Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Jiandae kuliwa muda huuMm nmempakata bar maid muda huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiandae kuliwa muda huuMm nmempakata bar maid muda huu
This is what i do. Na huwa naamini kautaz wana akili kuliko hawa wa nje coz huwezi meachia kilaza biashara ya mamilioni au malaki. Pia hata kama siku umefulia ukiwa close na kaunta hakuna shida unakunywa unakija replace siku ingine.Bar unakua na mazoea na kaunta tu...hao wa nje achana nao
Hata mimi mkuuNamlaumu mkeo kwa kuolewa na bata kama wewe, ina maana hakuona wanaume wengine wenye uanamume?
Hakikaaa.... mimi sina mazoea na barmaid hata mmoja..ila kaunta lazima awe karibu yangu kwa njia yoyote ileThis is what i do. Na huwa naamini kautaz wana akili kuliko hawa wa nje coz huwezi meachia kilaza biashara ya mamilioni au malaki. Pia hata kama siku umefulia ukiwa close na kaunta hakuna shida unakunywa unakija replace siku ingine.
HahaMm nmempakata bar maid muda huu
Mambo wakuu.?
Nimepita bar flani na wife kusuuza koo..ameona kuna baadhi ya bar maids flani wa kike wamenizoea sana kwenye hiyo bar,ghafla akanishauri nipunguze mazoea nao.
Atakuwa ana maana gan wakuu?