Wang Shu
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 2,562
- 3,715
Simba sc wameweka kambi ya 4 Zanzibar kwa ajili ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga,waliwai kufanya ivyo dhidi ya Alhaly. Ikumbukwe Simba pre season ilifanyika Uturuki,tofauti na watani zao mara zote wameonekana kutulia kwenye kambi yao Kigambani, wanapunguza matumizi ya uendeshaji au wapo sehemu ambayo utulivu na
mazingira yanawazuia kutoka.
mazingira yanawazuia kutoka.