Why Tanzanian media tell white lies about Economic growth.

Why Tanzanian media tell white lies about Economic growth.

Hakuna report ya world bank hebu wema moja tuione


Kwani tofauti kati ya World bank na IMF ni nini? Au unafikiri anayesema TZ inakuwa kwa 7% ni Serikali ya TZ? Hii iko recorded kila mahali na TZ wanachukuwa hizo takwimu huko kwa Wazungu na kuzichapisha.

Hivyo kama mnabisha mlipaswa mbishane na hao Wazungu wa hizo taasisi wanaochapisha hizi datas!
 
It depend na media stations unazopendelea maana kuna entertainment based kama clouds na zile informative kama Itv, capital etc..... so its more of yo own preference bro

For instance, a recent scandal emerged in your country involving 1.5tr and not one single media has done investigative journalism and analysis apart from reporting what the government says.

See below an example of a similar story in Kenya, how media dares to report the issues
 
Depay ni hater hana lolote,sasa report ya imf wewe uipinge kisa unabundle la safaricom na smart phone?
Tafuta kazi ufanye

Na wewe ni Troll, Kazi yako ni kubangaiza chapati mayai halafu unakuja hapa na faeces in between your ears
 
Back
Top Bottom