Why the WARIOBA COMMISSION has failed the nation in many ways!

Why the WARIOBA COMMISSION has failed the nation in many ways!

Ibara 20.-(b) (iii) ninashauri iwekwe wazi na kuondoa utata uliojitokeza hapa kwa kuirekebisha kama ifuatayo:-
"Kutoshiriki kabisa katika shughuli za biashara kwa wakati wote ambao atakuwa mtumishi wa umma."

Ibara 21 (1) ninashauri isomeke kama ifuatavyo:-
"Mtumishi wa umma aliye katika ajira ya kudumu hataruhusiwa kuingia kwenye ajira nyingine ye yote ile yenye ujira wa aina yoyote ile siku za kazi ili kuboresha utendaji wake wa kazi aliyoajiriwa nayo na kutonyima wananchi wengine nafasi ya kuzifanya kazi hizo za muda au kudumu."
Ibara 21(4) ninashauri isomeke kama ifuatavyo:-
"Nafasi ya utumishi kwenye Bodi za wakurugenzi wa taasi wa umma hautazidi vipindi viwili au jumla ya miaka sita kwa kila atakayetunukiwa wadhifa tajwa."
Ninashauri kuongeza Ibara ndogo ya 21 (5) na isomeke kama ifuatavyo:-
"Utumishi wa umma kwenye ujumbe wa kamishina zilizoanishwa ndani ya katiba hii utakuwa wa kipindi kimoja kisichozidi miaka sita."
Ibara ya 24 (5) iongezwe maneno yafuatayo kati ya maneno yafuatayo:- "Mahala walipotokea" na " maoni yao ya kisiasa"
"maeneo wanayoishi"
Ibara Na. 24 (7) (g) ninashauri iongezwe kama ifuatavyo:-
" Ni marufuku kwa mtu kuadhibiwa mara mbili au zaidi kwa kosa lilelile."
Ibara Na. 38 (1) (e) ninashauri isomeke kama ifuatavyo:-
"Kupelekwa mahakamani ndani ya siku mbili za siku za kazi tangu siku aliyokamatwa."
Ibara ndogo ya 39 (3) ninashauri iongezewe maneno yafuatayo mwishoni mwa sentensi hiyo:-
"…….isipokuwa pale ambapo taifa hili kupitia maidhinisho ya bunge letu limeafikiana na mataifa mengineyo kubadilishana watuhumiwa wa makosa ya jinai tu."
Katika Ibara ndgo ya 42 (1) (d) ninashauri iondolewe koma na kuwekwa maneno yafuatyo kama mbadala wake:-
"……………..ikiwa ni pamoja na…….."
Ibara na. 57 irekebishwe kwa kuondoa maneo ya Tanzania bara na kuwekwa Tanganyika kwani hakuna Tanzania bara kama hakuna Tanzania visiwani. Kwa mtazamo mwingine mbadala ni kuwa serikali zilizoungana ni ya Tanganyika na ya Zanzibar sasa hii ya Tanzania bara uhalali wake unatoka wapi kisheria zaidi ya kuwa ni hekalu linaloelea hewani na halina msingi wa kisheria wa kusimamia.
Ibara ya 69 (1) (h) iilipe bunge mamlaka ya kuhakiki teuzi husika kama zimezingatia mahitaji ya husika.

Ibara 69 (1) (k) Kifutwe. Adhabu ya kifo iondolewe kwani inakiuka haki za msingi za kuishi kwa mwanadamu na tangia adhabu hii kutolewa haijaweza kuleta mabadiliko ya tabia za wahalifu wa aina hii.
Ibara 69 (2) Isomeke kwa kupata kibali cha Bunge kwenye utekelezaji wa madraka hayo.
Ninashauri iongezwe Ibara ndogo ya 69 (5) Bunge litakuwa na mamlaka ya kuhakiki na kuidhinisha maamuzi haya kabla ya utekelezaji wake.
Ibara Na. 75 (d) Isomeke ana umri wa miaka 18 badala ya 40 kwa sababu inakinzana na ibara zifuatazo 6 (a), 24 (3), 33 (1), 33 (2) na 34 (2).

Ibara 82 (1) (2) kifutwe hatuhitaji adhabu ya kifo.
Ibara 84 (12) igeuzwe na kuwa zaidi ya nusu ya wabunge wote kulingana na ujumla wao bila ya kuzingatia mahudhurio yao badala ya robo tatu kama ilivyopendekezwa. Inakuwaje kuwa Rais ni nusu ya kura lakini kumwondoa masharti yanakuwa makubwa zaidi?

Tatizo jingine la kuweka masharti makubwa ya kumwonda Raisi madarakani ni kuwa hana uhalali na ndiyo maana anahitaji katiba kumlinda.

Ibara 85 (2) irekebishwe kuhusisha watumishi wite wa umma kunufaika na angalizo hili ili kuondoa aina zote za ubaguzi wa kinyadhifa.
 
I understand your frustrations with everything constitutional but because you have candidly admitted ignorance for the first time; I honestly feel you deserve, a little of free constitutional tutorials from me!
I will go as far as saying thanks for the trouble in presenting your facts (the gesture is based on the understanding that you do read), as for giving me a tutorial on the constitution matters i don't know about that even though i am not a dab-hand on the matters.

But due to the time limitation, I will refer you to the Court of Appeal decision (supra) that was before the 7 justices chaired by the then Chief Justice Augustine Ramadhan -

in throwing out Mtikila's pleas for the Court to strike out a number of Articles (2) in the Constitution for being unconstitutional regarding the issue of prohibition of the private/ independent candidates- the Court sought and secured succour in Articles of the same Constitution which empower the House to amend it!
Reasonably Mr Mtikila had no case at all from the beginning, all he did was exercising his rights as a citizens in questioning his constitutional rights as a political candidate. To think the amount of time he had been given and the chances to challenge the constitution i don't think it will be fair to criticize the government for not being fair on this matter.

Based on the attachment you have included in post #1

Mtikila's built his case based on this constitutional element,

Rev. Mtikila's contention before LUGAKINGIRA, J. (as he then was) was that the requirement for membership of and sponsorship by a political party abridged the right to participate in national public affairs under Art.

21(1) of the Constitution which provides:- Every citizen of the United Republic is entitled to take part in matters pertaining to the governance of the country, either directly or through representatives freely elected by the people in conformity with procedures laid down by, or in accordance with, the law.
Kwa maana hiyo katiba hipo wazi and clear taratibu za sheria lazima zifuatwe hili zoezi lifanyike, hivyo Mtikila amekuwa akisumbua tu mahakama kwenye hili suala la mgombea binafsi kwa sababu sheria mama hipo very plain

The Eighth Constitutional Amendment Act, 1992. That Act amended Art. 39 which previously provided as follows:
No person shall be eligible for election to the office of President of the United Republic unless he -(a) has attained the age of forty years; and (b) is otherwise qualified for election as a Member of the National Assembly or of the (Zanzibar) House of Representatives.

The Eighth Amendment retained the above paragraphs but re-numbered them as (b) and (d) respectively and added new paragraphs (a) and (c)which state: (a) is a citizen of the United Republic by birth; (c) is a member of and sponsored by a political party.
That requirement for membership of and sponsorship by a political party applies also to parliamentary elections under Articles 67 and 77 and to localcouncils elections under s. 39 of the Local Authorities (Elections) Act, 1979, as amended by the Local Authorities (Elections) (Amendment) Act, (Act No 7 of 1992).

Kwa hiyo from the beggining Mtikila hakuwa na kesi ya kusikilizwa yaani kikubwa hapo kwake ilikuwa kutumia uhuru wake kama raia ku-challenge lakini kesi hakuwa nayo maana hata mahakama inalijua hili ndio maana swala likaamia huku

Mr. Masaju submitted that since the dispute is on articles of the Constitution of the United Republic then the High Court of Tanzania had no jurisdiction to construe it. With all due respect to the learned Deputy
Hayo yote ni kwasababu sheria hipo wazi ni nani mwenye huwezo wa kubadilisha katiba pekee na majority hipi ya bungeni, namna inaweza isiwe sawa lakini ndio katiba inavyosema.

The Parliament can alter "any provision" of the Constitution. We wish to emphasize "any provision" of the Constitution. Altering has been defined by Art 98(2) to include:
modification or correction of those provisions or repeal and
replacement of those provisions or the re-enactment or
modification of the application of the provisions.

kwa hivyo from the outset it was lobbying matter to the parliamentarians rather than a court issue, as the outcome was clear by law as stated by the constitution.

Now you tell me do you still think we need my uncle who is tired of the current administration too, but has standard four qualification of their time to participate in the process of making the new constitution or should we focus on the right experts sitting in that panel to give us a constitution that makes sure the issue of rights and checks are properly done.

Kwakuwa tunajichanganya wahusika watachukua nafasi hii kuturudishia katiba ambayo itakuwa na pretty much same problems, leo Mkuu wa upelelezi anasema kesi tunazo na ushahidi tunao kisheria DPP ndio mwenye mamlaka kupeleka mahakamani sijui au ndio mwenye kutoa the go ahead. Meaning TAKUKURU is just toothless as they cant prosecute those who are responsible for messing up the economy nor deprive us of our social needs as human-beings of the 21 century, sasa sijui Mkandawire atachangia nini hapa kwenye technical issue hizi za checks kwenye katiba.

Ndio maana wengine tunaona hili suala mmelitoa kwenye vitu ambavyo ni kero kama kuhakikisha accountability na kuanza kutuamishia mpira kwenye masuala ya muungano na other unnecessary calls. Muungano huwepo usiwepo mafisadi watakuwepo tu kama njia zao azija zibwa.
 
I will go as far as saying thanks for the trouble in presenting your facts (the gesture is based on the understanding that you do read), as for giving me a tutorial on the constitution matters i don't know about that even though i am not a dab-hand on the matters.

But due to the time limitation, I will refer you to the Court of Appeal decision (supra) that was before the 7 justices chaired by the then Chief Justice Augustine Ramadhan -

in throwing out Mtikila's pleas for the Court to strike out a number of Articles (2) in the Constitution for being unconstitutional regarding the issue of prohibition of the private/ independent candidates- the Court sought and secured succour in Articles of the same Constitution which empower the House to amend it!


Reasonably Mr Mtikila had no case at all from the beginning, all he did was exercising his rights as a citizens in questioning his constitutional rights as a political candidate. To think the amount of time he had been given and the chances to challenge the constitution i don't think it will be fair to criticize the government for not being fair on this matter.

Based on the attachment you have included in post #1

Mtikila's built his case based on this constitutional element,

Rev. Mtikila's contention before LUGAKINGIRA, J. (as he then was) was that the requirement for membership of and sponsorship by a political party abridged the right to participate in national public affairs under Art.

21(1) of the Constitution which provides:- Every citizen of the United Republic is entitled to take part in matters pertaining to the governance of the country, either directly or through representatives freely elected by the people in conformity with procedures laid down by, or in accordance with, the law.



Kwa maana hiyo katiba hipo wazi and clear taratibu za sheria lazima zifuatwe hili zoezi lifanyike, hivyo Mtikila amekuwa akisumbua tu mahakama kwenye hili suala la mgombea binafsi kwa sababu sheria mama hipo very plain

The Eighth Constitutional Amendment Act, 1992. That Act amended Art. 39 which previously provided as follows:
No person shall be eligible for election to the office of President of the United Republic unless he -(a) has attained the age of forty years; and (b) is otherwise qualified for election as a Member of the National Assembly or of the (Zanzibar) House of Representatives.

The Eighth Amendment retained the above paragraphs but re-numbered them as (b) and (d) respectively and added new paragraphs (a) and (c)which state: (a) is a citizen of the United Republic by birth; (c) is a member of and sponsored by a political party.
That requirement for membership of and sponsorship by a political party applies also to parliamentary elections under Articles 67 and 77 and to localcouncils elections under s. 39 of the Local Authorities (Elections) Act, 1979, as amended by the Local Authorities (Elections) (Amendment) Act, (Act No 7 of 1992).



Kwa hiyo from the beggining Mtikila hakuwa na kesi ya kusikilizwa yaani kikubwa hapo kwake ilikuwa kutumia uhuru wake kama raia ku-challenge lakini kesi hakuwa nayo maana hata mahakama inalijua hili ndio maana swala likaamia huku

Mr. Masaju submitted that since the dispute is on articles of the Constitution of the United Republic then the High Court of Tanzania had no jurisdiction to construe it. With all due respect to the learned Deputy


Hayo yote ni kwasababu sheria hipo wazi ni nani mwenye huwezo wa kubadilisha katiba pekee na majority hipi ya bungeni, namna inaweza isiwe sawa lakini ndio katiba inavyosema.

The Parliament can alter "any provision" of the Constitution. We wish to emphasize "any provision" of the Constitution. Altering has been defined by Art 98(2) to include:
modification or correction of those provisions or repeal and
replacement of those provisions or the re-enactment or
modification of the application of the provisions.



kwa hivyo from the outset it was lobbying matter to the parliamentarians rather than a court issue, as the outcome was clear by law as stated by the constitution.

Now you tell me do you still think we need my uncle who is tired of the current administration too, but has standard four qualification of their time to participate in the process of making the new constitution or should we focus on the right experts sitting in that panel to give us a constitution that makes sure the issue of rights and checks are properly done.

Kwakuwa tunajichanganya wahusika watachukua nafasi hii kuturudishia katiba ambayo itakuwa na pretty much same problems, leo Mkuu wa upelelezi anasema kesi tunazo na ushahidi tunao kisheria DPP ndio mwenye mamlaka kupeleka mahakamani sijui au ndio mwenye kutoa the go ahead. Meaning TAKUKURU is just toothless as they cant prosecute those who are responsible for messing up the economy nor deprive us of our social needs as human-beings of the 21 century, sasa sijui Mkandawire atachangia nini hapa kwenye technical issue hizi za checks kwenye katiba.

Ndio maana wengine tunaona hili suala mmelitoa kwenye vitu ambavyo ni kero kama kuhakikisha accountability na kuanza kutuamishia mpira kwenye masuala ya muungano na other unnecessary calls. Muungano huwepo usiwepo mafisadi watakuwepo tu kama njia zao azija zibwa.
Last edited by Eric Cartman; Today at 00:14.​

Am glad that you have been doing some serious reading (most of our fellas don't as a matter of habit!)and you seem to have made some informative steps ahead! Bravo! Since Mtikila's case is not the main theme of this thread I will keep my opinions to myself. However, I would like you to comment on whether the House had powers to pass a constitutional amending act under the current constitution and based on the A.G v. Mtikila (supra) ruling by the Appeals Court.
 
Malalami- ko kuhusu uhalali wa uchaguzi wa Urais

78.-(1) Kwa kuzingatia masharti ya Ibara ndogo ya (2), endapo mtu yeyote aliyeshiriki kama mgombea nafasi ya madaraka ya Rais katika Uchaguzi wa Rais hakuridhika na matokeo ya uchaguzi huo, anaweza kuwasilisha malalamiko katika Mahakama ya Juu kupinga matokeo wa Rais yaliyotangazwa na Tume Huru ya Uchaguzi.
(2) Malalamiko ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais yatawasilishwa Mahakama ya Juu ndani ya muda wa siku saba baada ya siku ya kutangazwa kwa matokeo ya Uchaguzi wa Rais. (3) Mahakama ya Juu itasikiliza na kutoa uamuzi wa shauri la kupinga matokeo ya uchaguzi wa Rais katika kipindi cha siku kumi na nne tangu kupokea malalamiko yaliyowasilishwa kwa mujibu wa Ibara ndogo ya (2) na uamuzi huo utakuwa wa mwisho.
(4) Kwa madhumuni ya Ibara ndogo ya (3), Mahakama ya Juu inaweza kutoa uamuzi bila kutoa sababu za uamuzi na sababu hizo zikatolewa ndani ya kipindi kisichozidi siku thelathini tangu siku ya kutoa uamuzi. (5) Iwapo Mahakama ya Juu itaamua kuwa matokeo ya Uchaguzi wa Rais si halali, Uchaguzi wa Rais utarudiwa ndani ya siku sitini baada ya uamuzi kutolewa.

Ibara ya 78 ( 1) inapingana na Ibara ya 6 ambayo imeweka hatma ya nchi hii mikononi mwa raia wakati Ibara ya 78 (1) inawanyang'anya raia haki ya kuhoji matokeo ya uraisi sasa watakuwaje walinzi wa demokrasia kama wananyanganywa haki hii ya msingi kabisa?

SEHEMU YA PILI
MAMLAKA YA WANANCHI, UTII NA HIFADHI YA KATIBA




Mamlaka ya wananchi

6. Jamhuri ya Muungano ni nchi inayofuata misingi ya demokrasia inayozingatia haki ya kijamii, na kwa hiyo:
(a) wananchi ndio msingi wa mamlaka za nchi, na Serikali itapata madaraka na mamlaka yake kutoka kwa wananchi ambao kwa umoja na ujumla wao wanaimiliki na kuipatia Katiba hii uhalali; (b) lengo kuu la Serikali litakuwa ni maendeleo na ustawi wa wananchi; (c) Serikali itawajibika kwa wananchi; na
(d) wananchi watashiriki katika shughuli za Serikali kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.

 
Ibara ya 78 (1) pia inagongana na Ibara ya 52 kama inavyojionyesha hapa:-

Usimamizi wa haki za binadamu

52.-(1) Katika kutafsiri masharti ya Sura hii ya Haki za Binadamu, Mahakama, Baraza au chombo kingine chochote cha kufanya uamuzi kitazingatia mambo yafuatayo: (a) haki ya usawa, utu na uhuru wa mtu binafsi; (b) sheria za kimataifa na haki za binadamu; na (c) haki za jamii na maslahi ya jamii kwa ujumla.
(2) Mtu anayeamini kuwa masharti yaliyomo katika Sura hii yamekiukwa au yanaelekea kukiukwa na mamlaka, chombo cha uamuzi, au sheria au sera yoyote, dhidi yake, anaweza kuwasilisha au kufungua shauri katika Mahakama Kuu kwa hati maalumu ya maombi kwa mujibu wa sheria za nchi ili kupata nafuu inayohitajika. (3) Mahakama inaweza, kwa mujibu wa Ibara ndogo ya (1) kutoa maelekezo itakayoona yanafaa, kuweka zuio, katazo au kuamuru jambo lifanyike ambalo lilikuwa limenyimwa. (4) Shauri katika Mahakama ya kudai haki za kikatiba kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii yanaweza kufunguliwa na: (a) Mtu anayejiwakilisha mwenyewe au taasisi inayowawakilisha wanachama wake; (b) mtu anayemwakilisha mtu ambaye hawezi kujiwakilisha mwenyewe kwa mujibu wa sheria; au (c) mtu anayewakilisha kundi la watu wenye malengo yanayofanana au jamii ya watu fulani wenye kuvunjiwa haki husika.



Haki ya kuhoji mahakamani matokeo ya Uraisi haiwezi kuachiwa wagombea pekaa na kuacha kuheshimu haki ya mpigakura tukiruhusu hivyo basi uwajibikaji kwenye chaguzi zetu utaporomoka sana maana wagombea wanaweza kukubaliana kubeza haki ya wapigakura kwa manufaa yao na wapigakura wakaachwa solemba. Sijaona sababu ya Ibara 78 (1) kuwekwa jinsi ilivyowekwa zaidi ya kulinda ufisadi na tume yenyewe imefurika mafisadi kawahiyo hakuna la kushangaza hapo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Uhuru wa kushiriki shughuli za umma

33.-(1) Kila raia wa Jamhuri ya Muungano ana haki ya kushiriki katika shughuli za utawala wa nchi, ama moja kwa moja au kwa kupitia wawakilishi waliochaguliwa na wananchi kwa hiari yao, kwa kuzingatia utaratibu uliowekwa kwa mujibu wa sheria.
(2) Kila raia ana haki na uhuru wa kushiriki kwa ukamilifu katika kufikia uamuzi juu ya mambo yanayomhusu yeye, maisha yake au yanayolihusu Taifa.



haki zote zilizotolewa na Ibara hii ya 33 zinaporwa na Ibara 78 (1)!!!!!!!!!!!
 
Haki ya wapiga kura kumwaji- bisha Mbunge.

124.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya123 ya Katiba hii, wananchi watakuwa na haki ya kumuondoa Mbunge wao madarakani, endapo Mbunge atafanya mojawapo au zaidi ya mambo yafuatayo:

(a) kuunga mkono sera ambazo zinaenda kinyume na maslahi ya wapiga kura au kinyume na maslahi ya Taifa;
(b) kushindwa kuwasilisha au kutetea kwa dhati hoja zinazotokana na kero za wapiga kura wake;
(c) kuacha kuishi au kuhamisha makaazi yake kutoka eneo la Jimbo la



‐ 50 ‐


Uchaguzi kwa zaidi ya miezi sita bila sababu za msingi;
(d) kutohudhuria vikao vya Bunge vitatu mfululizo bila ya ruhusa ya
Spika;
(e) kuajiriwa au kufanya kazi nyingine na kuacha kuzingatia kazi yake ya kuonana na wapiga kura wake; (f) kufanya biashara, kumiliki makampuni au kuwa na hisa katika makampuni ambayo yana mikataba au mahusiano ya kibiashara na taasisi za umma kwa namna ambayo inaleta mgongano wa kimaslahi;
(g) kutiwa hatiani kwa kosa linalohusiana na rushwa au kosa jingine la jinai;
(h) kutenda kitendo ambacho ni kinyume na maadili au kukosa uaminifu; au (i) mambo mengine yatakayoainishwa kwenye sheria ya Bunge.


(2) Bunge litatunga sheria kuweka masharti ya namna ya kuendesha uchunguzi kwa Mbunge atakayeshindwa kutekeleza majukumu yake kwa wapiga kura wake na utaratibu wa kumuondoa mbunge.

Inapokuja kumwadibisha mbunge tume haina noma kwa wapigakura kufanya hivyo kama Ibara hii ya 124 inavyoelekeza sasa inakuwaje iwe noma kwa mpigakura kuhoji na kumwaibisha Raisi ambaye ameingia mdarakani kinyume na matakwa ya katiba hii?
 
Haki ya wapiga kura kumwaji- bisha Mbunge.

124.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya123 ya Katiba hii, wananchi watakuwa na haki ya kumuondoa Mbunge wao madarakani, endapo Mbunge atafanya mojawapo au zaidi ya mambo yafuatayo:

(a) kuunga mkono sera ambazo zinaenda kinyume na maslahi ya wapiga kura au kinyume na maslahi ya Taifa;
(b) kushindwa kuwasilisha au kutetea kwa dhati hoja zinazotokana na kero za wapiga kura wake;
(c) kuacha kuishi au kuhamisha makaazi yake kutoka eneo la Jimbo la



‐ 50 ‐


Uchaguzi kwa zaidi ya miezi sita bila sababu za msingi;
(d) kutohudhuria vikao vya Bunge vitatu mfululizo bila ya ruhusa ya
Spika;
(e) kuajiriwa au kufanya kazi nyingine na kuacha kuzingatia kazi yake ya kuonana na wapiga kura wake;(f) kufanya biashara, kumiliki makampuni au kuwa na hisa katika makampuni ambayo yana mikataba au mahusiano ya kibiashara na taasisi za umma kwa namna ambayo inaleta mgongano wa kimaslahi;
(g) kutiwa hatiani kwa kosa linalohusiana na rushwa au kosa jingine la jinai;
(h) kutenda kitendo ambacho ni kinyume na maadili au kukosa uaminifu; au(i) mambo mengine yatakayoainishwa kwenye sheria ya Bunge.


(2) Bunge litatunga sheria kuweka masharti ya namna ya kuendesha uchunguzi kwa Mbunge atakayeshindwa kutekeleza majukumu yake kwa wapiga kura wake na utaratibu wa kumuondoa mbunge.

Inapokuja kumwadibisha mbunge tume haina noma kwa wapigakura kufanya hivyo kama Ibara hii ya 124 inavyoelekeza sasa inakuwaje iwe noma kwa mpigakura kuhoji na kumwadibisha Raisi ambaye ameingia mdarakani kinyume na matakwa ya katiba hii?
 

SEHEMU YA TATU UONGOZI WA BUNGE

(a) Spika na Naibu Spika
128.-(1) Kutakuwa na Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na
Wabunge na ambaye atakuwa ndiye Kiongozi wa Bunge na atawakilisha
Bunge katika vyombo na vikao vingine vyote nje ya Bunge.
(2) Waziri, Naibu Waziri, Mbunge au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hii, hataweza kuchaguliwa kuwa Spika. (3) Mtu yeyote atakayechaguliwa kuwa Spika atatakiwa, kabla ya kumaliza siku thelathini tangu kuchaguliwa kwake, kuwasilisha kwa Tume ya Maadili ya Viongozi na Uwajibikaji tamko rasmi kwamba hajapoteza sifa za uchaguzi kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii, tamko hilo litatolewa katika fomu maalum itakayowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.
(4) Spika atatakiwa kuwasilisha kwa Rais nakala mbili za taarifa rasmi ya maelezo ya mali yake, kadri itakavyokuwa, mali ya mke au mume wake.

Ibara 128 (3) na 128 (4) zina migongano mikubwa mbali ya mwingiliano wa mihimili miwili ya serikali. Raisi anatoka wapi na mali za Spika kama vile Spika anatoka wapi na mali za Raisi kama lengo siyo kudhalilishana?

Pili Raisi anatoka wapi kuingilia shughuli za Tume huru ya maadili ya viongozi?

Ushauri: Ibara ya 128 (4) ni yakufuta ili kuondoa migongano tajwa.
 

SEHEMU YA TATU UONGOZI WA BUNGE

(a) Spika na Naibu Spika
128.-(1) Kutakuwa na Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na
Wabunge na ambaye atakuwa ndiye Kiongozi wa Bunge na atawakilisha
Bunge katika vyombo na vikao vingine vyote nje ya Bunge.
(2) Waziri, Naibu Waziri, Mbunge au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hii, hataweza kuchaguliwa kuwa Spika. (3) Mtu yeyote atakayechaguliwa kuwa Spika atatakiwa, kabla ya kumaliza siku thelathini tangu kuchaguliwa kwake, kuwasilisha kwa Tume ya Maadili ya Viongozi na Uwajibikaji tamko rasmi kwamba hajapoteza sifa za uchaguzi kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii, tamko hilo litatolewa katika fomu maalum itakayowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.
(4) Spika atatakiwa kuwasilisha kwa Rais nakala mbili za taarifa rasmi ya maelezo ya mali yake, kadri itakavyokuwa, mali ya mke au mume wake.

Ibara 128 (3) na 128 (4) zina migongano mikubwa mbali ya mwingiliano wa mihimili miwili ya serikali. Raisi anatoka wapi na mali za Spika kama vile Spika anatoka wapi na mali za Raisi kama lengo siyo kudhalilishana?

Pili Raisi anatoka wapi kuingilia shughuli za Tume huru ya maadili ya viongozi?

Ushauri: Ibara ya 128 (4) ni yakufuta ili kuondoa migongano tajwa.
 
125.-(1) Kila shauri kwa ajili ya kupata uamuzi juu ya suala- (a) kama uchaguzi wa Mbunge ulikuwa halali au sivyo; au
(b) kama Mbunge amekoma kuwa Mbunge na nafasi ya madaraka katika Bunge iko wazi au hapana,
litafunguliwa na kusikilizwa kwanza katika Mahakama Kuu.


(2) Bunge laweza kutunga sheria kwa ajili ya kuweka masharti kuhusu mambo yafuatayo-
(a) watu wanaoweza kufungua shauri katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kupata uamuzi juu ya suala lolote kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii; (b) sababu na nyakati za kufungua shauri la namna hiyo, utaratibu wa kufungua shauri na masharti yanayotakiwa yatimizwe kwa kila shauri kama hilo; na
(c) kutaja mamlaka ya Mahakama Kuu juu ya shauri kama hilo na kueleza utaratibu wa kusikiliza shauri lenyewe.


Ibara ya 125 (2) (c) ni y kuiondoa kwa sababu inakinzana au kuingiliana na ile ya Ibara 125 (1) (c).

Kubwa zaidi ni kuwa Bunge siyo kazi yao kujitungia sheria wazitakazo bila kuwekewa maangalizo kwenye katiba juu ya viwango vya kufungua mashitaka viwe sawa na kesi za kawaida za madai badala ya kujirundikia Tshs 5.0 mill ili kuwazuia wapigakura kudai haki yao ya kimsingi.

Pia ni jukumu la katiba kuweka wazi kuwa wapigakura ndiyo wenye haki ya kimsingi ya kulinda uhalali wa matokeo ya chaguzi za maeneo ambayo wameshiriki sasa hii rasimu ilichofanya ni kuwaachia wabunge ambao wana masilahi mazito kwenda kujipimia sheria wazitakazo ili waweze kujenga mazingira magumu ya wapigakura kudaia haki yao ya kimsingi.

Tume haikufanya utafiti wa kujua kwanini kuna "voter apathy" inayozidi kukua hapa nchini ni kutokana na mfumo mzima wa kupigakura kugubikwa na vitendo vya wizi na rushwa na kuwafanya wapigakura kukata taama pale waonapo hawana hata haki ya kuhoji kwanini kura waliyoipiga hata haina maana kwani hawawezi kuhoji mahakamani kwa kuzuiwa aidha na katiba au sheria za uchaguzi.

USHAURI: Katiba iweke vigezo vya wapigakura kudai haki yao mahakamani kwenye chaguzi za aina zote, pili ianishe viwango vya kulipia wakati wa kufungua jarada la kesi viwe sawa na vya kesi za madai na tatu muda wa kufungua mashauri ya namna hii uwe wa mwezi mmoja baada ya matokeo kutangazwa na kesi kukamilika ndani ya miezi sita tangia zimefunguliwa.

Haya ni masuala nyeti siyo ya kuwaachia wabunge waende kuyafunika watakavyo.
 

Madaraka ya Mkuu wa Nchi kuhusu Muswada wa Sheria

114.-(1) Muswadawa Sheria uliopitishwa na Bunge sharti kupata saini ya Rais, ili kuthibitisha kukubaliwa kwake na Rais. (2) Muswada wa Sheria uliyowasilishwa kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali utawekewa saini na Rais ndani ya siku zisizozidi thelathini kutoka siku ambayo Muswada huo uliwasilishwa na kupokelewa na Katibu wa Baraza la Mawaziri. (3) Baada ya Muswada wa Sheria kuwasilishwa kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake, Rais anaweza kuukubali au kukataa kukubali Muswada huo, na iwapo Rais atakataa kukubali Muswada huo basi ataurudisha Bungeni pamoja na maelezo ya sababu za kukataa kukubali Muswada huo. (4) Baada ya Muswada wa Sheria kurudishwa Bungeni na Rais kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii, hauwezi kupelekwa tena kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake kabla kumalizika muda wa siku sitini tangu uliporudishwa; (5) Endapo katika kujadiliwa tena Bungeni kabla haujapelekwa tena kwa Rais, Muswada uliorudishwa Bungeni na Rais umeungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbiliya Wabunge wote basi, Muswada huo unaweza kuwasilishwa mapema zaidi kwa Rais. (6) Iwapo Muswada uliorudishwa Bungeni na Rais na katika kujadili ukaungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbiliya Wabunge wote na kupelekwa tena kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake, basi Rais atatakiwa kuweka saini kukubali Muswada wa sheria husika kabla ya kumalizika muda wa siku sitini na endapo siku sitini zitapita tangu Muswada huo ulipowasilishwa tena kwa Rais pasipo Rais kuweka saini, itahesabika kwamba Muswada huo umepata kibali cha Rais na utakuwa sheria ya nchi.

Hii Ibara ya 114 ina misingi mizuri ya uwajibikaji wa Raisi kwa theluthi mbili ya wabunge lakini meno ya wabunge hao theluthi mbili yameng'olewa na Ibara ya 84 (12) kwa kuhitajika robo tatu kumn'goa Raisi madarakani! Khofu ya tume inaelekea ni kwa kufahamau Raisi hana uhalali na ndiyo maana wanamtafutia uhalali kupitia katiba. Khali ya namna hii inatisha wakati uhalali hautokani na wapigakura bali kwa nguvu ya sheria!!!!!!!!!!!!!!!!!!



Bunge kumshtaki Rais


84.-(1) Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa Rais madarakani endapo itatolewa hoja ya kumshtaki Rais na ikapitishwa kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Ibara hii, hoja yoyote ya kumshtaki Rais haitatolewa isipokuwa tu kama itadaiwa kwamba Rais ametenda mojawapo ya makosa yafuatayo: (a) ukiukwaji mkubwa wa masharti ya Katiba hii; (b) makosa makubwa ya jinai;
(c) kuzuia kwa namna yoyote ile yeyekuchunguzwa kwa mujibu wa Ibara hii; (d) uhaini; (e) rushwa;
(f) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha nafasi ya madaraka ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano;
(g) kupuuza au kukataa kutekeleza uamuzi au amri halali za
Mahakama; au
(h) ametenda vitendo ambavyo vinakiuka kanuni zamaadili au miiko ya uongozi;
(3) Bunge halitapitisha hoja ya kumshtaki Rais isipokuwa tu kama- (a) haitatolewa hoja ya namna hiyo ndani ya miezi kumi na miwili tangu hoja kama hiyo ilipotolewa na ikakataliwa na Bunge; na
(b) taarifa ya maandishi, iliyotiwa saini na kuungwa mkono na Wabunge wasiopungua asilimia ishirini na tano ya Wabunge wote itawasilishwa kwa Spika siku kumi na nne kabla ya kikao ambapo hoja hiyo inakusudiwa kutolewa Bungeni.
(4) Taarifa itakayowasilishwa kwa mujibu wa Ibara ndogo ya (3)(b) itafafanua makosa aliyoyatenda Rais, na itapendekeza kuwa Tume ya Uchunguzi iundwe ili ichunguze tuhuma zilizotolewa dhidi ya Rais. (5) Wakati wowote baada ya kupokea taarifa iliyotiwa saini na Wabunge na kujiridhisha kuwa masharti ya Katiba kwa ajili ya kuwasilisha hoja yametimizwa, Spika atamruhusu mtoa hoja kuiwasilisha mbele ya Bunge na kisha Spika atalitaka Bunge, bila ya kufanya majadiliano, lipige kura juu ya hoja ya kuunda Kamati ya Uchunguzi. (6) Endapo hoja ya kuunda Kamati ya Uchunguzi itaungwa mkono na Wabunge wasiopungua asilimia sabini na tano ya Wabunge wote, Spika atatangaza majina ya wajumbe wa Kamati ya Uchunguzi.



‐ 34 ‐


(7) Kamati ya Uchunguzi, kwa madhumuni ya Ibara hii, itakuwa na wajumbe wafuatao: (a) Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano, ambaye atakuwa
Mwenyekiti wa Kamati;
(b) Jaji Mkuu wa Tanzania Bara; (c) Jaji Mkuu wa Zanzibar; na
(d) wajumbe wengine sita watakaoteuliwa na Spika.

(8) Endapo Bunge litapitisha hoja ya kuunda Kamatiya Uchunguzi, Rais atahesabiwa kuwa hayupo kazini na nafasi ya madaraka ya Rais yatatekelezwa na Makamu wa Rais hadi Spika atakapomfahamisha Rais juu ya Azimio la Bunge kuhusiana na mashtaka yaliyotolewa dhidi yake. (9) Ndani ya siku saba baada ya Kamati ya Uchunguzi kuundwa, itachunguza na kuchambua mashtaka dhidi ya Rais, pamoja na kumpatia Rais fursa ya kujieleza, kwa kufuata utaratibu uliowekwa na Kanuni za Kudumu za Bunge. (10) Mapema iwezekanavyo, na kwa vyovyote vile katika muda usiozidi siku tisini, Kamati ya Uchunguzi itatoa taarifa yake kwa Spika. (11) Baada ya Spika kupokea taarifa ya Kamati ya Uchunguzi, taarifa hiyo itawasilishwa Bungeni kwa kufuata utaratibu uliowekwa na Kanuni za Kudumu za Bunge. (12) Baada ya taarifa ya Kamati ya Uchunguzi kuwasilishwa, Bunge litaijadili taarifa hiyo na kutoa fursa kwa Rais kujieleza, na kisha, kwa kura za Wabunge wasiopungua asilimia sabini na tano ya Wabunge wote, Bunge litapitisha azimio kuwa mashtaka dhidi ya Rais ama yamethibitika au hayakuthibitika. (13) Endapo Bunge litapitisha azimio kuwa mashtaka dhidi ya Rais yamethibitika na kwamba hastahili kuendelea kushika nafasi ya madaraka ya Rais, Spika atamfahamisha Rais na juu ya Azimio la Bunge na Rais atakuwa ameondolewa madarakani na Makamu wa Rais ataapishwa mara moja kushika madaraka ya Rais. (14) Endapo Rais ataacha kushika nafasi ya madaraka ya Rais kutokana na mashtaka dhidi yake kuthibitika, hatakuwa na haki ya kupata malipo yoyote ya uzeeni, posho wala kupata haki au nafuu nyingine anazopewa Rais au mtu aliyekuwa Rais kwa mujibu wa Katiba au sheria za nchi.

1) Ibara 84 (12) inakinzana na Ibara 114. Ibara 114 (12) inalipa Bunge kumshinikiza Raisi kupitisha sheria walizozitunga kwa kutumia theluthi mbili ya idadi yao huku Ibara 84 (6) na 84 (12) inawataka wabunge kumwondoa Raisi madarakani lazima wawe na kura za robo tatu yao!!!!!!!!!!!!!!!!!

Inavyoelekea tume inaona uhalali wa Raisi una utata mkubwa ndiyo maana wameonelea wamlinde kwa kutumia katibaa zaidi ya asilimia hamsini ya kura zilizopigwa uhalali wa kulindwa na kura ya kumwondoa iwe robo tatu inatoka wapi kama siyo kufifilisha uwajibikaji eneo la kazi? Ikumbukwe karibu ya zaidi ya asilimi themanini ya ufisadi mkubwa husukwa kutoka Ikulu sasa Raisi akilndwa kulikoni hata anavylindwa na katiba iliyopo tujue vita dhidi ya ufisadi vimeota mbawa.

2) Ibara ya 108 inalizuia Bunge kuingilia kazi za watendaji serikalini lakini Ibara 84 (7) imewapa mamlaka mahakama kuingilia shughuli za bunge kupitia Jaji Mkuu na majaji wengineo! Tatizo ni kuwa uhalali wa uongozi wa Uraisi upo mikononi mwa wabunge na wala siyo mahakama!

USHAURI:-

1) Tume ya uchunguzi iwe inatokana na kamati ya bunge inayohusika na masuala ya katiba na waheshimiwa wa mahakamani wakae mbali siyo kazi yao.

2) LAZIMA MASUALA YA NAMNA HII YA KUHOJI UTENDAJI WA RAISI YAANZIE KWENYE MABUNGE YA ZANZIBAR AU Bunge la Tanganyika kwa zaidi ya nusu ya kura za wabunge wote. Endapo Bunge moajawapo kati ya hayo likapitisha muswada wa kumshitaki Raisi basi hoja hiyo imepita na itasikilizwa na kuamuliwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano chini ya uenyekiti wa Spika wa bunge hilo kwa zaidi ya nusu ya kura za wabunge wote kwa sababu Raisi kaingia madarakani kwa uhali huohuo na aweze kuondolewa kwa uhalali uleule.


 

Madaraka ya Mkuu wa Nchi kuhusu Muswada wa Sheria

114.-(1) Muswadawa Sheria uliopitishwa na Bunge sharti kupata saini ya Rais, ili kuthibitisha kukubaliwa kwake na Rais. (2) Muswada wa Sheria uliyowasilishwa kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali utawekewa saini na Rais ndani ya siku zisizozidi thelathini kutoka siku ambayo Muswada huo uliwasilishwa na kupokelewa na Katibu wa Baraza la Mawaziri. (3) Baada ya Muswada wa Sheria kuwasilishwa kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake, Rais anaweza kuukubali au kukataa kukubali Muswada huo, na iwapo Rais atakataa kukubali Muswada huo basi ataurudisha Bungeni pamoja na maelezo ya sababu za kukataa kukubali Muswada huo. (4) Baada ya Muswada wa Sheria kurudishwa Bungeni na Rais kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii, hauwezi kupelekwa tena kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake kabla kumalizika muda wa siku sitini tangu uliporudishwa; (5) Endapo katika kujadiliwa tena Bungeni kabla haujapelekwa tena kwa Rais, Muswada uliorudishwa Bungeni na Rais umeungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbiliya Wabunge wote basi, Muswada huo unaweza kuwasilishwa mapema zaidi kwa Rais. (6) Iwapo Muswada uliorudishwa Bungeni na Rais na katika kujadili ukaungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbiliya Wabunge wote na kupelekwa tena kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake, basi Rais atatakiwa kuweka saini kukubali Muswada wa sheria husika kabla ya kumalizika muda wa siku sitini na endapo siku sitini zitapita tangu Muswada huo ulipowasilishwa tena kwa Rais pasipo Rais kuweka saini, itahesabika kwamba Muswada huo umepata kibali cha Rais na utakuwa sheria ya nchi.

Hii Ibara ya 114 ina misingi mizuri ya uwajibikaji wa Raisi kwa theluthi mbili ya wabunge lakini meno ya wabunge hao theluthi mbili yameng'olewa na Ibara ya 84 (12) kwa kuhitajika robo tatu kumn'goa Raisi madarakani! Khofu ya tume inaelekea ni kwa kufahamau Raisi hana uhalali na ndiyo maana wanamtafutia uhalali kupitia katiba. Khali ya namna hii inatisha wakati uhalali hautokani na wapigakura bali kwa nguvu ya sheria!!!!!!!!!!!!!!!!!!



Bunge kumshtaki Rais


84.-(1) Bunge linaweza kupitisha azimio la kumuondoa Rais madarakani endapo itatolewa hoja ya kumshtaki Rais na ikapitishwa kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii.
(2) Bila ya kuathiri masharti mengineyo ya Ibara hii, hoja yoyote ya kumshtaki Rais haitatolewa isipokuwa tu kama itadaiwa kwamba Rais ametenda mojawapo ya makosa yafuatayo: (a) ukiukwaji mkubwa wa masharti ya Katiba hii; (b) makosa makubwa ya jinai;
(c) kuzuia kwa namna yoyote ile yeyekuchunguzwa kwa mujibu wa Ibara hii; (d) uhaini; (e) rushwa;
(f) amekuwa na mwenendo unaodhalilisha nafasi ya madaraka ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano;
(g) kupuuza au kukataa kutekeleza uamuzi au amri halali za
Mahakama; au
(h) ametenda vitendo ambavyo vinakiuka kanuni zamaadili au miiko ya uongozi;
(3) Bunge halitapitisha hoja ya kumshtaki Rais isipokuwa tu kama- (a) haitatolewa hoja ya namna hiyo ndani ya miezi kumi na miwili tangu hoja kama hiyo ilipotolewa na ikakataliwa na Bunge; na
(b) taarifa ya maandishi, iliyotiwa saini na kuungwa mkono na Wabunge wasiopungua asilimia ishirini na tano ya Wabunge wote itawasilishwa kwa Spika siku kumi na nne kabla ya kikao ambapo hoja hiyo inakusudiwa kutolewa Bungeni.
(4) Taarifa itakayowasilishwa kwa mujibu wa Ibara ndogo ya (3)(b) itafafanua makosa aliyoyatenda Rais, na itapendekeza kuwa Tume ya Uchunguzi iundwe ili ichunguze tuhuma zilizotolewa dhidi ya Rais. (5) Wakati wowote baada ya kupokea taarifa iliyotiwa saini na Wabunge na kujiridhisha kuwa masharti ya Katiba kwa ajili ya kuwasilisha hoja yametimizwa, Spika atamruhusu mtoa hoja kuiwasilisha mbele ya Bunge na kisha Spika atalitaka Bunge, bila ya kufanya majadiliano, lipige kura juu ya hoja ya kuunda Kamati ya Uchunguzi. (6) Endapo hoja ya kuunda Kamati ya Uchunguzi itaungwa mkono na Wabunge wasiopungua asilimia sabini na tano ya Wabunge wote, Spika atatangaza majina ya wajumbe wa Kamati ya Uchunguzi.



‐ 34 ‐


(7) Kamati ya Uchunguzi, kwa madhumuni ya Ibara hii, itakuwa na wajumbe wafuatao: (a) Jaji Mkuu wa Jamhuri ya Muungano, ambaye atakuwa
Mwenyekiti wa Kamati;
(b) Jaji Mkuu wa Tanzania Bara; (c) Jaji Mkuu wa Zanzibar; na
(d) wajumbe wengine sita watakaoteuliwa na Spika.

(8) Endapo Bunge litapitisha hoja ya kuunda Kamatiya Uchunguzi, Rais atahesabiwa kuwa hayupo kazini na nafasi ya madaraka ya Rais yatatekelezwa na Makamu wa Rais hadi Spika atakapomfahamisha Rais juu ya Azimio la Bunge kuhusiana na mashtaka yaliyotolewa dhidi yake. (9) Ndani ya siku saba baada ya Kamati ya Uchunguzi kuundwa, itachunguza na kuchambua mashtaka dhidi ya Rais, pamoja na kumpatia Rais fursa ya kujieleza, kwa kufuata utaratibu uliowekwa na Kanuni za Kudumu za Bunge. (10) Mapema iwezekanavyo, na kwa vyovyote vile katika muda usiozidi siku tisini, Kamati ya Uchunguzi itatoa taarifa yake kwa Spika. (11) Baada ya Spika kupokea taarifa ya Kamati ya Uchunguzi, taarifa hiyo itawasilishwa Bungeni kwa kufuata utaratibu uliowekwa na Kanuni za Kudumu za Bunge. (12) Baada ya taarifa ya Kamati ya Uchunguzi kuwasilishwa, Bunge litaijadili taarifa hiyo na kutoa fursa kwa Rais kujieleza, na kisha, kwa kura za Wabunge wasiopungua asilimia sabini na tano ya Wabunge wote, Bunge litapitisha azimio kuwa mashtaka dhidi ya Rais ama yamethibitika au hayakuthibitika. (13) Endapo Bunge litapitisha azimio kuwa mashtaka dhidi ya Rais yamethibitika na kwamba hastahili kuendelea kushika nafasi ya madaraka ya Rais, Spika atamfahamisha Rais na juu ya Azimio la Bunge na Rais atakuwa ameondolewa madarakani na Makamu wa Rais ataapishwa mara moja kushika madaraka ya Rais. (14) Endapo Rais ataacha kushika nafasi ya madaraka ya Rais kutokana na mashtaka dhidi yake kuthibitika, hatakuwa na haki ya kupata malipo yoyote ya uzeeni, posho wala kupata haki au nafuu nyingine anazopewa Rais au mtu aliyekuwa Rais kwa mujibu wa Katiba au sheria za nchi.

1) Ibara 84 (12) inakinzana na Ibara 114. Ibara 114 (12) inalipa Bunge kumshinikiza Raisi kupitisha sheria walizozitunga kwa kutumia theluthi mbili ya idadi yao huku Ibara 84 (6) na 84 (12) inawataka wabunge kumwondoa Raisi madarakani lazima wawe na kura za robo tatu yao!!!!!!!!!!!!!!!!!

Inavyoelekea tume inaona uhalali wa Raisi una utata mkubwa ndiyo maana wameonelea wamlinde kwa kutumia katibaa zaidi ya asilimia hamsini ya kura zilizopigwa uhalali wa kulindwa na kura ya kumwondoa iwe robo tatu inatoka wapi kama siyo kufifilisha uwajibikaji eneo la kazi? Ikumbukwe karibu ya zaidi ya asilimi themanini ya ufisadi mkubwa husukwa kutoka Ikulu sasa Raisi akilndwa kulikoni hata anavylindwa na katiba iliyopo tujue vita dhidi ya ufisadi vimeota mbawa.

2) Ibara ya 108 inalizuia Bunge kuingilia kazi za watendaji serikalini lakini Ibara 84 (7) imewapa mamlaka mahakama kuingilia shughuli za bunge kupitia Jaji Mkuu na majaji wengineo! Tatizo ni kuwa uhalali wa uongozi wa Uraisi upo mikononi mwa wabunge na wala siyo mahakama!

USHAURI:-

1) Tume ya uchunguzi iwe inatokana na kamati ya bunge inayohusika na masuala ya katiba na waheshimiwa wa mahakamani wakae mbali siyo kazi yao.

2) LAZIMA MASUALA YA NAMNA HII YA KUHOJI UTENDAJI WA RAISI YAANZIE KWENYE MABUNGE YA ZANZIBAR AU Bunge la Tanganyika kwa zaidi ya nusu ya kura za wabunge wote. Endapo Bunge moajawapo kati ya hayo likapitisha muswada wa kumshitaki Raisi basi hoja hiyo imepita na itasikilizwa na kuamuliwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano chini ya uenyekiti wa Spika wa bunge hilo kwa zaidi ya nusu ya kura za wabunge wote kwa sababu Raisi kaingia madarakani kwa uhali huohuo na aweze kuondolewa kwa uhalali uleule.


 
SEHEMU YA TATU
TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA NA MFUKO WA MAHAKAMA

(a) Tume ya Utumishi wa Mahakama
172.-(1) Kutakuwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama ambayo itaundwa na wajumbe tisa watakaoteuliwa na Rais kama ifutavyo:
(a) Jaji Mkuu ambaye atakuwa ni Mwenyekiti;
(b) Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano;
(c) Jaji mmoja wa Mahakama ya Juu;


(d) Jaji mmoja wa Mahakama ya Rufani;
(e) Mwakilishi wa Chama cha Wanasheria wa Tanzania Bara;
(f) Mwakilishi wa Chama cha Wanasheria wa Zanzibar;


(g) Wakuu Wawili wa vitivo vya sheria kutoka vyuo vikuu, mmoja kutoka Tanzania Bara na moja kutoka Zanzibar watakaopendekezwa na Jaji Mkuu; na (h) Mtendaji Mkuu wa Mahakama ambaye atakuwa Katibu wa
Tume ya Utumishi wa Mahakama.
(2) Tume inaweza kumualika mtu mwingine yoyote mwenye utaalamu mahususi kushiriki kikao chochote cha Tume, isipokuwa mtu huyo hatakuwa nahaki ya kupiga kura.
(3) Tume itaweka utaratibu wa kuendesha vikao vyake.

Muundo ulioanishwa hapa ni ubabaishaji mkubwa na nafikiriumechangiwa kwa kiasi kikubwa kwa Mwenyekiti wa Tume na Naibu wake kuwa majaji kwahiyo mwamba ngoma huvutia kwake.

Rushwa iliyokithiri kwenye mahakama zetu inahitaji muundo ambao unawahusisha walaji watumiaji wa huduma za mahakama zetu.

USHAURI:-

1) Nafasi za uwakilishi zilizotajwa kwenye Ibara ndgo za c. d. e. na f ziwe mbili badala ya moja na kila nafasi hizo ziwepo uwakilishi wa jinsia zote mbili. Tusipofanya hivyo inawezekana kabisa asiwepo mwanamke kwenye tume hii.

2) Nafasi za uwakilishi kwenye Ibara ndogo ya (g) asipewe Jaji Mkuu kuteua na wasomi wa vyuo vikuu wasiwemo kwani hakuna tija katika kupambana na ufisadi kwa kufanya hivyo. Ninaamini kuwemo kwa Prof. Kabudi kumechangia upotoshaji huu akifikiria yeye na prof. yule wa cdm wamejiwekea ulaji humo!!!!!!!! Nafasi hizo wapewe mashirika yasiyo ya kiserikali na kama ilivyo kwenye pendekezo langu la (1) hapo juu jinsia zote mbili ziwakilishwe. Uwakilishi huu lengo lake ni kuwawakilisha watumiaji wa huduma za mahakama ambao vilio vyao dhuluma huwa vinapuuzwa na majaji ndani ya mahakama.

3) Nafasi zote za uwakilishi tajwa uteuzi wake uzingatie matakwa ya kidemokrasia kwa wale wote wahusika katika ulengwa tajwa wapige kura za wazi ili kuchagua uwakilishi halali na kukwepa uwakilishi haramu.
 

Majukumu ya Tume
ya
Utumishi wa Mahakama

173.-(1) Tume ya Utumishi wa Mahakama itakuwa na wajibu wa kuendeleza na kuwezesha uhuru na uwajibikaji wa Mahakama na utoaji haki wenye ufanisi, mafanikio na uwazi.

(2) Tume ya Utumishi wa Mahakama itakuwa na wajibu wa:
(a) kupendekeza kwa Rais majina ya watu wanaofaa kuteuliwa kuwa Majaji wa Mahakama ya Juu na Mahakama ya Rufani; (b) kupitia na kupendekeza masharti ya utumishi wa Majaji na watumishi wengine wa mahakama ikiwemo masuala yanayohusu nidhamu na maslahi yao; (c) kuteua wasajili na kuajiri watumishi wengine wa Mahakama, kupokea malalamiko dhidi yao na kuwachukulia hatua za kinidhamu ikiwemo kuwafukuza kazi kwa mujibu wa Sheria itakayotungwa na Bunge; (d) kuandaa na kutekeleza mipango ya kujiendeleza kielimu kwa
Majaji na watumishi wengine wa Mahakama;



‐ 67 ‐


(e) kupendekeza Serikalini maboresho ya Mahakama ili kuongeza ufanisi katika utoaji haki; (f) kutoa fursa ya majadiliano kuhusu utekelezaji wa majukumu ya Mahakama ya Jamhuri ya Muunganona hivyo kumsaidia Jaji Mkuu katika kutekeleza majukumu yake kwa malengo ya kuleta ufanisi na mafanikio katika utoaji haki; na (g) kutekeleza majukumu yoyote itakayopewa kwa mujibu wa
Katiba hii au sheria zingine.
(3) Katika kutekeleza majukumu yake, Tume itazingatia:
(a) uwazi katika mchakato wa uteuzi wa Majaji na ajira ya watumishi wengine wa Mahakama ya Jamhuri ya Muungano; (b) uwakilishi wa sehemu mbili za Washirika wa Muungano; na
(c) uwakilishi wa kijinsia.



Haya mapendekezo ni "business as usual". Yaani hakuna mabadiliko kwa sababu majaji waliomo ndani ya tume ni nyani wasioona kundule. Wanasema kazi yao ni kupendekeza majina ya majaji wanayatoa wapi? Wanasema kuteua watendaji wengine wa mahakama wanawatoa wapi?

USHAURI:

1) iT IS TIME TO GET SERIOUS WITH NATIONAL BUILDING.............

2) Ajira zote za Idara ya mahakama kama zile za umma zifanyike kwa uwazi, ushindani na shirikishi na mahajiano yafanyike kwa uwazi ya zoezi lolote lile la kusaili majaji kwa kuwapa nafasi wananchi wenye malalamiko kupeleka hati zao kwenye Tume kuhoji sifa za baadhi ya waombaji kusailiwa. Tukifanya hivi asilimia kubwa ya ufisadi ndani ya mahakama zetu utapugnua lakini tukiwaachia wenyewe wajisimamie basi malalamiko yataendelea na uhalali wa dola nao uteaendela kuwa mashakani na itafikia kinga ya Raisi kuondolewa madarakani itabidi tuiongeze ifike 100%. Kwa sababu hataweza kutawala nchi iliyogubikwa na manung'uniko.
 
(c)Uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Juu



Uteuzi wa
Jaji Mkuu

151.-(1) Jaji Mkuu atateuliwa na Rais kutoka miongoni mwa majina ya watu watatu yaliyopendekezwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama na kabla ya kuapishwa jina lake litawasilishwa Bungeni kwa ajili ya kuthibitishwa na Bunge. (2) Jaji Mkuu ndiye atakuwa Mkuu wa Mhimili wa Mahakama katika Jamhuri ya Muungano. (3) Mtu ataweza kuteuliwa kuwa Jaji Mkuu endapo atakuwa amefikisha umri wa miaka arobaini na tano au zaidi na mwenye sifa ya uadilifu, tabia njema, uaminifu na: (a) awe na shahada ya sheria kutoka katika chuo kinachotambuliwa na mamlaka inayoshughulikia elimu ya juu katika Jamhuri ya Muungano; (b) awe amefanya kazi ya uhakimu, ujaji, utumishi wa umma au uanataaluma akiwa na sifa ya kufanya kazi ya uwakili au ni wakili wa kujitegemea; (c) awe na sifa ya kusajiliwa kuwa wakili,
na amekuwa na sifa hizo mfululizo kwa muda usiopungua miaka kumi na mitano.





Uteuzi wa Naibu Jaji Mkuu
152.-(1) Naibu Jaji Mkuu atateuliwa na Rais kutoka miongoni mwa majina ya watu watatu yatakayopendekezwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama na kabla ya kuapishwa jina lake litawasilishwa Bungeni kwa ajili ya kuthibitishwa na Bunge. (2) Mtu atateuliwa kuwa Naibu Jaji Mkuu endapo atakuwa na sifa zilizoainishwa katika Ibara ya 151 na kwa kufuata kanuni kwamba endapo Jaji Mkuu atatoka sehemu moja ya Muungano, basi Naibu Jaji Mkuu atatoka sehemu ya pili ya Muungano. (3) Naibu Jaji Mkuu atakuwa ndiye Msaidizi Mkuu wa Jaji Mkuu katika utekelezaji wa majukumu yake kama Mkuu wa Mhimili wa Mahakama.




Uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Juu

153.-(1) Majaji wa Mahakama ya Juu watateuliwa na Rais kutoka miongoni mwa majina yatakayopendekezwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama na wataapishwa na Rais. (2) Mtu ataweza kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Juu endapo atakuwa na sifa ya uadilifu, tabia njema na uaminifu na: (a) awe na shahada ya sheria kutoka katika chuo kinachotambuliwa kwa mujibu wa sheria za nchi; (b) awe amefanya kazi ya uhakimu, ujaji, utumishi wa umma au uanataaluma akiwa na sifa ya kufanya kazi ya uwakili au ni wakili wa kujitegemea; na (c) awe na sifa ya kusajiliwa kuwa wakili,
na amekuwa na sifa hizo mfululizo kwa muda usiopungua miaka kumi.
(3) Kwa kuzingatia masharti ya Ibara ndogo ya (2), iwapo Rais ataridhika kwamba japokuwa: (a) mtu mwenye sifa mojawapo ya hizo sifa zilizoainishwa katika Ibara ndogo ya (2) hakuwa nayo sifa hiyo kwa muda




‐ 59 ‐


unaopungua miaka kumi; na
(b) mtu huyo ana uwezo, ujuzi na kwa kila hali anafaa kukabidhiwa madaraka ya Jaji wa Mahakama ya Juu;
(c) kuna sababu za kumfanya mtu huyo kustahili kukabidhiwa nafasi ya madaraka hayo,

basi Rais anaweza kutengua sharti la kuwa na sifa kwa muda usiopungua miaka kumi, na baada ya kushauriana na Tume ya Utumishi wa Mahakama, kumteua mtu huyo kuwa Jaji wa Mahakama ya Juu.
]

Ajira zote za serikalini zikiwemo za majaji zitangazwe, wenye sifa waombe, wafanyiwe zoezi la kuwasaili ambalo ni wazi na shirikishia kwa umma kwa kuwaruhusu wapeleke hati za viapo kwenye maeneo ambayo hawaridhiki na wasifu wa mwombaji yeyote yule.

Wakati wakupendekeza from nowhere kama ilivyo those days are over..........................na huu utaratibu wa kupeana ugali tena wakati mwingine kwa ngono ufikie kikomo.

Vigezo vya teuzi na mapendekezo haya lazima uwe wazi na sote katika jamii tushiriki maana "it is the wearer of the shoe who knows where it pinches."

Vinginevyo Rasimu hii ni kupoteza muda kama hakuna checks and balances kwenye ufisadi uliokithiri kwenye mahakama zetu...........................again, I say it is time to get serious!
 




Uteuzi wa Majaji wa Mahakama ya Juu

153.-(1) Majaji wa Mahakama ya Juu watateuliwa na Rais kutoka miongoni mwa majina yatakayopendekezwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama na wataapishwa na Rais. (2) Mtu ataweza kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Juu endapo atakuwa na sifa ya uadilifu, tabia njema na uaminifu na: (a) awe na shahada ya sheria kutoka katika chuo kinachotambuliwa kwa mujibu wa sheria za nchi; (b) awe amefanya kazi ya uhakimu, ujaji, utumishi wa umma au uanataaluma akiwa na sifa ya kufanya kazi ya uwakili au ni wakili wa kujitegemea; na (c) awe na sifa ya kusajiliwa kuwa wakili,
na amekuwa na sifa hizo mfululizo kwa muda usiopungua miaka kumi.
(3) Kwa kuzingatia masharti ya Ibara ndogo ya (2), iwapo Rais ataridhika kwamba japokuwa: (a) mtu mwenye sifa mojawapo ya hizo sifa zilizoainishwa katika Ibara ndogo ya (2) hakuwa nayo sifa hiyo kwa muda




‐ 59 ‐


unaopungua miaka kumi; na
(b) mtu huyo ana uwezo, ujuzi na kwa kila hali anafaa kukabidhiwa madaraka ya Jaji wa Mahakama ya Juu;
(c) kuna sababu za kumfanya mtu huyo kustahili kukabidhiwa nafasi ya madaraka hayo,

basi Rais anaweza kutengua sharti la kuwa na sifa kwa muda usiopungua miaka kumi, na baada ya kushauriana na Tume ya Utumishi wa Mahakama, kumteua mtu huyo kuwa Jaji wa Mahakama ya Juu.

huku kupendekezana kimyakimya si ndiko tunako? Lakini tuhuma za ufisadi kwenye mahakama zetu si zimekithir? Huu ubabaishaji ufikia mwisho sasa na uwepo ushindani, uwazi na ukweli na tuondoe usiri ambao ndiyo chanzo cha kulindana na kupeana ngono kama sehemu ya rushwa na majaji kukosa kujiamini kwa kuhofia kutopendekezwa kwa kuzingatia vigezo ambavyo hakuna anayevifahamu.
 

Muda wa kuwa madara- kani kwa Jaji Mkuu, Naibu Jaji Mkuu na Majaji wengine

155.-(1) Jaji Mkuu na Naibu Jaji Mkuu watashika madaraka yao mpaka watakapofikisha umri wa miaka sabini, isipokuwa tu kama: (a) watajiuzulu;
(b) nafasi ya madaraka ya Jaji Mkuu itakuwa wazi kutokana na maradhi au kifo; au


(c) atavuliwa wadhifa wa Jaji Mkuu kwa mujibu wa Katiba hii.
(2) Masharti ya Ibara ndogo ya (1) yatatumika pia kwa Naibu Jaji
Mkuu na Jaji wa Mahakama ya Juu.
(3) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ndogo ya (1) na (2), Jaji Mkuu, Naibu Jaji Mkuu na Jaji wa Mahakama ya Juualiyetimiza umri wa kustaafu atalazimika kuendelea kufanya kazi baada ya kutimiza umri huo mpaka amalize kutayarisha na kutoa hukumu au mpaka akamilishe shughuli nyingine yoyote inayohusika na mashauri ambayo alikwishaanza kuyasikiliza kabla hajatimiza umri wa kustaafu.




Kweli wazee majaji wastaafu waliomo ndani ya Tume wameamua kulindana! Yawaje wao wajipe upendeleo wa ajira za maisha wakati wengineo wanawawekea ukomo wa ajira kama Raisi, wabunge, CIG n.k?

Kuna uhaja wa kuweka masharti yanayofanana kila mahali maana hakuna ajira bora za utumishi wa umma zinazozidi nyingine.

USHAURI: Nafasi zote za ujaji ziwe za mikataba ya miaka mitano mitano na inapokwisha mhusika aombe na utumishi wake kwisha ufikapo miaka 60 kama watumishi wengineo wa umma. Majaji wasigeuze utumishi wao ni bora zaidi ya wengineo. Tukiruhusu hali hii basi ndiyo tunajenga umangimeza na hakuna uwajibikaji kwani mfumo mzima wa kuwawajibisha majaji unategemea ridhaa yao wenyewe na hawataki walaji wa huduma zao kuwa na hata na chembe ya sauti. Sasa kwa utani utani kama huu ufisadi utakwisha lini?
 




Utaratibu wa
kushu- ghulikia nidhamu ya Majaji wa Mahaka- ma ya Juu

157.-(1) Utaratibu wa kushughulikia nidhamu ya Majaji wa Mahakama ya Juu, mbali na sababu zilizoainishwa katika Ibara ndogo ya (2), utakuwa kama utakavyoelezwa na sheria itakayotungwa na Bunge. (2) Jaji wa Mahakama ya Juu anaweza kuondolewa madarakani kwa sababu ya kushindwa kutekeleza madaraka yake ama kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya inayoathiri maadili ya kazi ya Jaji au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma; na hataweza kuondolewa kazini ila kwa mujibu wa masharti ya Ibara ndogo ya (4). (3) Endapo Rais anaona kuwa suala la kumuondoa Jaji kazini linahitaji kuchunguzwa, basi katika hali hiyo utaratibu utakuwa kama ufuatavyo: (a) Rais anaweza, baada ya kushauriana na Jaji Mkuu, kumsimamisha kazi Jaji huyo; (b) Rais atateua Tume ambayo itakuwa na Mwenyekiti na Wajumbe wengine wasiopungua wawili; na angalau nusu ya wajumbe hao wawe ni Majaji wa Mahakama ya Juu au Mahakama ya Rufani kutoka nchi yoyote iliyomo kwenye Jumuiya ya Madola; na (c) Tume hiyo itachunguza shauri lote kisha itatoa taarifa kwa Rais kuhusu maelezo ya shauri hilo na itamshauri Rais kama Jaji huyo anayehusika aondolewe kazini kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii kwa sababu ya kushindwa kufanyakazi kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya. (4) EndapoTume iliyoteuliwa kwa mujibu wa masharti ya Ibara ndogo ya (3) itamshauri Rais kwamba Jaji ambaye mwenendo wake umechunguzwa na Tume hiyo aondolewe kazini kwa sababu ya kushindwa kufanyakazi kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya, Rais atamuondoa kazini Jaji huyo na utumishi wake utakuwa umekoma.



‐ 61 ‐


(5) Ikiwa suala la kumuondoa Jaji kazini limepelekwa kwenye Tume kwa ajili ya uchunguzi kwa mujibu wa masharti ya Ibara ndogo ya (3), Rais anaweza kumsimamisha kazi Jaji huyo anayehusika, na Rais anaweza wakati wowote kufuta uamuzi huo wa kumsimamisha kazi Jaji huyo, na kwa hali yoyote uamuzi huo utabatilika ikiwa Tume itamshauri Rais kwamba Jaji huyo asiondolewe kazini. (6) Masharti ya Ibara hii hayatawahusu watu walioteuliwa kukaimu nafasi ya Ujaji.




tatizo ya mapendekezo haya kuna usiri wa jinsi ya tume itakavyokuwa inapokea malalamiko ya utendaji wa jaji mtuhumiwa. Hili linachangia sana waathirika na maamuzi batili ya majaji kushindwa kutumia nafasi zilizopo katika kuwadibisha kimaadili na majaji kutumia huo mwanya kutenda maovu yao.

USHAURI:-

Iwepo Ibara ndogo ya kwanza ambayo itaweka bayana namna waathirika na utendaji wa majaji wanavyoweza kufikisha malalamiko yao kwenye tume na jinsi muda ambao tume itautumia katika kuyashughulikia na endapo hawaridhiki na utendaji wa Tume waruhusiwe kuyafikisha mahakamani kuchunguzwa zaidi.

Vita dhidi ya ufisadi wa mahakamani siyo lelemama ya kulinda uozo uliopo hivi sasa kama lengo ndilo hilo hii ni katiba mpya au changa la macho?
 
Back
Top Bottom