejaribu mbinu zote hadi kubadili namba za simu lakini ilisaidia nini unadhani?,. Watu wanakujua nyumbani hadi nakofanyia kazi zangu.. Natamani kuwatema moja kwa moja lakini kwa upande mwingine jinsi walivyo Supportive naona kama nitapoteza watu wazuri,. Lakini hapohapo nawaza isije wakaniingiza kwenye matatizo ukizingatia ni watu ambao najioneaga aibu hata kusimama nao njiani isije watu wanaoniheshimu wakaniona nao wakanidharau,.
Sijui nifanye nini kwakweli ila ndio hivyo buana

Mwishooo,.
Hawajakukula ?
 
Back
Top Bottom