Why should Magufuli reject Sylvia Mulinge as Vodacom CEO

Why should Magufuli reject Sylvia Mulinge as Vodacom CEO

Vodacom Tanzania CEO Hisham Hendi resigns, heading to Spain​



WEDNESDAY AUGUST 04 2021​

hendi pic

Vodacom Tanzania Plc, CEO, Hisham Hendi.

Summary

  • According to the company’s statement, Mr Hendi would remain part of the Vodafone Group of companies, taking a new assignment as the commercial lead at Vodafone Spain.


The citizen pic


By The Citizen Reporter
More by this Author

Vodacom Tanzania’s Chief Executive Officer Hisham Hendi is set to leave the telecom giants to take on a new role in Spain it has been announced.

According to the company’s statement, Mr Hendi will remain part of the Vodafone Group of companies, taking on a new assignment as the commercial lead at Vodafone Spain.

"In Hendi's five years, Vodacom Tanzania has continued to be a market leader in the implementation of digital strategies that have helped the country to have integrated financial systems through the creation of mobile financial services," said Judge Thomas Mihayo, chairman of the board.

Judge Mihayo added that Hendi, who is set to become Vodafone's head of business in Spain, has been a key driver in securing investments to reach millions of Tanzanians who were previously unavailable with telephone services (not connected).

Commenting on his departure, Hendi said he was happy with the opportunity that was waiting for him in Spain but realized that it would not be possible if it were not for the opportunity he had in Tanzania for five years serving as CEO.

“I have worked with a good team and I am leaving the locals who are senior leaders working with great efficiency. I am happy to be serving in this great nation. My experience here in the country is what has made this move possible, I am really proud. I am leaving Tanzania as the country's ambassador, ”said Hendi.

Among the achievements of Hendi during his tenure was the company being named among the 100 best companies in Africa based on market capitalization by 2020, he achieved making the company to be on the list of Dar es Salaam Stock Exchange (DSE).



Tuone kama mzawa atapewa u ceo voda sasa
 
Story ya yule mama lishe mlevi na muuaji umeifukua wapi??

😛 😛 😛
Kuna mtu alikuwa analalama humu!
 
Ngoja tuone kama tutaletewa Mkenya...



MY TAKE
We r basically watching what r Vodacom's moves! wasituletee wajinga...

CC: Tony254

Heeheee, yani mmeletewa Mwarabu akaresign, mkaletewa Msauzi ameresign lakini bado Mkenya ndio mnataka muite mjinga? Boss, shida ipo kwa nchi yenu kwa kukosa tajriba ya kuendeleza kampuni kubwa. Hawa watu wanaoletwa wote ni watalaamu wa ukurugenzi, wamekuwa successful kwa nchi nyingi ila wakija Tz wanafeli. Shida ipo hapo kwenu. Hamna tajriba.
 
Heeheee, yani mmeletewa Mwarabu akaresign, mkaletewa Msauzi ameresign lakini bado Mkenya ndio mnataka muite mjinga? Boss, shida ipo kwa nchi yenu kwa kukosa tajriba ya kuendeleza kampuni kubwa. Hawa watu wanaoletwa wote ni watalaamu wa ukurugenzi, wamekuwa successful kwa nchi nyingi ila wakija Tz wanafeli. Shida ipo hapo kwenu. Hamna tajriba.
Woote wanakaribishwa kasoro Mkunya!
 
Hehehe naona Vodacom wameng'ang'ania wanamtaka yeye tu, ila ni aibu sana kwenu nyie kampuni kama hiyo iwakatalie nyie wote na iamue hata kama itachukua mwaka watamsubiri huyu binti Mkenya awaongoze.
Hivi alishakuja? Au huo mwaka bado?
 
Suluhu yetu? Unafikiri tz haiwezi survive bila vodacom? Huyo mama akadili na mapishi huko, nakuuliza mwaka bado tu?
Sylvia Mulinge ni CCO wa Safaricom sasa hivi, anasimamia vitengo vitano muhimu ndani ya Safaricom. Vitengo ambavyo vinatengeneza hela nyingi zaidi ya kampuni yote nzima ya Vodacom. Hayupo tena kwenye cheo chake cha zamani cha Special Projects.

Sidhani sasa hivi Vodacom wanaweza wakamlipa mshahara ambao anapata Safaricom. Net worth yake inakadiriwa kuwa kati ya $2M- $5M. Wewe unasema akadili na mapishi wakati labda huna hata hiyo shilingi mia mfukoni.
 
Sylvia Mulinge ni CCO wa Safaricom sasa hivi, anasimamia vitengo vitano muhimu ndani ya Safaricom. Vitengo ambavyo vinatengeneza hela nyingi zaidi ya kampuni yote nzima ya Vodacom. Hayupo tena kwenye cheo chake cha zamani cha Special Projects.

Sidhani sasa hivi Vodacom wanaweza wakamlipa mshahara ambao anapata Safaricom. Net worth yake inakadiriwa kuwa kati ya $2M- $5M. Wewe unasema akadili na mapishi wakati labda huna hata hiyo shilingi mia mfukoni.
Ila hii data ninayotumia kuandika hapa ni wi-fi yakwako sio? Yule mama hakutakiwa tz na ndiomaana hakuja, tz kuna wakenya kibao hujiulizi kwanini akataliwe yeye tu? Afanye hukohuko kenya kunakomlipa vizuri. Hii ni nchi yetu msitupangie
 
Sylvia Mulinge ni CCO wa Safaricom sasa hivi, anasimamia vitengo vitano muhimu ndani ya Safaricom. Vitengo ambavyo vinatengeneza hela nyingi zaidi ya kampuni yote nzima ya Vodacom. Hayupo tena kwenye cheo chake cha zamani cha Special Projects.

Sidhani sasa hivi Vodacom wanaweza wakamlipa mshahara ambao anapata Safaricom. Net worth yake inakadiriwa kuwa kati ya $2M- $5M. Wewe unasema akadili na mapishi wakati labda huna hata hiyo shilingi mia mfukoni.
Na mkiweza mumpe KQ airudishe kwenye mstari
 
Na mkiweza mumpe KQ airudishe kwenye mstari
KQ tayari kuna mzawa ambaye alishatia saini contract yake, Allan Kilavuka. Sampuli ya watu kama kina Sylvia Mulinge ni watu ambao huwa wanaandamwa kwa fujo, kama tu walivofanya Vodacom. Head hunting, sio sijui kufanyiwa interview za kutafuta kazi. Leo hii hata akiacha kazi Safaricom kesho yake atanyakuliwa na kampuni nyingine, tena labda ya kimataifa. Alafu wewe unayejaribu kumdunisha utabaki hapo hapo tu vijiweni, ukipiga timing ili upate angalau kikombe cha chai.
 
Ila hii data ninayotumia kuandika hapa ni wi-fi yakwako sio? Yule mama hakutakiwa tz na ndiomaana hakuja, tz kuna wakenya kibao hujiulizi kwanini akataliwe yeye tu? Afanye hukohuko kenya kunakomlipa vizuri. Hii ni nchi yetu msitupangie
Acha porojo zako ilikuwa ni chuki na wivu wenu tu, nyie mataga na jiwe lenu, dhidi ya wakenya. Ila hamna namna sasa hivi huo upuuzi haupo tena. Kenya bado ina wataalamu wengi sana, ambao wamekidhi vigezo vya kuongoza kampuni kama hizo. Natabiri kwamba huu ndio mwanzo tu wa hivi vilio vyako.
 
Acha porojo zako ilikuwa ni chuki na wivu zenu tu, nyie mataga na jiwe lenu, dhidi ya wakenya. Ila hamna namna sasa hivi huo upuuzi haupo tena. Kenya bado ina wataalamu wengi sana, ambao wamekidhi vigezo vya kuongozo kampuni kama hizo. Natabiri kwamba huu ndio mwanzo tu wa hivi vilio vyako.
Jipe moyo kwakuwa mama anawachekea, ila tambua kitakuja chuma zaidi ya jiwe ili muanze kulialia tena
 
Back
Top Bottom