Why should Magufuli reject Sylvia Mulinge as Vodacom CEO

Mind u the Kenyan govt has about half ownership of KQ so its obvious if Uhuru intervenes..
Hahha sasa kama anaprotect amkatae CEO on what grounds kwa mfano.?
Unataka kusema mashirika yote yalokufa nchini chanzo ni wakenya?..issues run deeper than kenyans...tujitathmini
 
..an idiotic and thivery mind like yours will never understand a thing....let alone logical thinking.....and it will tend to hide the idiocy behind patriotism...

This is the stupidity at highest order never eve seen ,since I joined JF
 
Na ikifa? Mana tunachoogopa hapa ni kilichotokea tanalec, kibogold na vingine...

Huu wasiwasi hauna maana. Shareholders (via Board) waliomchagua have much to loose kuliko sisi wapiga kelele. Wenye kampuni yao wanajua nini wanataka.
 
Mpuuzi w2ewe
sasa Voda ikififa na ikanunuliw ana safaricom at cheap price at the same kuna wabongo wna hela zao na srekalki kodi itapata wapi?
hivi unafikir ni ngapi tumepoteza kwa kufa general tire? serengeti je ?

Mbaya zaidi hujafanya utafiti. Safaricom na Vodacom wote wanamilikiwa kwa kiasi kikubwa na baba mmoja ambaye ni Vodacom Group SA. Hivyo usemacho hakiwezekani labda wawili hao kumerge operations.

Mifano unayotolea ya General Tyres na Tanelec ni tofauti sana na case ya Vodacom. Hayo mawili yalikuwa mashirika ya umma na serikali ikayabinafsisha kwa mapenzi yake.
 
wewe tafuta cha kufanya nimeomba success story ya any Tanzanian company under a Kenyan! Hujanijibu! Mie sio level yako!
 

Boss hii sio acquisition or merger ambapo ni wajibu wa FCC kuhakikisha maslahi ya umma yanalindwa. Hili ni suala binafsi la uongozi wa kampuni.

Na nashangaa je, tumeacha kufuata protocals tulizoridhia kuhusu free movement of labour within EAC?
 
42% ipo chini ya Watanzania still!
 

Tunachanganya mambo. Sekta ya mawasiliano ina mazingira tofauti na kile alichopresent Gezaulole. Pili safaricom na Vodacom wanamilikiwa na mtu mmoja wakioperate kwenye two distinct markets hivyo operations zao haziingiliani kwa kiasi kikubwa.

Tatu waliotolewa mfano walikuwa ni dominants kwenye soko Afrika Mashariki hivyo kuwadistabilize kulileta faida kwa washindani.

Vodacom TZ na Safaricom si washindani hivyo kuwadestabilise Vodacom kutawapa hasara zaidi wamiliki wake (unfortunately ndio wamiliki pia wa Safaricom kwa kiasi). Mchezo wowote wa kumdondosha Vodacom TZ kutafaidisha makampuni ya Kitanzania hasa Tigo (Millicom Tz owned by Waholanzi v. Manji) na serikali ya Tanzania kupitia TTCL na Airtel (kumbuka hawa ni washindani ambao mistake yoyote itawaongezea market share).
 
Hujanielewa pia Safaricom inataka kununua Vodacom. A thing I don't support! I don't want a repeat of EA Brew story at Vodacom. With oil and gas economy coming up, we should not allow our treasured companies be led by strangers!
 
42% ipo chini ya Watanzania still!

Watanzania wapi? Hisa za Watanzania Vodacom ni less than 25%. Au unahesabia na Milambo (part of Calvary Holdings is Jersey registered company not Tanzanian) ambao kwa sasa ni Kenya based?

40% ya hisa zilizokuwa floated DSE zilinunuliwa na The South Africa’s Public Investment Corporation (PIC). Ukipiga hesabu hisa za Watanzania ni less than 25% of all shares issued by Vodacom.
 
Look even if 5% the bottom line is we should fend off acquisition by Safaricom n to do so we should not let a Kenyan run Vodacom.
 
Look even if 5% the bottom line is we should fend off acquisition by Safaricom n to do so we should not let a Kenyan run Vodacom.
Geza Ulole hili la kwamba Safaricom anataka kuinunua Vodacom TZ ni hearsay kutoka kwako. Hata hivyo kama nilivyosema wote ni partly owned by Vodacom Group SA. Iweje Safaricom imnunue Vodacom TZ? Who is selling his stake? Kama Milambo Holdings ndio wanauza their last share sawa however hata wakiuza hazitanunuliwa na Safaricom bali Vodacom Group SA ambae ni baba wa Safaricom na Vodacom TZ
 

Wapuuzi hawa, mimi nimewahi kuwa hoji baadhi ya watu wenye rundo la Degrees uwezi kuamini unacho kisikia, majibu yao yanakufanya uwe na wasi wasi nao ila wengi wao for some reason wanajisikia sana. Siku moja niliwambia wazi kwamba msishangae wawekezaji wanapo hamua kuleta wafanyakazi kutoka kwao, hata mimi ningekuwa na Kampuni yangu ningetafuta wafanyakazi kutoka popote Duniani, kama watakuwepo Watanzania wenye uwezo wa kweli ntawajiri lakini nisingekuwa overly concern na rudo la vyeti na sio kujaza wafanyakazi wenye rudo la sifa za makaratasi lakini kichwa hawana kitu - nani atakubali kuwapa post kubwa watu mbumbubu kwenye Industry ya mawasiliano, Vodacom ingekuwa ina - entertain ujinga huo wasingefika hapo walipo i.e kuongoza kwa idadi kubwa ya wateja, angalieni TTCL inavyo struggle the going is getting tough everyday - know why?- Search ME.

Narudia tena kuwakumbusha Watanzania wenzangu kwamba vyeti ni secondary wajiri wa makampuni binafsi wanacho taka/tafuta ni uchapaji kazi, ubunifu na kujituma nasikitika kusema kwamba sifa hizo Watanzania tulio wengi hatuna - maneno tu na fitina - wanachukulia Degrees kama passport ya kuteuliwa kwenye ngazi yoyote nyeti hata kama uwezo huo huna mnalalamika tu na kwa kuwazuria watu -Tubadirike.

Namalizie kwa kuwakumbusha kwamba binadamu wengi walio leta mabadiriko katika maisha ya binadamu wenzao Duniani wala hawakuwa na elimu kubwa, mfano: Edson, Ford, Wilbur Brothers, Allan Sugar, Sinclair, Sir Frank Whittle, Enzo Ferrari, Bill Gates,Graham Bell,Steve Jobs nk.
 

serengeti je ?
Mufindi je?
 
Don't you know kwamba manji ana own 17%+25% za DSE
 
Kukiwa na watanzania kama hawa 500 tu wenye uzalendo na wanaoweza kuona mambo kwa jicho la tatu hakika nch yetu itasogea mbele
Utawainuaje wanaolazimika kupigania mkate wao kwa kogopa nissan nyeupe? Acha tufe tu. Tukipona awamu nyingine labda Mungu atainua wazalendo wa ukweli. Ngoja tuendelee kukamilisha kuziba midomo na akili zetu ili tuishi.
 
Stop crying wolf and first develop your local capacity to take over such corporate entities! As long as you don't have local expertise,more foreigners will head them!
Do you hear them? How can you expect positive results from your rival in the supposedly competing business arena?
 
Kwani hili sio jukwaa la kufikisha maoni yake? Huu mtindo wanaotaka kufanya hawa waKenya ni kama ule wa kuiua General Tyres Tz ili YANA tyres iweze ku-take over
Binafsi sidhan kama kwel tumeshindwa kumpata Mtanzania atakaye weza kuiongoza taasis hiyo kubwa ya Vodacom Plc. Hao wezi wakikenya hawana nafasi kwa sasa katika taifa letu na ukizingatia ndo mahasim wetu kiuchum.
 
Maneno mazito sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…