M Mwinyi_tza Member Joined Oct 9, 2018 Posts 23 Reaction score 5 Dec 8, 2018 #1 Wakuu Salama ! Mke wangu amegundulika na Vimelea vya Ugonjwa wa Rubella, vinavyo sababisha kila akishika Ujauzito unatoka, hatuja bahatika kupata mtoto. Chonde Msaada tutani.. Je atumie tiba gani? Au tufanye nini ili apone hayo Maradhi?
Wakuu Salama ! Mke wangu amegundulika na Vimelea vya Ugonjwa wa Rubella, vinavyo sababisha kila akishika Ujauzito unatoka, hatuja bahatika kupata mtoto. Chonde Msaada tutani.. Je atumie tiba gani? Au tufanye nini ili apone hayo Maradhi?
Chaliifrancisco JF-Expert Member Joined Jan 17, 2015 Posts 26,021 Reaction score 79,710 Dec 8, 2018 #2 Poleni sana wakuu.. Hao waliomgundua kuwa ana hivyo vimelea wamekuambieni mtumie njia/dawa gani ili ajitibu na muweze kupata mtoto?
Poleni sana wakuu.. Hao waliomgundua kuwa ana hivyo vimelea wamekuambieni mtumie njia/dawa gani ili ajitibu na muweze kupata mtoto?
M Mwinyi_tza Member Joined Oct 9, 2018 Posts 23 Reaction score 5 Dec 8, 2018 Thread starter #3 Daktari wake amesema Vimelea vitaisha vyenyewe kwa sababu huo ugonjwa haina tiba Zaidi ya chanjo. Alitushauri turudi kwake baada ya miezi miwili atampina tena ili kuona kama Vimelea vimepungua ama kuisha Kabisa. Kwa sasa alimpatia vidonge vya kuongeza vitamin ambavyo ni alpha E.
Daktari wake amesema Vimelea vitaisha vyenyewe kwa sababu huo ugonjwa haina tiba Zaidi ya chanjo. Alitushauri turudi kwake baada ya miezi miwili atampina tena ili kuona kama Vimelea vimepungua ama kuisha Kabisa. Kwa sasa alimpatia vidonge vya kuongeza vitamin ambavyo ni alpha E.
Jumong S JF-Expert Member Joined Jul 3, 2013 Posts 7,385 Reaction score 10,659 Dec 16, 2018 #4 Mwinyi_tza said: Daktari wake amesema Vimelea vitaisha vyenyewe kwa sababu huo ugonjwa haina tiba Zaidi ya chanjo. Alitushauri turudi kwake baada ya miezi miwili atampina tena ili kuona kama Vimelea vimepungua ama kuisha Kabisa. Kwa sasa alimpatia vidonge vya kuongeza vitamin ambavyo ni alpha E. Click to expand... Kamilisha kwanza haya matibabu, ukiona no mabadiliko, urudi hapa
Mwinyi_tza said: Daktari wake amesema Vimelea vitaisha vyenyewe kwa sababu huo ugonjwa haina tiba Zaidi ya chanjo. Alitushauri turudi kwake baada ya miezi miwili atampina tena ili kuona kama Vimelea vimepungua ama kuisha Kabisa. Kwa sasa alimpatia vidonge vya kuongeza vitamin ambavyo ni alpha E. Click to expand... Kamilisha kwanza haya matibabu, ukiona no mabadiliko, urudi hapa