Wife afuma Underwear kwa Gari...

Malcolm X5

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2013
Posts
1,639
Reaction score
2,752
Habari zenu waungwana,
Nina kisa leo kimetokea kidogo kitoe taharuki mtaani,
Nina jirani yangu amekutwa na mkasa,jana alitoka na gari yake,
Akiwa mtaani akapiga demu kwa gari,demu akaacha nguo yake ya ndani,
Mshikaji sababu alilewa sana,akasahau hata kuchungulia ndani ya gari,
Wife kaamka kapekua,kutana na kitu aisee,
Wife kamwambia mambo ya kitandani na wewe tena basi,tulee watoto finish
Jamaa anawaza afanyeje,atokeje
Ushauri kama upo.
 
ehehe humu hawakosekanagi wanaojua kuyamaliza
 
Nipm namba yake nije kuomba msamaha mbele ya wife wake kuwa jana alivoniazima gari nilifanyia ufuska ila kuna malipo kidogo ya kunipoza
 
Nipm namba yake nije kuomba msamaha mbele ya wife wake kuwa jana alivoniazima gari nilifanyia ufuska ila kuna malipo kidogo ya kunipoza
sure mkuu??.eheheh sijui kama atakuelewa
 
demu kwa gari, underwear kwa gari. Hicho ni Kiswahili kibovu cha kikenya. kwa inapaswa iwe kwenye. Samahani lakini.
 
Nipm namba yake nije kuomba msamaha mbele ya wife wake kuwa jana alivoniazima gari nilifanyia ufuska ila kuna malipo kidogo ya kunipoza
vyuma vimekaza! umetisha sana[emoji23][emoji23]

Huyo jamaa hata haina haja ya kula mke! kama kasema basi, aendelee tu kula asali mbichi huko huko kwa jana[emoji35][emoji35][emoji35]
 
Noma sana hiyo aisee, lkn mbembeleze mtafutie sabuni ya roho, pesa umpe atatulia mwenyewe hila, kwa sasa kuwa mpole ndani ya wiki moja mkuu, ndio ukubwa huo.
 
Kwani shida iko wapi si aendelee na michepuko tu. Huyo mke amwache apoe kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…