Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Show me the proof 1000 my asssaadeque, ulete na ripoti ya 1000+ soldiers killed in Somalia
Umalaya umeingiaje kwenye mada hii!!!?Huwa unaongea kama mama Prikista yule mdanganyika Malaya wa Isibania...^..^
Zamani mlisema hivyo hivyo kwa m23 mlisema jwtz kama wanaume waende DRC kupigana tukaenda tumewapiga hadi wakasema wenyewe wamejuta awatakitena mambo ya vita sijui kama unakumbuka sisi jeshi letu alikuandaliwa kwa mapigano ya kitoto hata tungekuwa tunapigana siria na magaidi wangejisalimisha na siraha zao mikono juuHamna sehemu nimesema wameogopwa na KDF, kitu ninachojua KDF imegoma kuingilia ugomvi wao eti kuanza kupiga upande mmoja kisa wamebaka.
Halafu hilo la kupasua matofali hapo Dar uombe yaishie huko huko. Usithubutu kuwapelekea wale. Wangekua wanaishi Dar ungeelewa nini ninachikisema, maana kwa jinsi nawafahamu nyie kwa uwoga wenu hata mnaweza kuihama Dar na kuwaachia. Hawa ni watu walizoea mitutu, yaani mijitu ikikosana kule kwao inapigana marisasi wakati walio pembeni wanaendelea na shughuli zao, wengine wanacheza bao, wengine wanakunywa kahawa risasi zikiwakwepa. Sasa nyie waswahili mabomu ya Mbagalla yalilipuka naskia kila mmoja alianza safari ya kurudi kwao kijijini kwa kutembea kutoka Dar, wengine mlikutwa mumevaa chupi tu.
Mtu mzima umevaa chupi unakatiza mbio eti unarudi iringa kisa umeskia milio ya mabomu.
Hawa ni muziki tofauti, wakigombana waache watifuane huku wakiongea ongea lugha zao baadaye utaona wanasalimiana, ole wako uingilie kati. Kwanza ukiwa kwao kitu kikudanganye upeleke Uswahili eti unaanza kufuata mabinti wao, ndio utajuta.
Pole unajua kwanini walisema hivyo ili atakaye kiuka tuwe tumepata sababu ya kumwangamiza tpdf ilienda DRC na askali kama 1000 tu na ukusikia askali wa tz wakiofia chochote hata vyombo vya habari vya Tanzania ila Sauth Africa na askali wao walikuwa na hofu hadi makamanda wao na vyombo vyao vya habari vilikuwa vinalalamika kuwa watakufa nakuuliza kwanini askali wa Tanzania awakuwa na hofu yoyoteHahahaha eti if they would not be targeted??? Wanaenda kucheza banyo kule darfur [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]TPDF MAYAI SANA View attachment 429685
So???? .....you want me to do what with that????Sammuel999 Wakenya wenzio saba wametekwa South Sudan as a retaliation of GoK's deportation of Marchar's spokesman!
Yeah be the first TPDF watabaki wakivunja matofali tu.....No one has ever pissed kenya That bad to warrant an emergency Parliamentary meeting even El adde attack didnt bring about that ......So Habari mbaya Ikiwai tokea Kenya watu MISRI wataiskia ...... Hamjui Kenya nyinyi.....Tutaingia sudan Na tupite nao wote hawatapenda ...anyway post all the bad news you wan Tanzania will neve have influence anywea out of Tanzania Till i die!!Na uwezekano wa mashambulizi kwa Wakenya ni mkubwa zaidi. We kenyua habari mbaya zipo njiani. I will be the first to post in here!
M23? hahahahaaa... seriously.Zamani mlisema hivyo hivyo kwa m23 mlisema jwtz kama wanaume waende DRC kupigana tukaenda tumewapiga hadi wakasema wenyewe wamejuta awatakitena mambo ya vita sijui kama unakumbuka sisi jeshi letu alikuandaliwa kwa mapigano ya kitoto hata tungekuwa tunapigana siria na magaidi wangejisalimisha na siraha zao mikono juu
waswahili hua wana msemo kwamba adui yako hata ukiwa kwenye dimbwi la maji atalalamika unamtimlia "vumbi"Whichever decision Uhuru would have made, he would still be a greedy nyangau to Geza Ulole. When Kenyans refused to pull out of Somalia, the guy threw unimaginable vitriol against them, they decide to pull out of SS - the story is the same. My mother told me never to try to make somebody who hates me to love me. When somebody hates you they'll hate you no matter what you do.
mzigo mzito mpe mnyamweziKdf mdebwedo kinoma wanapenda hela za UN halafu vioga, sepeni wanaume wafanye kazi, jwtz always wanapewa kazi iliyoshindikana na vijeshi vichovu