Why Tanzania is among the leading in multidimensional poverty in Africa?

Why Tanzania is among the leading in multidimensional poverty in Africa?

Sehemu gani utatembea ukose mkenya? Wacha wewe[emoji23], masikini ni masikini, wewe unaangalia picha za slums kisha una conclude[emoji23] na haujui uwezo kamili ya some slum dwellers., poverty is poverty, na wale wanao ishi kwa extreme poverty Tanzania nyie ndio bingwa., lakini najua hili litapungua, mostly raiya wakijituma, Tz is no longer ujamaa country, kwa sasa nyie ni mabepari kama Kenya, ukizembea utabaki kua masikini ata uchumi wenyu ukipaa. Ni bidii ya mtu binafsi.

Hahaha nafurahi mdogo mdogo akili inakuingia na kuona position ya Tanzania. Sasa uje na facts huo umasikini Tz na kenya wapi raia wana suffer zaidi. Maana umasikini wa mwisho kabisa ni pale mtu anaposhindwa kupata hata chakula mara moja kwa siku. Sasa leta takwimu za hivyo.

Halafu Tz sio nchi ya kibepara na wala sio nchi ya kijamaa. We`re mixed economy.
 
Madanga mbona wapo kote hata humu JF, haujalijua hilo, nenda huko Tandale uone dada zako wanavyoshikishwa ukuta kwa buku tu ya kibongo.
Naskia yule mzee wa Kimaasai bwana Laizer aliyepokea bilioni kwa ajili ya Tanzanite, madanga hawampi nafasi, wanamzingua kinoma.
Unaongelea mambo ya zamani sana, yaani Ukahaba wa Kenya ni makala ya this week. Inaonesha watu wenu walivyo na shida, hawana hela ya kula. Tanzania tunakula na kusaza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli imebarikiwa nakubali ila wengi wenu hamuoni hizo baraka ama hamuna uwezo wa ku exploit kikamilifu ili iwafaidi.,
Tanzania is blessed, hope you will wake up and take advantage.
Mbona juzi tumepata Billionea, na mamilionea tunawazidi, ninyi mmejaa chuki na ukabila sisi tunakula bata tu, tunakula na kusaza, hakuna Mtanzania anayelalamikia chakula eti njaa kali.
 
Unaongelea mambo ya zamani sana, yaani Ukahaba wa Kenya ni makala ya this week. Inaonesha watu wenu walivyo na shida, hawana hela ya kula. Tanzania tunakula na kusaza

Makahaba wapo hata kesho sio zamani tu, ningekutuma hapo maeneo kadhaa Tz ila avatar yako naona utakua wewe mwanamke labda kama msagaji ningekutuma waliko hao hata wa buku moja.
 
An isolated case not a general perspective ya Tz.
Mbona juzi tumepata Billionea, na mamilionea tunawazidi, ninyi mmejaa chuki na ukabila sisi tunakula bata tu, tunakula na kusaza, hakuna Mtanzania anayelalamikia chakula eti njaa kali.
 
Makahaba wapo hata kesho sio zamani tu, ningekutuma hapo maeneo kadhaa Tz ila avatar yako naona utakua wewe mwanamke labda kama msagaji ningekutuma waliko hao hata wa buku moja.

Wacha uzushi, Nairobi wanajiuza mchana
 
Nairobi huu ni mwezi wa tatu hamna maji alafu watu wanakuja hapa kupigapiga kelele
Nyie mlishawahi sikia dar kuna shida ya maji
 
Mchana maana usiku kuna curfew hivyo wateja wako mchana tu, ikifika jioni kila mtu kwake.....

Ila mkuu pamoja na kwamba kuna wauza NYAMA wengi sana hapo kenya ila bado mnaongoza kwa vitendo vya ubakaji. Shida ni nini asee mnakuwa wabakaji namna hiyo?
 
Kuna vitu vingine unavisoma halafu unabidi ucheke tu pekee yako, mtoa mada kaja na hadithi tu ya kujifariji, baada ya kugundua wabongo tulishawashitukia wakenya na uongo wao wa kupretend wapo vizuri kumbe hali halisi most of them wanaishi kama wapo jehanamu ndani ya Kenya.

PSX_20200627_170657.jpg
PSX_20200627_170517.jpg
PSX_20200627_170354.jpg
PSX_20200627_170312.jpg
 
Ila mkuu pamoja na kwamba kuna wauza NYAMA wengi sana hapo kenya ila bado mnaongoza kwa vitendo vya ubakaji. Shida ni nini asee mnakuwa wabakaji namna hiyo?

Leta takwimu za wabakaji Kenya baina mataifa mengine, ila pia kumbuka Kenya sisi ni wawazi kwenye kuanika maradhi, hatufichi kama mlivyoficha corona, hivyo utaona visa vingi vikitangazwa maana media zetu zipo makini, ila kwenu huko mumeshakua kama Korea Kaskazini, kila kitu siri ya ndani.
 
Kuna vitu vingine unavisoma halafu unabidi ucheke tu pekee yako, mtoa mada kaja na hadithi tu ya kujifariji, bahada ya kugundua wabongo tulishawashitukia wakenya na uongo wao wa kupretend wapo vizuri kumbe hali halisi most of them wanaishi kama wapo jehanamu ndani ya kunyaland
View attachment 1490321View attachment 1490322View attachment 1490323View attachment 1490325
You are multidimentional poverty stricken, huna la kusema, hali yenyu ni duni spread across the country, hakuna cha kujifajiri hapa kwa mkenya ama mtanzania, ukweli teweke peupe. Kwanza wewe na hizo fikra zako lazima uko miongoni mwa masikini East Africa, tajiri hafikiri kama wewe, they are always rational.
 
Leta takwimu za wabakaji Kenya baina mataifa mengine, ila pia kumbuka Kenya sisi ni wawazi kwenye kuanika maradhi, hatufichi kama mlivyoficha corona, hivyo utaona visa vingi vikitangazwa maana media zetu zipo makini, ila kwenu huko mumeshakua kama Korea Kaskazini, kila kitu siri ya ndani.

Mimi nazungumzia ubakaji Tz na kenya. Kenya rate ya ubakaji ipo juu sana. hata huku Tz ubakaji upo na hakuna anaevumilia huo ujinga na watu wana andika sana na kuandamana. Ila kenya imezidi. Hapa siongelei media tu, ila uhalisia wa maisha mtaani. Sexual abuse iko juu sana huko budaa.
 
A personal opinion cannot be used for scientific measure in research, thus is not a representative of the whole, ni maoni tu[emoji23][emoji23], naweza kusema Arusha ni bora kuliko Mwanza na nikaweka mwonekano wangu kibinafsi, haimaanishi ni ukweli. Post factual scientific data. Utafiti ambao umefanywa na reputable bodies, wacha kujitetea, Tanzania bado ni baadhi ya nchi zilizo masikini sana duniani., Kenya pia., ila mbona mnawekwa the most in EAC kila mwaka? Uzi imefafanua na kuonyesha. Wengi wanapita kimya kimya kwa vile ni hali yao kamili.
 
You are multidimentional poverty stricken, huna la kusema, hali yenyu ni duni spread across the country, hakuna cha kujifajiri hapa kwa mkenya ama mtanzania, ukweli teweke peupe. Kwanza wewe na hizo fikra zako lazima uko miongoni mwa masikini East Africa, tajiri hafikiri kama wewe, they are always rational.
Najua hilo ni povu, kigezo kikubwa cha kupima umaskini tunahangalia pale watu wanapokosa hata uhakika wa chakula ni bora ukakosa vyote lakini sio kukosa msosi, huo ndio umasikini mkubwa kuliko vyote, kwani kama mtu awezi hata kujimudu kwa chakula usitegemee anaweza kufanya kitu chochote kile cha maendeleo and this is reason why most kunyaland citezens wanaishi jehanamu
 
Kukosa chakula Kenya hufanyika wakati wa kiangazi haswa kwa wale jamii wa kutangatanga na mifugo (nomadic tribes) na wale wanao ishi sehemu za jangwa, hiyo inaitwa hunger caused by drought not poverty[emoji23][emoji23][emoji23]wewe ni mjinga wa fikra kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], sio kisa cha kila siku, au mwaka mzima. Lakini umasikini ni ule wa kila siku, January hadi Januari hali ni ile ile. Wale watu wa Turkana na Wasomali kule Northern parts za Kenya ambao sazingine njaa inawasumbua na mifugo zao kukufa wakati wa kiangazi, wengi ni matajiri kukushinda wewe. Mtu unaweza kukuta anamiliki Ng'ombe zaidi ya elfu., ila sijui kwa nini hawapendi kuchinja kirahisi iwe kitoweo.

Seasonal lack of food is not necessarily poverty, serikali huwa inachelewa kufukisha chakula., siasa na ufisadi. Ila kwenyu umasikini ni wa January to January., na ni multidimentional kama unaelewa. Mko ovyo, ni propaganda za ccm zinawapumbaza; huu ujinga wako peleka kwa section ya Tanzania kwa hii jf jukwa la habari na hoja mchanganyiko ama news section uone vile watanzania wenye akili timamu watakukashifu., most dont tolerate ccm diehards anyhowly. Pale hauna sauti wewe. Hapa unakuja kumwaga porojo na fikra zako finyu., wewe binafsi uko among the poor Africans.

Najua hilo ni povu, kigezo kikubwa cha kupima umaskini tunahangalia pale watu wanapokosa hata uhakika wa chakula ni bora ukakosa vyote lakini sio kukosa msosi, huo ndio umasikini mkubwa kuliko vyote, kwani kama mtu awezi hata kujimudu kwa chakula usitegemee anaweza kufanya kitu chochote kile cha maendeleo and this is reason why most kunyaland citezens wanaishi jehanamu
Wewe ni wa hizi makao, this is your level na hili liko wazi from your reasoning; hizi fikra zako zinatokana na hali duni ya maisha yako, na pia mashambani kwenu ni sawa tu na hiyo picha ya tatu, hauna utajiri wowote wewe;
[emoji116][emoji116][emoji116]
residential-area-of-dar-es-salaam-tanzania-east-africa-E0DRF2.jpg
residents-of-temeke-a-slum-in-dar-es-salaam-tanzania-east-africa-collect-C94T2T.jpg
images-82.jpg
 
Back
Top Bottom