Why we feel so good on dream sex rather than normal sex(just like kiwembe)

Wet dream (Njozi za kimapenz ni tamu ) kwakuwa ndan ya ndoto
Ule nae anakuw total willing
Hujatuma nauli wa hutotoa pesa (akili inakuw free)

Unakuw mazingr ambayo unajiamin no wory of mimba HIV wala nn 🔥🔥💙
 
Ukizubaa linafunga ndoa na wewe, hapo ndio utajua kwamba shetani hana sura mbaya 😂
Ni hatari Sana hiyo, yaani likifanikiwa kufunga ndoa nawe Basi utakuwa umeisha,,, yaani Kama hujaoa/kuolewa Kwenye ulimwengu wa fizikia ( physical world) ujue ndo imetoka hiyo.
 
Yanageukaga hayo siku litatamani nalo likukojoze we endelea kuendekeza hizo ndoto nyevu badala ya kukemea 🤣
Kuna kipindi niliotaga ndoto ya hivyo nikastuka nikaamka nikaikemea vibaya Sana.
Sasa imepita miaka zaidi ya 4 sijawahi kuota huo upuzi Tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…