Why Tanzania is among the leading in multidimensional poverty in Africa?

Why Tanzania is among the leading in multidimensional poverty in Africa?

Kukosa chakula Kenya hufanyika wakati wa kiangazi haswa kwa wale jamii wa kutangatanga na mifugo (nomadic tribes) na wale wanao ishi sehemu za jangwa, hiyo inaitwa hunger caused by drought not poverty[emoji23][emoji23][emoji23]wewe ni mjinga wa fikra kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], sio kisa cha kila siku, au mwaka mzima. Lakini umasikini ni ule wa kila siku, January hadi Januari hali ni ile ile. Wale watu wa Turkana na Wasomali kule Northern parts za Kenya ambao sazingine njaa inawasumbua na mifugo zao kukufa wakati wa kiangazi, wengi ni matajiri kukushinda wewe. Mtu unaweza kukuta anamiliki Ng'ombe zaidi ya elfu., ila sijui kwa nini hawapendi kuchinja kirahisi iwe kitoweo.
Seasonal lack of food is not necessarily poverty, serikali huwa inachelewa kufukisha chakula., siasa na ufisadi. Ila kwenyu umasikini ni wa January to January., na ni multidimentional kama unaelewa. Mko ovyo, ni propaganda za ccm zinawapumbaza; huu ujinga wako peleka kwa section ya Tanzania kwa hii jf jukwa la habari na hoja mchanganyiko ama news section uone vile watanzania wenye akili timamu watakukashifu., most dont tolerate ccm diehards anyhowly. Pale hauna sauti wewe. Hapa unakuja kumwaga porojo na fikra zako finyu., wewe binafsi uko among the poor Africans. Wewe ni wa hizi makao, this is your level na hili liko wazi from your reasoning; hizi fikra zako zinatokana na hali duni ya maisha yako, na pia mashambani kwenu ni sawa tu na hiyo picha ya tatu, hauna utajiri wowote wewe;
[emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1490351View attachment 1490352View attachment 1490353
Duh.. Dogo hivi hapo unaona hao raia ni masikini? Unaona hapo hao watoto na madumu yao wanachezea maji safi yanayotoka kwenye bomba? Huoni hapo kama kuna nguzo kabisa za umeme?

Yani hapo kuna kila huduma muhimu kama maji na umeme alafu ndio unatumia kam reference ya umasikini?
Siyo mzima wewe!
 
Cape town pia inakosa maji sana, and Dar cannot be mentioned in the same sentence na Cape Town., and get your facts right. Uliona ni Nairobi yote ama sehemu? Si watu wangekua wamekufa, three weeks! I showered from flowing water from my instant shower tap, sikutumia basin[emoji23][emoji23] hii propaganda ni yako; get proper information next time.
Nairobi huu ni mwezi wa tatu hamna maji alafu watu wanakuja hapa kupigapiga kelele
Nyie mlishawahi sikia dar kuna shida ya maji
 
Nyaya za umeme zenye wengi cant afford to drop in their houses!, maji pia Kenya iko sehemu nyingi ata kwa slums na pia umeme., so it is not necessarily a measure of individuals standard of living. Bado mko na maisha duni., kiukweli Africa iko nyuma sana! Very few countries ndio wako na sauti ukiondoa South Africa, ambao pia wanasambaratika kila uchao.,
Duh.. Dogo hivi hapo unaona hao raia ni masikini? Unaona hapo hao watoto na madumu yao wanachezea maji safi yanayotoka kwenye bomba? Huoni hapo kama kuna nguzo kabisa za umeme?

Yani hapo kuna kila huduma muhimu kama maji na umeme alafu ndio unatumia kam reference ya umasikini?
Siyo mzima wewe!
 
Success stories za Agriculture ziko kote kote East Africa, from Burundi, Rwanda, Uganda na Kenya, hapa hakuna jipya, I am an Agribiz enthusiast na nime watch a lot of video clips za many people from East Africa who have made it big in Agribusiness wakitumia technology za kisasa kwa ukulima na ufugaji. Sio Tanzania pekee, wacha kuji console, in general watanzania wengi ni masikini lakini nchi ni tajiri, imebarikiwa naturally. It will take individual effort kujikwamua kwa umasikini.
Leta za kenya kama hizo tuone
 
Nyaya za umeme zenye wengi cant afford to drop in their houses!, maji pia Kenya iko sehemu nyingi ata kwa slums na pia umeme., so it is not necessarily a measure of individuals standard of living. Bado mko na maisha duni., kiukweli Africa iko nyuma sana! Very few countries ndio wako na sauti ukiondoa South Africa, ambao pia wanasambaratika kila uchao.,
Kembe wewe hujui kitu kuhusu tz,!

Usifikiri hatuangalii huko Kenya, citizentv kwa mfano haiwezi kupita taarifa bila kuonesha watu wenye njaa!
 
Mbona musi translate that into wealth among your poor populace?, those are nothing to prove mko nafuu, I can throw here videos of farming across Kenya, especially mechanized farming from Rift Valley to Trans-Nzoia, propaganda za kuwapumbaza ilhali kiukweli wengi hawana hayo maisha ni wanabiashara wajanja tu, wengi wenyu hapa ni lifestyle ya Tandale, wakirudi mashambani life ni hii level
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Hahahaha... Umewapiga misumari ya moto mkuu
images-89.jpg
images-84.jpg
images-86.jpg
images-81.jpg
 
Nenda youtube ushangae, utafyata., I like facts., then come and tell everyone I lied., will be here waiting., check right away.,
Leta za kenya kama hizo tuone
 
Ukweli unawauma sana, jitahidi mtoke kwa ufukara, muache misifa za bure.,
Kembe wewe hujui kitu kuhusu tz,!

Usifikiri hatuangalii huko Kenya, citizentv kwa mfano haiwezi kupita taarifa bila kuonesha watu wenye njaa!
 
Mbona musi translate that into wealth among your poor populace?, those are nothing to prove mko nafuu, I can throw here videos of farming across Kenya, especially mechanized farming from Rift Valley to Trans-Nzoia, propaganda za kuwapumbaza ilhali kiukweli wengi hawana hayo maisha ni wanabiashara wajanja tu, wengi wenyu hapa ni lifestyle ya Tandale, wakirudi mashambani life ni hii level
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1490495View attachment 1490496View attachment 1490497View attachment 1490498
Duh.. Sasa hii hata USA watu kama hao wapo lakini tunachoangalia ni wingi na kiwango chao cha umasikini!
Kama mtu anakosa hadi chakula hapo kuna shida na kwenye hili katika nchi hizi mbili Tz na Kenya, Kenya inatisha kwa umasikini.
 
Ukweli unawauma sana, jitahidi mtoke kwa ufukara, muache misifa za bure.,
Nmekushangaa sana kutumia sehemu yenye huduma zote muhimu maji na umeme kama reference ya umasikini!

Kumbe sisi tz tuko juu sana
 
Duh.. Sasa hii hata USA watu kama hao wapo lakini tunachoangalia ni wingi na kiwango chao cha umasikini!
Kama mtu anakosa hadi chakula hapo kuna shida na kwenye hili katika nchi hizi mbili Tz na Kenya, Kenya inatisha kwa umasikini.
Facts never lie, kukosa chakula huwa seasonal kwa wale wanao ishi sehemu za jangwa wakati wa ukame., na mara mingi ni kuzembea kwa serikali ama ufisadu wanachukua muda kufikisha chakula. Ingekua mtu anakosa chakula kutoka January hadi December basi hiyo ingekua umasikini wa kiaina, ndio maana when research is done, with critical analysis ya hali halisi ya watu East Africa, Tanzania inapatikana wengi wenye maisha fukara siku zote.,
 
You are multidimentional poverty stricken, huna la kusema, hali yenyu ni duni spread across the country, hakuna cha kujifajiri hapa kwa mkenya ama mtanzania, ukweli teweke peupe. Kwanza wewe na hizo fikra zako lazima uko miongoni mwa masikini East Africa, tajiri hafikiri kama wewe, they are always rational.
Ivi huwa unanzishag mada gani ww acha upimbi...ivi kwa maisha ya Tz unawez linganish na nchi gn apa EA.....ww unaonekan hata mana y umaskin huelew ...pumba tuupu....nyie ndio maskini wakutupwa n kigiiiidiipiii chenu.....mfano mzuri chukua mkulima anae kaa shamba anamilik fertile soil ,anafuga ,anaumem n maji juu...kwa akili yako iyo y kisoda unamwita maskin...nanyie tuwaitaj.. ...tuliza kende leta mada zinazo elewek siyo huu upumbav
 
Ukweli unauma, CCM won't allow such to be broadcasted, wewe kama uko sawa usifikiri wenzako pia wako vile. Chrisrina Shusho kakiri kwa wimbo; "umasikini sasa ndio wimbo...utukumbuke" nami nasema amina kwa hilo ombi. Maulana atawakumbuka, kubali hali mpone.
Wacha kutuletea vitu vyakijinga...hutaa ukute Tz kuna watu wamekonda au kufa na njaaa...ayo mambo mnayo kenya na ndugu zenu somalia
 
Povu ruksa [emoji23][emoji23] endelea kuzimwaga, nilijua ukweli na watanzania humu(sio wote) ni kama maji na mafuta. East Africa Tz rules in numbers living in extreme poverty., ukatae ukubali, poverty is too visible in Tz, nikama kikohozi, haifichiki. Wewe tulia hakuna vita humu, it was factual information being passed across.
Ivi huwa unanzishag mada gani ww acha upimbi...ivi kwa maisha ya Tz unawez linganish na nchi gn apa EA.....ww unaonekan hata mana y umaskin huelew ...pumba tuupu....nyie ndio maskini wakutupwa n kigiiiidiipiii chenu.....mfano mzuri chukua mkulima anae kaa shamba anamilik fertile soil ,anafuga ,anaumem n maji juu...kwa akili yako iyo y kisoda unamwita maskin...nanyie tuwaitaj.. ...tuliza kende leta mada zinazo elewek siyo huu upumbav
 
Ukweli unauma, CCM won't allow such to be broadcasted, wewe kama uko sawa usifikiri wenzako pia wako vile. Chrisrina Shusho kakiri kwa wimbo; "umasikini sasa ndio wimbo...utukumbuke" nami nasema amina kwa hilo ombi. Maulana atawakumbuka, kubali hali mpone.
Ww unaonekan hujui chochote kusu Tz ....yn uko sifurii kabisa unazani hii ni Kenya ....mm nakwambia hakuna mtu wa aina iyo Tz kubal kata dat's on you ...hiii siyo nchi ya kibeberu kama yenu hii ni mixed economy ikiwa n root za socialism....alafu kuna large peace of fertile land ....so jua huku njaaa tuliwachia nyie paper gdp
 
Umesahau taarifa ya watoto kukula kinyesi kwa kukosa chakula in Tanzania? Unaishi upande upi wa Tz?
Ww unaonekan hujui chochote kusu Tz ....yn uko sifurii kabisa unazani hii ni kunya ....mm nakwambia hakuna mtu wa aina iyo Tz kubal kata dat's on you ...hiii siyo nchi ya kibeberu kama yenu hii ni mixed economy ikiwa n root za socialism....alafu kuna large peace of fertile land ....so jua huku njaaa tuliwachia nyie paper gdp
 
Back
Top Bottom