Mwinyi_tza
Member
- Oct 9, 2018
- 23
- 5
Wakuu Salama ! Mke wangu amegundulika na Vimelea vya Ugonjwa wa Rubella, vinavyo sababisha kila akishika Ujauzito unatoka, hatuja bahatika kupata mtoto.
Chonde Msaada tutani.. Je atumie tiba gani? Au tufanye nini ili apone hayo Maradhi?
Chonde Msaada tutani.. Je atumie tiba gani? Au tufanye nini ili apone hayo Maradhi?