Why Simba make antetionKambi ya yanga ni bora?

Why Simba make antetionKambi ya yanga ni bora?

Wang Shu

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
2,562
Reaction score
3,715
Simba sc wameweka kambi ya 4 Zanzibar kwa ajili ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga,waliwai kufanya ivyo dhidi ya Alhaly. Ikumbukwe Simba pre season ilifanyika Uturuki,tofauti na watani zao mara zote wameonekana kutulia kwenye kambi yao Kigambani, wanapunguza matumizi ya uendeshaji au wapo sehemu ambayo utulivu na
mazingira yanawazuia kutoka.
 
Simba sc wameweka kambi ya 4 Zanzibar kwa ajili ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga,waliwai kufanya ivyo dhidi ya Alhaly. Ikumbukwe Simba pre season ilifanyika Uturuki,tofauti na watani zao mara zote wameonekana kutulia kwenye kambi yao Kigambani, wanapunguza matumizi ya uendeshaji au wapo sehemu ambayo utulivu na
mazingira yanawazuia kutoka.

Mambo Ya Furusi...

Mambo Ya Fwedha...

Mambo Ya Maokoto...

Bila Fwedha Lzm Ubaki Kwenu, hamna namna...!
 
Simba sc wameweka kambi ya 4 Zanzibar kwa ajili ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga,waliwai kufanya ivyo dhidi ya Alhaly. Ikumbukwe Simba pre season ilifanyika Uturuki,tofauti na watani zao mara zote wameonekana kutulia kwenye kambi yao Kigambani, wanapunguza matumizi ya uendeshaji au wapo sehemu ambayo utulivu na
mazingira yanawazuia kutoka.
Yanga mara zote wanaweka kambi kigamboni? Yanga hawajawahi kwenda north africa?
 
Back
Top Bottom