Why we feel so good on dream sex rather than normal sex(just like kiwembe)

Kweli majini yana akili mbovu, ndio viumbe vilivyoishi enzi hizo sodoma..!! Hapo unakuta njemba inabadilisha ex wako linakupa yotree, ukinogewa linageuka linakukaza na ww πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hizo ndoto hapana kwa kweli πŸ‘
 
Kuna kipindi niliotaga ndoto ya hivyo nikastuka nikaamka nikaikemea vibaya Sana.
Sasa imepita miaka zaidi ya 4 sijawahi kuota huo upuzi Tena.
Kwahiyo walikuondomola 🀣🀣🀣🀣
Usingekemea wangekumimbika bro
 
Kwahiyo walikuondomola 🀣🀣🀣🀣
Usingekemea wangekumimbika bro
Nilishtuka mapema Sana kabla shughuli yenyewe haijaanzaπŸ˜‚
Jini mahaba lilikuwa la kike afu lilikuwa limenipania Kweli Kweli πŸ˜‚ nikasema hapa nikizubaa inakula kwanguπŸ˜‚
 
Mbona unazichekelea 🀣🀣🀣
Ila umenichekesha ulivyosema umelikemea baada ya kukunyandua dah!! πŸ˜…
Wala halikuninyandua Mimi, lilitaka Mimi nilinyandue eti coz lilikuwa la kike,nikastuka mapema
 
Nilishtuka mapema Sana kabla shughuli yenyewe haijaanzaπŸ˜‚
Jini mahaba lilikuwa la kike afu lilikuwa limenipania Kweli Kweli πŸ˜‚ nikasema hapa nikizubaa inakula kwanguπŸ˜‚
Umeanza kuchana page 🀣🀣🀣
 
Unafurahia kufanya uzinzi na mashetani! Usichukulie poa that is not dream! It is real! Wengine ni wachawi unazini nao alafu unakuja hapa ukifurahi???
 
Unafurahia kufanya uzinzi na mashetani! Usichukulie poa that is not dream! It is real! Wengine ni wachawi unazini nao alafu unakuja hapa ukifurahi???
Did you see my face? You are not a morning star
 
Sawa umeongea kimwili sana,hujui nini kinachoendela kwenye ulimwengu wa roho...
 
Kwa sababu kwenye ndoto: ubongo wa mbele unakuwa haufanyi kazi umelala.

Hivyo hakuna mafikirio wala hukumu(haumjaji wala haujijaji), wala mawazo yanayopingana na hisia.

Hisia zinatawala na mtu anajiachia fullllyy: ndio maana anapata raha nzima nzima na anafurahia.

Lakini kwenye uhalisia hasa kwa watu wasiopendana kwa dhati kunakuwa na vitu vinavyokinzana na hisia (emotions). Mtu akili inakuwa inaingilia utamu na ndio inapunguza utamu.

Hata hivyo wabongo mnajikosesha wenyewe tu raha. Kwa sababu idealy inatakiwa kuwepo ule uaminifu na upendo na kujitoa na kujiachia kamili wakati unafanya mapenzi na umpendae. Lakini kama mtu amezoea wiziwizi, uongouongo na hofu kwa mahusiano kucheat ikiwamo basi sahau kuyafaidi mapenzi. Utahangaika na ngono zisizojitosheleza maisha yote.

Na kuhusu stori zenu za majini mahaba hebu mtupishe: hayo ni mambo ya kibaiolojia kabisa mbegu zikizidi hasa kwa wanaobalehe wasio na wapenzi, mwili hufanya mifumo ya kuzitoa. Hapo hakuna cha jini wala nini

Eti ooooh, ukifanya hivyo linakuoa/sijui unalioa so inakuwa taabu kupata mwenza halisi. Hebu acheni kutupanga bhana: ukweli ni kwamba huyu mtu anakuwa hana mpenzi ndio inasababisha ndoto nyevu na sio the other way around eti anapata ndoto nyevu ndio anakosa mpenzi. La. Association does not mean causality heeh!

Mnanakili lakini!!??
 
Nipate manamke anaifinyia ndani, kwenye kifo cha mende kuna wakati ananipa miuno kama amefungwa motaπŸ”₯ hizo ndoto hazifikii utamu wa real sex kama imeambatana na majamboz kama hayo. We endelea kuota mkuu
 
Mimi huwa nashukuru kitu kimoja,, huwa naota nina mchuchu mkali kama my To yeye ila huwa najikuta sina ndomu hlf nahaihirisha mechi,,, ila nikishtuka nakujua kuwa kumbe ilikuwa ndoto najilaumu kwanini sikumla hivyo hivyo
 
Mimi huwa nashukuru kitu kimoja,, huwa naota nina mchuchu mkali kama my To yeye ila huwa najikuta sina ndomu hlf nahaihirisha mechi,,, ila nikishtuka nakujua kuwa kumbe ilikuwa ndoto najilaumu kwanini sikumla hivyo hivyo
🀣🀣🀣ngoja nijiangalie kwa kioo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…