Why TPDF should be prepared to replace KDF in Juba

Why TPDF should be prepared to replace KDF in Juba

saadeque, niambie kwann si 1000+ kama hata kuzika serikali inalazimishia tena kwenye makaburi ya pamoja ya serikali kisiri! Wewe unajua namba kamili? Hao wanajeshi 7 wa TPDF waliokufa Darfur, je Darfur ni SS?
 
Hahahaha eti if they would not be targeted??? Wanaenda kucheza banyo kule darfur [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]TPDF MAYAI SANA
1478357023600.png
 
Sasa kama hawa ni wale watoto jeshi wa sudan
Sasa somalia kutakuwaje??
1478357293097.png
 
saadeque, alshaababs are butchering u people to an extent u r refusing to carry out ur duties as ur mandate states at other deployments outside Somalia. Poor u can't read what KDF is going through!
 
Katika vitu huwa sipendi
Nikupeleka majeshi yetu kwa nchi zilizo laanika
Sijui hata ni kigezo kipi muhimu kilipelekea hii sudani kuingia Afrika mashariki!!!

JWTZ ina mengi yakufanya
Sio kwenda kutafuta matatizo yasiyo tuhusu kabisa
Hili no
 
Hamna sehemu nimesema wameogopwa na KDF, kitu ninachojua KDF imegoma kuingilia ugomvi wao eti kuanza kupiga upande mmoja kisa wamebaka.

Halafu hilo la kupasua matofali hapo Dar uombe yaishie huko huko. Usithubutu kuwapelekea wale. Wangekua wanaishi Dar ungeelewa nini ninachikisema, maana kwa jinsi nawafahamu nyie kwa uwoga wenu hata mnaweza kuihama Dar na kuwaachia. Hawa ni watu walizoea mitutu, yaani mijitu ikikosana kule kwao inapigana marisasi wakati walio pembeni wanaendelea na shughuli zao, wengine wanacheza bao, wengine wanakunywa kahawa risasi zikiwakwepa. Sasa nyie waswahili mabomu ya Mbagalla yalilipuka naskia kila mmoja alianza safari ya kurudi kwao kijijini kwa kutembea kutoka Dar, wengine mlikutwa mumevaa chupi tu.
Mtu mzima umevaa chupi unakatiza mbio eti unarudi iringa kisa umeskia milio ya mabomu.

Hawa ni muziki tofauti, wakigombana waache watifuane huku wakiongea ongea lugha zao baadaye utaona wanasalimiana, ole wako uingilie kati. Kwanza ukiwa kwao kitu kikudanganye upeleke Uswahili eti unaanza kufuata mabinti wao, ndio utajuta.
Zamani mlisema hivyo hivyo kwa m23 mlisema jwtz kama wanaume waende DRC kupigana tukaenda tumewapiga hadi wakasema wenyewe wamejuta awatakitena mambo ya vita sijui kama unakumbuka sisi jeshi letu alikuandaliwa kwa mapigano ya kitoto hata tungekuwa tunapigana siria na magaidi wangejisalimisha na siraha zao mikono juu
 
Hahahaha eti if they would not be targeted??? Wanaenda kucheza banyo kule darfur [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]TPDF MAYAI SANA View attachment 429685
Pole unajua kwanini walisema hivyo ili atakaye kiuka tuwe tumepata sababu ya kumwangamiza tpdf ilienda DRC na askali kama 1000 tu na ukusikia askali wa tz wakiofia chochote hata vyombo vya habari vya Tanzania ila Sauth Africa na askali wao walikuwa na hofu hadi makamanda wao na vyombo vyao vya habari vilikuwa vinalalamika kuwa watakufa nakuuliza kwanini askali wa Tanzania awakuwa na hofu yoyote
 
Sammuel999 Wakenya wenzio saba wametekwa South Sudan as a retaliation of GoK's deportation of Marchar's spokesman!
 
Na uwezekano wa mashambulizi kwa Wakenya ni mkubwa zaidi. We kenyua habari mbaya zipo njiani. I will be the first to post in here!
 
Na uwezekano wa mashambulizi kwa Wakenya ni mkubwa zaidi. We kenyua habari mbaya zipo njiani. I will be the first to post in here!
Yeah be the first TPDF watabaki wakivunja matofali tu.....No one has ever pissed kenya That bad to warrant an emergency Parliamentary meeting even El adde attack didnt bring about that ......So Habari mbaya Ikiwai tokea Kenya watu MISRI wataiskia ...... Hamjui Kenya nyinyi.....Tutaingia sudan Na tupite nao wote hawatapenda ...anyway post all the bad news you wan Tanzania will neve have influence anywea out of Tanzania Till i die!!
 
Kdf mdebwedo kinoma wanapenda hela za UN halafu vioga, sepeni wanaume wafanye kazi, jwtz always wanapewa kazi iliyoshindikana na vijeshi vichovu
 
Zamani mlisema hivyo hivyo kwa m23 mlisema jwtz kama wanaume waende DRC kupigana tukaenda tumewapiga hadi wakasema wenyewe wamejuta awatakitena mambo ya vita sijui kama unakumbuka sisi jeshi letu alikuandaliwa kwa mapigano ya kitoto hata tungekuwa tunapigana siria na magaidi wangejisalimisha na siraha zao mikono juu
M23? hahahahaaa... seriously.
Lets just say you guys have no idea of what modern warfare is like.
Anyway hio ya Sudan Kusini is just a civil war.
 
Whichever decision Uhuru would have made, he would still be a greedy nyangau to Geza Ulole. When Kenyans refused to pull out of Somalia, the guy threw unimaginable vitriol against them, they decide to pull out of SS - the story is the same. My mother told me never to try to make somebody who hates me to love me. When somebody hates you they'll hate you no matter what you do.
waswahili hua wana msemo kwamba adui yako hata ukiwa kwenye dimbwi la maji atalalamika unamtimlia "vumbi"
 
Sammuel999 KDF nya-ng'a-nya-ng'a, nde-mbwe-nde-mbwe, mdebwebo, kifo cha mende, chaliiii...
 
I know I'm being bias but TPDF is the most discipline army in the whole of Africa. Kitu ambacho kinawaweka tofauti na wengine ni swala "national building after the conflict". Hakuna jeshi lolote la Africa na sehemu nyingine nje ya Africa katika miaka 50 iliyopita wameenda nchi nyingine kivita na mwisho wa vita wakawaacha nchi hiyo salama na wanajitawala yenyewe.
Kama ipo mnikumbushe.
 
Back
Top Bottom