KeshoAmenifungia tatizo,. Na mods nao ndio kabisa hawataki niingie tena,. Na ile ya G9 mie nashindwa kwasabu umenipiga tofali😑
Thank you too...Ile inshu yetu vipi boss umenichinjia bahariniThanks🤝
Mkuu Pm hazifunguki masikini,. Kila nikiingia nijaribu kuchukua namba lakini inaandika tu connecting,.Thank you too...Ile inshu yetu vipi boss umenichinjia baharini
Plan yao A imefanikiwa.Natumai wote mu wazima wa afya,.
But why am writting this?,. Why should i do this?.. Sina majibu mpaka sasa wakati huu ninavyoandika.....
Wacha niandike tu bhana huwenda nikapunguza mzigo moyoni,. Mtanisamehe kwasabu ni ndefu kidogo😑😑
Ni kwamba najuta kuwa na cycle ya watu ambao niko nao sasa,. Nisipokuwa makini naweza kuangukia kwenye midomo ya mamba..
Tuanze sasa,. Ilikuwa ni 2022 mwishoni kama sikosei alikuja mdada ofisini kwetu,. Naweza kusema ni aina ya hii midada ya mjini wale ambao maisha wanayoishi na vibiashara wanavyofanya ni vitu viwili tofauti yaani type ya wale wadada naweza kusema ni wadangaji wa mjini waliokubuhu/shindikanaa kabisa ( wale wenye matatoo mara mableach, wengine wamejitoboa hadi kwenye vitovu wameweka vipini )...
Nilimhudumia vizuri sana ukizingatia na nlivyo charming sikuwa hata nimemchukulia tofauti kama wenzangu walivyomchukulia,. Basi wakati anatoka akaniomba namba nikampatia alivyofika kwenye gari yake nje akanitumia text nimfate mara moja nikatoka akaniambia nilitaka nikupatie pesa ya soda maana umenihudumia vizuri lakini isingekuwa vizuri kukupa mbele ya wenzio baasi nikachekacheka pale nikapokea nikarudi kuendelea na kazi..
Baada ya kama mwezi hivi akawa ameniletea na marafiki zake,. Na hao marafiki zake ndio walewale tu,. Ila tu kila mmoja alikuwa anakuja kwa nafasi yake na walichokua wanasisitiza ni kwamba nisije nikaropoka flani naye alikuja maana yule wa kwanza alinitambulisha tu kama nendeni sehemu flani kuna mdogo wangu yupo basii. Si unajua midada ya mjini kuvimbiana hakuna anayetaka aonekane kaishiwa mbele ya wenzie..
Kiukweli ni watu ambao sijui ndio walikua wananipenda au walikuwa wanapenda ninavyowahudumia,. Maana ilikuwa kama desturi tu wakija lazima waniachie hela za maji yaani mtu kukupa 50k kwakwe sio shida zake,. Ukiachana na hivyo utakuta hata kama mtu anapita maeneo ya ofsini atakupigia akuulize kama ulikula kama bado atakwambia njoo sehemu flani basi tule ukienda utarudi na mazaga kibao,. Atakutambulisha kwa wenzie na wenzake nao ndio walewale wananimwagia upendo kama wote baasi nikawa najiona ndugu si ndio hawa nimepata kumbee😓😓....
Waliendelea hivyo hivyo mpaka ikafika kipindi wote wakawa wananitreat kama mdogo wao yaani,. Kuna zile nyakati labda wamepost status wako China sijui Dubai wanasema wamefata mizigo ya biashara zao,. Mie nikireply tu naulizwa nikirudi nikuletee nini najibu chochote lakini wakirudi wanarudi na hiyo mipackage mpaka nasema hivi huu upendo mbona kama umepitiliza lakini nikawa najionea tu raha nasema kweli nimepata nduguu...
Ngoja kwanza ninywe chai nakuja🙌
Yaani Bado hujatimiza Miaka 24!?. Ishu Yako inafanana na sister wangu, ameshafariki na kilichomuondoa ni marafiki kama hao.Vipi mnaendeleaje!?.
Kesho tumepata dharura kidogo hatutoweza kuja huko
Pm hazifunguki masikini,. Kila nikiingia nijaribu kuchukua namba lakini inaandika tu connecting,.
Au nikwambie tu hapahapa kama hutojali?,. Au nipe namba yako nicopy chap halafu ufute comment
It can’t be true Leejay49Yaani Bado hujatimiza Miaka 24!?. Ishu Yako inafanana na sister wangu, ameshafariki na kilichomuondoa ni marafiki kama hao.
Nikupe story yake fupi huenda ukapata somo.
Sister wangu alikuwa na marafiki zake kama hivyo ulivyohadithia , popote alipo wao wapo popote walipo yeye yupo, yaani ukawa ni udada wa kushibana na kusaidiana, nyumbani hakuna anaejua kma anamarafiki wa aina hii maana alikuwa haji nao nyumbani, sasa wakaanza kumdangia ( kumuuza) , wao wanapatana na bwana halafu wanamseti wao wanabeba kikubwa yeye anapata kidogo.
Kuna siku wale wadada wakanwambia Kuna mchongo south utatupatia pesa nyingi sanaa, sister kuskia pesa ndefu akajaa kwenye mfumo, ila akasema twendeni nikaage nyumbani, huku nyumbani mama halali ni Dua , Dua na yeye maana sister alipotea mwezi mzima hatujui wapi alipo. Akafanikiwa kuja , wakakakaa chumbani mama na bintie , mama anamwambia nimekuota umepelekwa south na wenzio wamekupasua tumbo wamekuwekea madawa ya kulevya umeletwa umekufa, dada anakiri ni kweli ninasafari ya south na hapa nimekuja kukuaga kesho safari, mama akamwambia ukienda hurudi mwanangu, sasa ntafanyaje!?. Mama akasema ntashughulika nao niachie mimi, akaenda sebleni akawaambia " Jamani nimefurahi kuwaona lakini naombeni mwenzenu mumuache kwa Leo nina maongezi nae ya kina, kesho atakuja", basi wakaondoka jpo kishingo upande. Sister akanusurika hpo ila kule kumdangia wazungu hakukumuacha salama akapata maradhi mazito akaenda.
Misaada Yao ndo Huwa nguvu Yao kubwa ya kukuvuta kwao, wanaweza kuwa na urafiki hata miaka 10 wanajua wanawekeza pesa zao wanazokupa zitarudi tu, sister kabla hayaaga anamwambia mama " mama kilichoniua ni marafiki wabaya, walikuwa wananiuza kwa wazungu bila mimi kujua😭😭😭".
Umefanya nimemkumbuka dada yangu Leo😭😭😭
Cha kufanya.....
Anza kutokupatikana.... Lee vipi Leo tutoke , hapana naumwa sijiskii vizuri, mara nyumbani nina kazi nyingi, usiishe sababu.
Usiagize zawadi kutoka kwao tena, wakizileta pokea hkuna namna.
Wakipiga simu siku pokea siku potezea, Sms ni hivyo hivyo, kwanini hujapokea simu jibu niliiweka silent au nilikuwa mbali nayo.
Anza kuwapotezea taratiibu mwisho wa siku nawao watajiongeza watajua hutaki mazoea nao.
Ila ukisema hawajanikosea, na roho nyingne unataka kuendelea kupokea misaada kutoka kwao , my dear mwisho hautokuwa Mzuri kwako , ni either wakupoteze mazima familia Yako ndo itabakia inahangaika na wao washakuwa mamilionea.
Ikiwezekana mshirikishe mama akusaidie kuondokana nao. Sister wangu aliponeshwa na mama, sijui angeenda nao siku ile kama tungewahi hata kumuona machoni tena. Na hivi wewe unalewa nao rahisi kuongea na muhudumu anafanya yake unalala umeisha.
Daah inatisha...Yaani Bado hujatimiza Miaka 24!?. Ishu Yako inafanana na sister wangu, ameshafariki na kilichomuondoa ni marafiki kama hao.
Nikupe story yake fupi huenda ukapata somo.
Sister wangu alikuwa na marafiki zake kama hivyo ulivyohadithia , popote alipo wao wapo popote walipo yeye yupo, yaani ukawa ni udada wa kushibana na kusaidiana, nyumbani hakuna anaejua kma anamarafiki wa aina hii maana alikuwa haji nao nyumbani, sasa wakaanza kumdangia ( kumuuza) , wao wanapatana na bwana halafu wanamseti wao wanabeba kikubwa yeye anapata kidogo.
Kuna siku wale wadada wakanwambia Kuna mchongo south utatupatia pesa nyingi sanaa, sister kuskia pesa ndefu akajaa kwenye mfumo, ila akasema twendeni nikaage nyumbani, huku nyumbani mama halali ni Dua , Dua na yeye maana sister alipotea mwezi mzima hatujui wapi alipo. Akafanikiwa kuja , wakakakaa chumbani mama na bintie , mama anamwambia nimekuota umepelekwa south na wenzio wamekupasua tumbo wamekuwekea madawa ya kulevya umeletwa umekufa, dada anakiri ni kweli ninasafari ya south na hapa nimekuja kukuaga kesho safari, mama akamwambia ukienda hurudi mwanangu, sasa ntafanyaje!?. Mama akasema ntashughulika nao niachie mimi, akaenda sebleni akawaambia " Jamani nimefurahi kuwaona lakini naombeni mwenzenu mumuache kwa Leo nina maongezi nae ya kina, kesho atakuja", basi wakaondoka jpo kishingo upande. Sister akanusurika hpo ila kule kumdangia wazungu hakukumuacha salama akapata maradhi mazito akaenda.
Misaada Yao ndo Huwa nguvu Yao kubwa ya kukuvuta kwao, wanaweza kuwa na urafiki hata miaka 10 wanajua wanawekeza pesa zao wanazokupa zitarudi tu, sister kabla hayaaga anamwambia mama " mama kilichoniua ni marafiki wabaya, walikuwa wananiuza kwa wazungu bila mimi kujua😭😭😭".
Umefanya nimemkumbuka dada yangu Leo😭😭😭
Cha kufanya.....
Anza kutokupatikana.... Lee vipi Leo tutoke , hapana naumwa sijiskii vizuri, mara nyumbani nina kazi nyingi, usiishe sababu.
Usiagize zawadi kutoka kwao tena, wakizileta pokea hkuna namna.
Wakipiga simu siku pokea siku potezea, Sms ni hivyo hivyo, kwanini hujapokea simu jibu niliiweka silent au nilikuwa mbali nayo.
Anza kuwapotezea taratiibu mwisho wa siku nawao watajiongeza watajua hutaki mazoea nao.
Ila ukisema hawajanikosea, na roho nyingne unataka kuendelea kupokea misaada kutoka kwao , my dear mwisho hautokuwa Mzuri kwako , ni either wakupoteze mazima familia Yako ndo itabakia inahangaika na wao washakuwa mamilionea.
Ikiwezekana mshirikishe mama akusaidie kuondokana nao. Sister wangu aliponeshwa na mama, sijui angeenda nao siku ile kama tungewahi hata kumuona machoni tena. Na hivi wewe unalewa nao rahisi kuongea na muhudumu anafanya yake unalala umeisha.
Dah,. ila nyie kuna watu wabaya sana aiseeYaani Bado hujatimiza Miaka 24!?. Ishu Yako inafanana na sister wangu, ameshafariki na kilichomuondoa ni marafiki kama hao.
Nikupe story yake fupi huenda ukapata somo.
Sister wangu alikuwa na marafiki zake kama hivyo ulivyohadithia , popote alipo wao wapo popote walipo yeye yupo, yaani ukawa ni udada wa kushibana na kusaidiana, nyumbani hakuna anaejua kma anamarafiki wa aina hii maana alikuwa haji nao nyumbani, sasa wakaanza kumdangia ( kumuuza) , wao wanapatana na bwana halafu wanamseti wao wanabeba kikubwa yeye anapata kidogo.
Kuna siku wale wadada wakanwambia Kuna mchongo south utatupatia pesa nyingi sanaa, sister kuskia pesa ndefu akajaa kwenye mfumo, ila akasema twendeni nikaage nyumbani, huku nyumbani mama halali ni Dua , Dua na yeye maana sister alipotea mwezi mzima hatujui wapi alipo. Akafanikiwa kuja , wakakakaa chumbani mama na bintie , mama anamwambia nimekuota umepelekwa south na wenzio wamekupasua tumbo wamekuwekea madawa ya kulevya umeletwa umekufa, dada anakiri ni kweli ninasafari ya south na hapa nimekuja kukuaga kesho safari, mama akamwambia ukienda hurudi mwanangu, sasa ntafanyaje!?. Mama akasema ntashughulika nao niachie mimi, akaenda sebleni akawaambia " Jamani nimefurahi kuwaona lakini naombeni mwenzenu mumuache kwa Leo nina maongezi nae ya kina, kesho atakuja", basi wakaondoka jpo kishingo upande. Sister akanusurika hpo ila kule kumdangia wazungu hakukumuacha salama akapata maradhi mazito akaenda.
Misaada Yao ndo Huwa nguvu Yao kubwa ya kukuvuta kwao, wanaweza kuwa na urafiki hata miaka 10 wanajua wanawekeza pesa zao wanazokupa zitarudi tu, sister kabla hayaaga anamwambia mama " mama kilichoniua ni marafiki wabaya, walikuwa wananiuza kwa wazungu bila mimi kujua😭😭😭".
Umefanya nimemkumbuka dada yangu Leo😭😭😭
Cha kufanya.....
Anza kutokupatikana.... Lee vipi Leo tutoke , hapana naumwa sijiskii vizuri, mara nyumbani nina kazi nyingi, usiishe sababu.
Usiagize zawadi kutoka kwao tena, wakizileta pokea hkuna namna.
Wakipiga simu siku pokea siku potezea, Sms ni hivyo hivyo, kwanini hujapokea simu jibu niliiweka silent au nilikuwa mbali nayo.
Anza kuwapotezea taratiibu mwisho wa siku nawao watajiongeza watajua hutaki mazoea nao.
Ila ukisema hawajanikosea, na roho nyingne unataka kuendelea kupokea misaada kutoka kwao , my dear mwisho hautokuwa Mzuri kwako , ni either wakupoteze mazima familia Yako ndo itabakia inahangaika na wao washakuwa mamilionea.
Ikiwezekana mshirikishe mama akusaidie kuondokana nao. Sister wangu aliponeshwa na mama, sijui angeenda nao siku ile kama tungewahi hata kumuona machoni tena. Na hivi wewe unalewa nao rahisi kuongea na muhudumu anafanya yake unalala umeisha.