Why the Tanzania-Kenya economic rivalry misses the point

Why the Tanzania-Kenya economic rivalry misses the point

kenya walidhani watafaidika kwa kuudhoofisha uchumi wa tanzania, sasa wamegundua nini? kenya amekuwa jiani mnafiki sana na anayeitakia Tanzania mabaya muda wote. Sasa tumeamua, kila mtu atakula kwa jasho lake, no free lunch especially for kenyans
Kenya is now working with ethiopia its building a northern corridor we concentrating on IGAD than EAC (east african community) maneno ya tanzania tutafunga soon... hatusaidiani ni vitina tu
 
Tanzania tukiamua, hata hiyo GDP yenu itakuwa historia. Tulifungia kenya airways week moja tu ndege zote mkazipack! kenya ni masikini jeuri asiyejitambua
Hivo ndo raisi wenyu awadanganya but hamjui ukweli kwa ground
 
Kenya is now working with ethiopia its building a northern corridor we concentrating on IGAD than EAC (east african community) maneno ya tanzania tutafunga soon... hatusaidiani ni vitina tu
aliyewadanganya ethiopia kuna vya bure ni nani? acheni ujanja janja, Tanzania tuna SADC yenye mataifa 16 ikiwemo DRC na Tanzania ina uanachama wa damu na si wa kimasilahi kama wa EAC
 
kwahiyo kukaa kwako kwe hizo slum bila kazi na kuitukana Tanzania ndo ajira yako au??ujinga kujifananisha na afrika kusini..cha kujifunza ni kua kama ilivyo afrika kusini ajira kushikwa na ngozi nyeupe chache kenya ajira zimeshikwa na makabila machche na familia ya kenyata,mliobaki mmekua watumwa kwenye nchi yenu wenyewe
Slum zipi? Hauonangi news sahii tafuta hata kibera uone kama inakaa slum yako ya kawaida... huwezi compare tanzania hata hakuna decent toilets watu wanatumia choo za shimo
 
aliyewadanganya ethiopia kuna vya bure ni nani? acheni ujanja janja, Tanzania tuna SADC yenye mataifa 16 ikiwemo DRC na Tanzania ina uanachama wa damu na si wa kimasilahi kama wa EAC
Ni sawa lakini ndivyo mambo yalivyo sasa tushafungua mipaka moyale tumejenga one stop boarder point tushajenga njia direct from lamu all the way to Addis ababa wacha tu tujaribu north labda mambo tutakua tofauti
 
we
Ukisoma kitu Soma na mwaka ilipo andikwa hiyo ni miaka Kumi iliyopita tafuta updated news na si mimi nilisema tanzania hakuna choo ni utafiti usinilaumu mimi kama hamna choo
mwehu nn article ya 2017 unasema miaka 10 nyuma....kwahiyo within 3 years now hamjisaidii kwe mifuko
 
we

mwehu nn article ya 2017 unasema miaka 10 nyuma....kwahiyo within 3 years now hamjisaidii kwe mifuko
Hapana kibera ilijengwa kila sehemu sasa ina lami stima na basic needs and housing rehabilitation project inaendelea huko tafuta YouTube latest videos za kibera utaona sasa baki nyinyi tu na vyoo vibovu
 
Hapana kibera ilijengwa kila sehemu sasa ina lami stima na basic needs and housing rehabilitation project inaendelea huko tafuta YouTube latest videos za kibera utaona sasa baki nyinyi tu na vyoo vibovu
tatizo moja wakenya mmekua kama zombies...kenyata anawashikashika mashavu then anawanyonya big tyme akiishi kwe posh places..sasa hiyo bange unayovuta uendelee vuta..lakini bado mnajisaidia kwenyemifuko mora than 1 million inhabitants in kibera...kupitisha road iliyokua infrated bei haizuiii kujisaidia kwe mifuko Life on $1 a day in Kibera, Africa’s largest slum – photo report - Minority Rights Group
 
Wacha kusoma report za NGOs wanaotaka wapate msaada kutoka nje kibera census ilifanywa kibera ina population ya 180,000 pekee na nimekuambia angalia YouTube kibera ya sasa kama huwezi wacha nikupe links
tatizo moja wakenya mmekua kama zombies...kenyata anawashikashika mashavu then anawanyonya big tyme akiishi kwe posh places..sasa hiyo bange unayovuta uendelee vuta..lakini bado mnajisaidia kwenyemifuko mora than 1 million inhabitants in kibera...kupitisha road iliyokua infrated bei haizuiii kujisaidia kwe mifuko Life on $1 a day in Kibera, Africa’s largest slum – photo report - Minority Rights Group
 
Wacha kusoma report za NGOs wanaotaka wapate msaada kutoka nje kibera census ilifanywa kibera ina population ya 180,000 pekee na nimekuambia angalia YouTube kibera ya sasa kama huwezi wacha nikupe links
ushakunya kwenye makopo lakin?? yaani we jamaa unataka niamini youtube links badala ya credible news..mna matatizo nyie ndo maana mama ngina anawapiga ela tu
 
tatizo moja wakenya mmekua kama zombies...kenyata anawashikashika mashavu then anawanyonya big tyme akiishi kwe posh places..sasa hiyo bange unayovuta uendelee vuta..lakini bado mnajisaidia kwenyemifuko mora than 1 million inhabitants in kibera...kupitisha road iliyokua infrated bei haizuiii kujisaidia kwe mifuko Life on $1 a day in Kibera, Africa’s largest slum – photo report - Minority Rights Group
Angalia hizo mbili uniambie kama hiyo ni kibera unavyo fikiria .. ndiyo ni slam bado lakini its improved

 
Hata south africa ukosefu wa Ajira upo juu.. hiyo ndo shida ya inchi kudevelope.... watu wanasoma wengi halafu wanauza kubagua kazi za mkono na za jua kali wakibagua kazi wengi wanabaki unemployed. Si jipya hilo
Kwahiyo Japan na Europe hawajaendelea kwasababu unemployment is less than 4%?
 
ushakunya kwenye makopo lakin?? yaani we jamaa unataka niamini youtube links badala ya credible news..mna matatizo nyie ndo maana mama ngina anawapiga ela tu
YouTube ni video imechukuliwa vile hali ilivyo si maneno Maneno tu wewe hufiriii
 
Kwahiyo Japan na Europe hawajaendelea kwasababu unemployment is less than 4%?
Hizo ni first class economies this how it works kwanza mko third class any job goes so low unemployment then you strive to middle class economy demand for good job rises people become highly unemployed, The moment kumekua na that demand and you solve it by creating many high end jobs sasa you comfortably start achieving first class economy status hope that helps you understand
 
Ni mojawapo ya ushindani wa hovyo sana kati ya nchi, fursa kubwa ya ukuaji uchumi maendeleo inapotezwa kwa ushindani usio na tija.
Wote tunapoteza
 
hivi unajua kwa haya maneno yako umeitukana tanzania kua ni nchi ya kipuzi?ama hulifahamu hilo

mwenye kichaa chepesi kama wewe anaona nimeitukana tz,ila akili kubwa anajua ni safari ndefu tuliyo nayo nazungumzia hapa.

kama nyinyi kenya mnadhani $100bln ni nyingi sana,ni upuuzi mko nao.
 
Back
Top Bottom