Wife anakukera kwa kutaka uwepo home all the time? Mwarubaini huu hapa...

kaka basi bora huyo demu wake si mkabaji star- jamaa yangu alifanya mbinu hiyo hiyo lakini baadaye mkewe akadunduliza hela na kuununua TV nyiingine, ikafungwa Room, sasa jamaa akaambiwa kama anataka games na mambo mengine basi watakuwa wanabadilishana either yeye chumbani na wao sebuleni - mkewe ilibidi alipie ile decoder ya kuweza kucheki double channels at the same time.

Sasa jamaa anabuni njia nyingine - maana mkewe ni kama Defender mzuri sana.
 

Kweli huyo ni Vidic
 
Kuna .............na...........halafu ukiwa unaenda kwenye...........unaaga unasema............

Hizo minutes huwa tunzatioa kwenye vikao vyetu muhimu tu. hapa jamvini :nono::nono::nono:

You are a fast leaner...:becky:

Kwani sababu ni tv peke yake???
 

mi avatar yako mamitoo.
 
Aiseee! Hizi mbinu mbona zipo kwenye ISC zamani sana! si vibaya kukumbushiana lakini
 
usisahau kuonyesha una dili nyingi sana na washikaji na hela ya poda kidogo unaacha. visa bwerere
 
Aiseee! Hizi mbinu mbona zipo kwenye ISC zamani sana! si vibaya kukumbushiana lakini

Shssss...utawafanya waandae antibodies.... (kwan hiyo tv haifai kuharibu na kwenda kuidump kwa fundi?)
 
Shssss...utawafanya waandae antibodies.... (kwan hiyo tv haifai kuharibu na kwenda kuidump kwa fundi?)


Orait orait (in fact mafundi Tv wanazidi kuziharibu so inaweza kukaa 3 months with daily follow ups):smile-big:
 
Nategemeo yangu ni kwamba mbwembwe zote hizo haziambatani na nyumba ndogo. chonde chonde jamani
 

Heshima kwako Tuko.

Mkuu kumbe wanawake wote wana tabia zinazofanana.Ebu tupeane mbinu mpya maana hii wameshistukia siku nyingi.
 
Heshima kwako Tuko.

Mkuu kumbe wanawake wote wana tabia zinazofanana.Ebu tupeane mbinu mpya maana hii wameshistukia siku nyingi.[/QUOTE

Mkuu Ngongo,hata hizo mpya tutazishtukia only truth will set u free
 
yani mpwa ukimjua jina akusumbui kabisa yani nilibanwa sana ukisema ukaangalie mechi anataka mwende wote kuna vikao vya marafiki mwende wote yani mpaka kero ata akikupa mda kabla ya ule mda atapiga upo wapi nisubiri hapo hapo nakuja yani kama askari magereza na mfungwa lakini nilipo mpatia timing yani natesa kwa raha zangu naogopa kutoa mbinu adharani nisije haribu mambo
 
Mbinu nzuri sana,,kwani ukiwa unaangalia kimykimya bila matusi, utanunuliwa tv yako. Chamsingi ni kutukana,shenzy!!*&!!k***maye kabisa yule Runi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…